Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Unaonekana kuwa wewe ni B/S wa ajabu sana. Iwapo mimi sikuelewa post yako, je wewe uliilewa post yangu?? Huu mjadala ulifanyika miaka kadhaa iliyopita lakini mimi ndiye niliyeuibua tena baada ya kuona kuwa post moja ilikuwa inasema uwongo. Prof Migiro hakuwahi kuwa Mwalimu wa Dr. Asha-Rose Migiro kiasi cha kumsaidia kupata madigrii yote aliyo nayo leo. You must learn to stop making unfounded stories.Inawezakana hawana uaminfu katika ndoa yao, but that is none of our business; huwezi ku-tarnish academic achievements za mama Migiro kwa madai ambayo huwezi kuya-substantiate. Job performances na academic achievements ni vitu tofauti kabisa; ndiyo maana nimekupa mfano wa Mr. Bean ambao huenda hata hukuuelewa-ana advanced degree ya Electrical Engineering lakini hafanyi chochote katika field hiyo.I am here; hata mimi ninajua kuandika matusi ingawa huwa sifanyi hivyo. Ukiandika matusi hata mimi nitayaandika, it doesn't cost anything to punch stuff on my keyboard!
una kaili ndogo sana wewe..changamoto nilizokupa sijui ni kwamba hujui au ni kukosa nidhani aliyosema butibu kuhusu UDSM...narudia unajua sababua ya JK kumbeba sana?Je una hakika 100% ya uaminifu wake ktk ndoa hadi sasa?umewahi sikia mwanamke akichanganya wanaume kwa mnufaambalmbali na mwishowe mwanamke mwenye roho ya simba(km aliyoiba Nature) kujilipua kwa kuwa baba mlezi?Ukiweza jibu hayo maswali kwa uwezo wa kutosha na ukweli wa roho basi una haki ya kuendelea ,otherwise sijui nikuite kiumbe gani?
 
una kaili ndogo sana wewe..changamoto nilizokupa sijui ni kwamba hujui au ni kukosa nidhani aliyosema butibu kuhusu UDSM...narudia unajua sababua ya JK kumbeba sana?Je una hakika 100% ya uaminifu wake ktk ndoa hadi sasa?umewahi sikia mwanamke akichanganya wanaume kwa mnufaambalmbali na mwishowe mwanamke mwenye roho ya simba(km aliyoiba Nature) kujilipua kwa kuwa baba mlezi?Ukiweza jibu hayo maswali kwa uwezo wa kutosha na ukweli wa roho basi una haki ya kuendelea ,otherwise sijui nikuite kiumbe gani?

Inawezekana unamchukia yule mama kwa sababu yoyote ile, hiyo ni personal issue baina yako na yeye (inawezekana alikukatalia). Asha-Rose ameshetembea na wanaume wangapi , ana uamainifu gani katika ndoa yake, ana uhusiano gani na JK siyo mambo yanayotuhusu katika mada hii. Hayajibu swali la msingi iwapo kweli Prof Migiro alimsidia mama yule kupata digrii zake zote za sheria (LLB, LLB na Ph.D.) Kudai umeleta "changamoto" bila facts ni umbea mtupu unaotokana na hisia zako binafsi.

Halafu tena, tambua kuwa matukio ya UDSM miaka ya leo hayana uhusiano kabisa na matukio ya UDSM miaka 35 iliyopita! Inawezekana leo UDSM wanafanya upuuzi sana, lakini huwezi ku-extrapolate upuuzi huo kwenda miaka 35 iliyopita bila ushahidi wowote. Kuna factors nyingi sana zinazosababisha kuwepo tofauti: social dynamics katika jumuia ya watu 900 wakati huo ni tofauti ya jumuia ya watu zaidi ya 18,000 leo; vile vile mfumo wa maisha kwa jumla siku hizi ni tofauti sana na miaka 35 iliyopita.

Kunitafutia majina ya ajabu kutokana na mjadala huu ni kuonyesha ufinyu wa akili yako; ndiyo matokeo mazuri ya ya cross-examination.
 
Kwa hili la mambo ya UN wa TZ hatujapata mtu wa kutumainiwa. Salim naye hakuna alichokifanya. Akiwa OAU mambo yalikwama kabisa mpaka alipoondoka ndo tukasogea na kuifanya iwe AU!
 
daah jamaa wanaobishana wamenipa faida sana! asanteni

Yani Sisi Tumekuwa Kama Kunguru Wao Mapanzi, Lakn Huyu Mmoja Anatumia Nguvu Nyingi Ili Dr. Asha Tumuone Hafai Kumbe Ametusaidia Sisi Tumemwona Ubora Wake Zaidi, Hata Speech Yake Ya Kuwania Uteuzi Wa Chama Chake Ili Awe Rais Ilismama Zaidi Ya Wenzake Aisee!
 
