HIPI= IPI, SHULE ZA KATA NI JANGA LA KITAIFA.Serikali hipi?
HIPI= IPI, SHULE ZA KATA NI JANGA LA KITAIFA.Serikali hipi?
Kwanza ianze kutoa tamko tujue kama CUF ilionewa kwenye uchaguzi 2015 au ilipata kura nyingi kiasi cha kuona aibu na kuta fatwa ya kufuta matokeo upande mmoja na kuhalalisha upande mwengine.toe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea
Usituingize chocho! Asha Rose hakufutwa kazi bali hakupngezewa mkataba, sababu za kutomuongezea mkataba zimo katika mkataba wake wa awali na yeye mwenyewe Asha anazijua na ndio maana hakulalamika hata kidogo.Tumesikia Kenya ilivyochukua hatua za haraka baada ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon kumfuta kazi Luteni Kanali Johnson Mogoa Kimani Ondieki. Sasa imepita zaidi ya miaka 4 tangu katibu mkuu Ban Ki Moon amfute kazi Dr. Asha Rose Migiro lakini serikali ya JK na hii ya JPM hazijachukua hatua yoyote kama walivyofanya majirani zetu Kenya. Kukaa kimya kunatufanya watanzania tujiulize hivi Dr. Asha Rose Migiro alikuwa na uwezo mdogo na alifanya makosa ambayo ilikuwa ni vigumu kwa serikali ya Tanzania kumtetea.
Kama hatua zingine zinavyochukuliwa tunaomba serikali ya Tanzania ichukue hatua na kama imeshindwa itoe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea
Wajameni ifike wakati muache kuzungusha mikono.Tumesikia Kenya ilivyochukua hatua za haraka baada ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon kumfuta kazi Luteni Kanali Johnson Mogoa Kimani Ondieki. Sasa imepita zaidi ya miaka 4 tangu katibu mkuu Ban Ki Moon amfute kazi Dr. Asha Rose Migiro lakini serikali ya JK na hii ya JPM hazijachukua hatua yoyote kama walivyofanya majirani zetu Kenya. Kukaa kimya kunatufanya watanzania tujiulize hivi Dr. Asha Rose Migiro alikuwa na uwezo mdogo na alifanya makosa ambayo ilikuwa ni vigumu kwa serikali ya Tanzania kumtetea.
Kama hatua zingine zinavyochukuliwa tunaomba serikali ya Tanzania ichukue hatua na kama imeshindwa itoe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea
Dr Migiro hakufukuzwa kazi, alimaliza mkataba wake na UN. Na hata Ban ki Moon naye anamaliza mkataba wake. Hakuna kazi permanent UN. Unapewa contact, ikiisha unaweza ongeza. Au usiongezewe kutokana na performance yako.
Kwani Dr alifutwa? Au mkataba haukuhuishwa?Tumesikia Kenya ilivyochukua hatua za haraka baada ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon kumfuta kazi Luteni Kanali Johnson Mogoa Kimani Ondieki. Sasa imepita zaidi ya miaka 4 tangu katibu mkuu Ban Ki Moon amfute kazi Dr. Asha Rose Migiro lakini serikali ya JK na hii ya JPM hazijachukua hatua yoyote kama walivyofanya majirani zetu Kenya. Kukaa kimya kunatufanya watanzania tujiulize hivi Dr. Asha Rose Migiro alikuwa na uwezo mdogo na alifanya makosa ambayo ilikuwa ni vigumu kwa serikali ya Tanzania kumtetea.
Kama hatua zingine zinavyochukuliwa tunaomba serikali ya Tanzania ichukue hatua na kama imeshindwa itoe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea
Swali la hovyo kabisa hiliKwa nini hakuongezewa!!!!????
Kwani sisi wote ni wanyamwezi?Migiro ni mzigo, ndivyo alivyo hivyo hivyo. UN hawawezi kubeba mizigo, Ban Ki moon aliturudishia mzigo wetu ili tuubebe wenyewe.
Kumbe alitimuliwa ! Mungu wangu !!!!Walitudanganya muda wake wakukaimu ile nafasi uliisha...looh!