Na vipi nafasi ya Ocampo wa ICC....tunao wanasheria manguli kama vile Tundu Lissu,Mabere Marandu nk..nk
 
Hii nchi watu wanaumwa majungu... vigezo na utendaji unabadilika kulingana na mahitaji,ndo maana issue huwa ni ya ku-renew!..na kama kashindwa sio mbaya ni changamoto, papa alishindwa, blater alishindwa,mcain alishindwa ki ujumla tuwe watu wa kujikubal,kitu ambacho majirani kama kenya wanatushindia...hii nchi daa poleni wanafki
 
Inawezekana unamchukia yule mama kwa sababu yoyote ile, hiyo ni personal issue baina yako na yeye (inawezekana alikukatalia). Asha-Rose ameshetembea na wanaume wangapi , ana uamainifu gani katika ndoa yake, ana uhusiano gani na JK siyo mambo yanayotuhusu katika mada hii. Hayajibu swali la msingi iwapo kweli Prof Migiro alimsidia mama yule kupata digrii zake zote za sheria (LLB, LLB na Ph.D.) Kudai umeleta "changamoto" bila facts ni umbea mtupu unaotokana na hisia zako binafsi.Halafu tena, tambua kuwa matukio ya UDSM miaka ya leo hayana uhusiano kabisa na matukio ya UDSM miaka 35 iliyopita! Inawezekana leo UDSM wanafanya upuuzi sana, lakini huwezi ku-extrapolate upuuzi huo kwenda miaka 35 iliyopita bila ushahidi wowote. Kuna factors nyingi sana zinazosababisha kuwepo tofauti: social dynamics katika jumuia ya watu 900 wakati huo ni tofauti ya jumuia ya watu zaidi ya 18,000 leo; vile vile mfumo wa maisha kwa jumla siku hizi ni tofauti sana na miaka 35 iliyopita.Kunitafutia majina ya ajabu kutokana na mjadala huu ni kuonyesha ufinyu wa akili yako; ndiyo matokeo mazuri ya ya cross-examination.
wewe ni mpumbavu sana kuliko hata mkapa..aliyewaita wengine wapumbavu kwa sababu wamesema tunahitaji ukombozi,kisha baadae akamaliza kwamba CCM wamebaki kuwakomboa watz toka wale maadui wa3 walioitoa jasho ccm kwa miaka 50..mimi si wa size yako..naona ambapo wengi wenu hamtokaa muone hadi yatokee....UMESHINDWA JIULIZA AU HATA JIKUMBUSHA WATOTO WA KIKE KTK VYUO VISIVYO NA MAAADILI KM UDSM WANAVYOWEZA KUWANA MABWANA KILA KONA KWA SABABU TOFAUTI NA MASOMO TOFAUTI,ILA MWISHO WA SIKU HUOLEWA NA ALIYEAMUA JILIPUA.NIMEKUULIZA PIA KM UNA HAKIKA NA UAMINIFU WAKE KTK NDOA HADI SASA ILI UWEZE UNGANISHA MATUKIO KM ALIWEZA FANYA SHULENI KWANINI ASIWEZE FANYA UKUBWANI?NANI HAJUI AKINA MAMA WA ACCM KTK KUPATA VYEO WALIVYOLETA SHIDA KTK NDOA ZAO..KAMUULIZE MKWASA..HADI SASA HUJAWEZA ONYESHA IM/ POSSIBILITY YA HAYO KUFANYIKA.uMEKUJA KM IDI..OTS NA KUANZA SEM AMASIAH BINAFSI HAYAHUSIANI SIJUI NA NINI..KWANI UNADHANI HIVYO VYEO HAVINA MARIDHIO BINAFSI?
 
wewe ni mpumbavu sana kuliko hata mkapa..aliyewaita wengine wapumbavu kwa sababu wamesema tunahitaji ukombozi,kisha baadae akamaliza kwamba CCM wamebaki kuwakomboa watz toka wale maadui wa3 walioitoa jasho ccm kwa miaka 50..mimi si wa size yako..naona ambapo wengi wenu hamtokaa muone hadi yatokee
Ndiyo maana nikakwambia wewe akili yako ni finyu sana, na unapobanwa kusema ukweli basi unakimbilia matusi na lugha za kulazimisha mambo yasiyokuwepo. Ni wazi mimi siyo mtu wa caliber yako, ila umejiingiza kujibizana na mimi kichwa kichwa huku ukiwa na akili butu. Swali ni dogo sana "Toa Ushahidi jinsi Prof Migiro alivyomsaidia Asha-Rose kupata digrii zake kwa njia za mkato'


Unaishia kupiga bla bla kuhusu Asha kutokuwa kutokuwa mwaminifu katika ndoa wakati hilo siyo swali lililoko hapa; na wala hujatoa ushahidi wowote klama kweli siyo mwaninifu katika ndoa bali unatoa hisasa zako tu.
....UMESHINDWA JIULIZA AU HATA JIKUMBUSHA WATOTO WA KIKE KTK VYUO VISIVYO NA MAAADILI KM UDSM WANAVYOWEZA KUWANA MABWANA KILA KONA KWA SABABU TOFAUTI NA MASOMO TOFAUTI,ILA MWISHO WA SIKU HUOLEWA NA ALIYEAMUA JILIPUA.NIMEKUULIZA PIA KM UNA HAKIKA NA UAMINIFU WAKE KTK NDOA HADI SASA ILI UWEZE UNGANISHA MATUKIO KM ALIWEZA FANYA SHULENI KWANINI ASIWEZE FANYA UKUBWANI?NANI HAJUI AKINA MAMA WA ACCM KTK KUPATA VYEO WALIVYOLETA SHIDA KTK NDOA ZAO..KAMUULIZE MKWASA..HADI SASA HUJAWEZA ONYESHA IM/ POSSIBILITY YA HAYO KUFANYIKA.uMEKUJA KM IDI..OTS NA KUANZA SEM AMASIAH BINAFSI HAYAHUSIANI SIJUI NA NINI..KWANI UNADHANI HIVYO VYEO HAVINA MARIDHIO BINAFSI?

Upuuzi tu; haya hayako katika mada ya thread hii.

Nadhani Ubongo wako utakuwa ni expensive sana kwenye soko kwa sababu vitahitajika vichwa vingi sana vya aina yako ili kufikisha angalu kilo moja ya ubongo.
 
Ndiyo maana nikakwambia wewe akili yako ni finyu sana, na unapobanwa kusema ukweli basi unakimbilia matusi na lugha za kulazimisha mambo yasiyokuwepo. Ni wazi mimi siyo mtu wa caliber yako, ila umejiingiza kujibizana na mimi kichwa kichwa huku ukiwa na akili butu. Swali ni dogo sana "Toa Ushahidi jinsi Prof Migiro alivyomsaidia Asha-Rose kupata digrii zake kwa njia za mkato'Unaishia kupiga bla bla kuhusu Asha kutokuwa kutokuwa mwaminifu katika ndoa wakati hilo siyo swali lililoko hapa; na wala hujatoa ushahidi wowote klama kweli siyo mwaninifu katika ndoa bali unatoa hisasa zako tu.Upuuzi tu; haya hayako katika mada ya thread hii. Nadhani Ubongo wako utakuwa ni expensive sana kwenye soko kwa sababu vitahitajika vichwa vingi sana vya aina yako ili kufikisha angalu kilo moja ya ubongo.
unajua stupindity ni sifa ya CCM..unachofanya hapa ni km makinda na wenzie pamoja na akina ZZK walichokuwa wanafanya katk bunge la Escrow kufrustrate watu uli mwishowe wapitishe upuuzi wao wa kuwaokoa CCM badala ya kuwaadhibu.matokeo yake ZZK na wengine ndio wakazima na Mbowe akafagia upuuzi wote kwa pamoja.Wewe ni mpuuzi kabisa..hadi sasa unaleta furstration tuu...bado hujaweza ona life ya mtu ni imejengwa ktk vipande km matofali na viungio vingine..na kushindwa kwako kutoa majibu ktk maswali na fikra za mwanzo kunakuacha very vulnerable. Hujaweza tetea mahusiano ya mwanaume zaidi ya mmoja kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini..hujaweza tetea km huyu mama ni mwaminifu na km napovunja uaminifu nini sababu yake..hujaweza hata hata onyesha mipaka ya msaaada wa migiro...na ushawishi wake ktk walimu wa mkewe...unarudiarudia km mkandara na cyclic reasoning.nimeamua kukujibu na kukufundisha kwa kukupa challenges tuu...ili uone jinsi gani huna haja ya kutetea incompetence ya wazi ya huyu mama..ambayo si mbaya sana ikielezewa na udhaifu ktk njia za kupata hivyo vyeti km ilivyo km watz wengi.Nani hajui watu wanapada degree kupitia mikakati ya kidini..na wengi tuu wanasomea ktk nyumba za ibada ambapo kuna fununu paper hutembea sana li kuweka usawa na pengine kuzidisha share halali ya kutafuna keki ya nchi.
 
unajua stupindity ni sifa ya CCM..
Watu wenye akili huwa hawabishani na wenzao kwa matusi bali hujadiliana mada kwa kutumia mantiki. Hakuna post yako uliyojibu hapa ambayo haina lugha ya matusi na ina mantiki. Unarukaruka tu huku na kule na kubwajabwaja kama samaki aliyemeza ndoana.


unachofanya hapa ni km makinda na wenzie pamoja na akina ZZK walichokuwa wanafanya katk bunge la Escrow kufrustrate watu uli mwishowe wapitishe upuuzi wao wa kuwaokoa CCM badala ya kuwaadhibu.matokeo yake ZZK na wengine ndio wakazima na Mbowe akafagia upuuzi wote kwa pamoja.Wewe ni mpuuzi kabisa..hadi sasa unaleta furstration tuu...bado hujaweza ona life ya mtu ni imejengwa ktk vipande km matofali na viungio vingine..na kushindwa kwako kutoa majibu ktk maswali na fikra za mwanzo kunakuacha very vulnerable.

Irrelevant and pumba tupu
Hujaweza tetea mahusiano ya mwanaume zaidi ya mmoja kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini..hujaweza tetea km huyu mama ni mwaminifu na km napovunja uaminifu nini sababu yake..hujaweza hata hata onyesha mipaka ya msaaada wa migiro...na ushawishi wake ktk walimu wa mkewe...unarudiarudia km mkandara na cyclic reasoning.
Irrelevant and pumba tupu
nimeamua kukujibu na kukufundisha kwa kukupa challenges tuu...i

Wewe huwezi kunifundisha mimi hata siku moja kijana. Nimefundisha vyuo mbalimbali duniani kwa miaka mingi sana na wala usirudie kusema unanifundisha chohote. Tubishane hapa kwa mada na hoja tu lakini usitumie lugha ya kunifundisha kwa sababu huenda hata waalimu wako walikuwa wanafunzi wangu. Mtu unakuja hapa na post ya "NIlichojifunza kwa Lowasa huyu jamaa ni zaidi ya Roll model kwa waliozimwa kirahisi na CCM" halafu ukajifanya kunifundisha mimi kwa kunipa challenges za udaku zile! what a joke, come on!


li uone jinsi gani huna haja ya kutetea incompetence ya wazi ya huyu mama..ambayo si mbaya sana ikielezewa na udhaifu ktk njia za kupata hivyo vyeti km ilivyo km watz wengi.Nani hajui watu wanapada degree kupitia mikakati ya kidini..na wengi tuu wanasomea ktk nyumba za ibada ambapo
kuna fununu paper hutembea sana li kuweka usawa na pengine kuzidisha share halali ya kutafuna keki ya nchi.

Sikutetea incompetence ya huyo mama unayemchukia, ila niweka record straight kuwa Prof Migiro hakumsaidia kupata digrii zake za sheria bure- Kwanza kuna digrii aliyopata Ujerumani. Niliandika huko nyuma kuwa watu wengi hupata digrii halafu wasizitumie katika maisha yao; yeye ana digrii za sheria lakini kule UN alikuwa na jukumu la utawala kwa hiyo siyo digrii ya sheria iliyokuwa inatakiwa bali management skills. Siwezi kumjudge mtu wa aina hiyo kwa kusema alipata digrii ya bure; ungesema tu kuwa hana management skills basi. Lakini umbea tu: mara oh hana uaminifu katika ndoa - kama vile huwa unasimamia ndoa yao, mara oh, unajua kwanini JK anambeba, kama vile kila una uhakika kuwa kila mwanamke aliyeko katika serikali ya JK ni kimada wake. Acha umbea Baba
 
Migiro alibanwa na sera za maccm kama vile Makinda na bunge matokeo yake akaamua kuwa bubu,neutral very passive hata kwa vitu vya wazi kabisa. Ndo maana akatupiliwa mbali. Hata mama wa escrow nae nasikia wakurugenzi wake wote kule kenya walikuwa wanam-bypass moja kwa moja kwenda UN hq bila kumhusisha
 
She was a very poor perfomer. JK kila demu anapigania hata awe kilaza vipi sijui ana matatizo gani na hawa
 
Watu wenye akili huwa hawabishani na wenzao kwa matusi bali hujadiliana mada kwa kutumia mantiki. Hakuna post yako uliyojibu hapa ambayo haina lugha ya matusi na ina mantiki. Unarukaruka tu huku na kule na kubwajabwaja kama samaki aliyemeza ndoana.




Irrelevant and pumba tupu

Irrelevant and pumba tupu


Wewe huwezi kunifundisha mimi hata siku moja kijana. Nimefundisha vyuo mbalimbali duniani kwa miaka mingi sana na wala usirudie kusema unanifundisha chohote. Tubishane hapa kwa mada na hoja tu lakini usitumie lugha ya kunifundisha kwa sababu huenda hata waalimu wako walikuwa wanafunzi wangu. Mtu unakuja hapa na post ya "NIlichojifunza kwa Lowasa huyu jamaa ni zaidi ya Roll model kwa waliozimwa kirahisi na CCM" halafu ukajifanya kunifundisha mimi kwa kunipa challenges za udaku zile! what a joke, come on!




Sikutetea incompetence ya huyo mama unayemchukia, ila niweka record straight kuwa Prof Migiro hakumsaidia kupata digrii zake za sheria bure- Kwanza kuna digrii aliyopata Ujerumani. Niliandika huko nyuma kuwa watu wengi hupata digrii halafu wasizitumie katika maisha yao; yeye ana digrii za sheria lakini kule UN alikuwa na jukumu la utawala kwa hiyo siyo digrii ya sheria iliyokuwa inatakiwa bali management skills. Siwezi kumjudge mtu wa aina hiyo kwa kusema alipata digrii ya bure; ungesema tu kuwa hana management skills basi. Lakini umbea tu: mara oh hana uaminifu katika ndoa - kama vile huwa unasimamia ndoa yao, mara oh, unajua kwanini JK anambeba, kama vile kila una uhakika kuwa kila mwanamke aliyeko katika serikali ya JK ni kimada wake. Acha umbea Baba

please naomba MSIACHE kubishana....hili ni darasa murua kwangu
 
si Dr Rose Migiro amesema hataki kuingia kwenye siasa atafundisha udsm pia anataka kuwa karibu na familia yake ebo hii karee

Ni kwa sababu ipi alikuwa mbali nayo, kwani wananyima kwenda/kuishi kokote na familia? Au alikuwa anaacha gepu makusudi!
 
Ni kwa sababu ipi alikuwa mbali nayo, kwani wananyima kwenda/kuishi kokote na familia? Au alikuwa anaacha gepu makusudi!
Haha...ndio kakumbuka ndoaa ni muhimu mengine ni kujilisha ujinga....mama hata rangi ya ngozi si ile aliyoenda nayo UN..alikuw aaking`aa pengine Ban Ki alidhani mkorea mwenzie.
 
  1. Jan Eliasson



    On 2 March 2012, Swedish
Uzushi, hawa wazungu waliitaka hiyo nafasi siku nyingi, yuko jamaa kutoka ujerumani amekuwa akiiwania hiyo post siku nyingi kwa kumzushia mambo mengi sana dada yetu,kna wakati walijaribu ku question hata PHD yake aliyoipata huko Ujerumani lakini akashindwa,sina uhakika kama atakuwa amepewa yeye hiyo nafasi,nilikuwa sielewi kumbe hata wazungu fitina ni nyingi?Bitna,Bitna,Bitna kila mahali hasa kukiwa na lishe nzuri,
 
Habarini Wadau,

Je huyu mama aliondoka kwa utaratibu maalum mfano kwa kumaliza mkataba aliopangiwa au alishindwa majukumu aliyopewa? Just to know.
 
Huyu Mama alimaliza mkataba wake na UN. Tatizo lilijitokeza wakati wa kutaka kuongeza muhula mwingine. Kuna issue ilitokea Sudan ya kusini (South Sudan) na inasemekana Mama alifeli kutoa maamuzi husika (Department of field Support) nini kifanyike huko na kupeleka helikopta za Kijeshi tayari kwa kulinda amani au kuondoa watu ilipostahili. Hapo ndio kuna baadhi ya nchi Wanachama wakapata nafasi ya kupinga Mh Asha Rose Migiro kutoongezewa mkataba wake UN.
 
Back
Top Bottom