Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Jamani.............kitu ambacho hukijui ni lazima kitakutoa jasho la bure pasipo ongezi la maana.
huyu mama kafanya MAZURI sana hapa ofisini .....tatizo ni kuwa watu wengi sii wafuatiliaji wa mambo na kwa kweli Watanzania wachache tuna tabia ya kujidharau na haswa mwenzetu akipata kazi nzuri sisi tulioko kweny e hizi ofisi za UN tunajua na kwa kweli inasikitisha kuona utendaji wake ukipigwa DONGO na Watanzania wenzetu.
mama je hamjui watanzania ni moja ya watu walio na SIFA NZURI ya uadilfu na ubora wa kazi UN..........kumbukeni Mzee Nyaki kule Liberia........east timor alikokuwa jaji wetu MKUU........finacial controller hapa NY HQ......mangi Msele........kaizi nzuri aliyoacha kwenye kumbukumbu mzee wetu Pro: Temu.........Mr. mongi kazi yake pale FAO Rome na wengineo wengi ambao ukifuatilai ni utaona ni kwa nin WA- TZ tuna jina UN.
 
By the way it may be true that thesefew people mentioned in this thread may have not performed well. However this should not be a pointer that all Tanzanians are bad performers. Infact we have had some good performers in these international high profile jobs. Unfornatenately those are not mentioned!!!!
 
Jamani.............kitu ambacho hukijui ni lazima kitakutoa jasho la bure pasipo ongezi la maana.
huyu mama kafanya MAZURI sana hapa ofisini .....tatizo ni kuwa watu wengi sii wafuatiliaji wa mambo na kwa kweli Watanzania wachache tuna tabia ya kujidharau na haswa mwenzetu akipata kazi nzuri sisi tulioko kweny e hizi ofisi za UN tunajua na kwa kweli inasikitisha kuona utendaji wake ukipigwa DONGO na Watanzania wenzetu.
mama je hamjui watanzania ni moja ya watu walio na SIFA NZURI ya uadilfu na ubora wa kazi UN..........kumbukeni Mzee Nyaki kule Liberia........east timor alikokuwa jaji wetu MKUU........finacial controller hapa NY HQ......mangi Msele........kaizi nzuri aliyoacha kwenye kumbukumbu mzee wetu Pro: Temu.........Mr. mongi kazi yake pale FAO Rome na wengineo wengi ambao ukifuatilai ni utaona ni kwa nin WA- TZ tuna jina UN.

Sidhani kama mchovu anaweza kuona uchovu wa mtu mwingine!! Sasa kwa nini katoka mapema?! Na nilmsikia anasema eti alikuwa anafanya kazi 24 hours eti kwa sababu dunia ni duara - je ni kweli hii? Wewe umepataje kazi hapo UN kama sio kwa kuingizwa na hao unaowasifia!!
 
Kama umenisoma vizuri, huyu mama hakupewa kazi to begin with.

Kuna kazi nyingine hizi hata Miss Tanzania anaweza kufanya unaweza kuziita kazi hizi jamani?

Ukiniambia mtu kapewa kazi kuwa Envoy wa SG Somalia huko kama Mahiga, then ukaniambia huyu mtu kapewa on the merit, au mtu kapewa kusuluhisha Syria huko, unaweza kujenga hoja kwamba huyu kapewa on the merit, ingawa huko ni vikao visivyoisha nako (ndo maana Annan kajionea upuuzi tu huu, karudisha kazi yao).

Lakini mtu anapewa envoy wa HIV/ AIDS? Unazunguka Africa kuhamasisha vita dhidi ya HIV/AIDS? Kazi hata kina Beyonce na Angelina Jolie wanaweza kufanya hizi? Ndo unaona kazi za merit hizi?

If anything appointment kama hii inadhihirisha kwamba huyu mama utendaji wake una walakini hata sehemu ambayo kubembea ni jadi kama UN.

Yaani tatizo hapa si kwamba Dr. Migiro anaonekana kashindwa kazi/ kunetwork, bali anaonekana kashindwa kazi sehemu ambayo ilitakiwa effort ya kunetwork tu. Of course there always is the argument kwamba hii position ni highly political na inabidi kuwa na a high revolving door ili ku satisfy constituents tofauti na hata angekuwa mchapa kazi kiasi gani, ikifika muda fulani inabdidi upishe kiti akalie mwingine.

Halafu unaposema "anakula mshahara kama kawaida" una betray shallow thinking ya kuangalia mshahara. Kuna mtu anauza fulana Hong Kong huko na ni bilionea, kwa hiyo kama issue ni mshahara mtu anayelipwa mshahara wa UN na kujidai analipwa mshahara ni failure. Kwa sababu kama pesa ndo motivation one ought to do better than a UN salary, unless unatoka machakani huko na hujajua kubembea Monaco. Nikiangalia sana hii mentality naweza kuelewa kwa nini si rahisi kupata Mtanzania atakayekataa kazi kama hizi kwa sababu ya kukosa maamuzi.

Kumbe watu wanatafuta mshahara tu? Maamuzi yana maana gani kwa mtu aliyejikita katika kutafuta mshahara?

Huyu mama kajidhalilisha kwa kukubali hizi kazi, msimdhalilishe zaidi kwa kum reduce to the level of a slaary seeker!
 
Pale UN kuna mambo mengi sana ya kienyeji,,kuna fitn,zengwe na ujinga mwingi mno..hata PM wa Israel amewahi kusema 90 percent ya vikao vya UN vimejaa ghiliba,uzushi,na mipango mingi ya ulongo longo..kwa ufupi ikiwa hujaitii US taifa teule la mauaji hutakaa pale hata huyo kila Ban kimoon anajua hilo na hata ukiwa SG watakunyima kipindi cha 2..kwa ufupi pale ni sanaa na genge la US kuhaalishia uuaji na utesaji wake hapa Duniani wala sio UN kama mnavyoiita...

Ingalikuwa Russia hajatetereka angesaidia kuunda umoja mwingne tofauti na huu au hata Mchina, na kubwa Jinga Afrika lingekua na akili lingeweza kuitawala dunia bila wasiwassi coz kuna Market kubwa more than 1b population na pia Natural resources...lakini shida ya AFRIKA ni akili hakuna ...

Hakuna neno nisilolipenda kama hili neno fitna. Ni neno linalotumiwa na watu walioshindwa ku-perform. Limekaa kimipasho. Halifai kutumiwa na mwanaume wa ukweli

Of course watu wengi ni wabaya na hawapendi maendeleo ya wengine - lakini hili ni swala la kawaida ambalo mtu anatakiwa kuliimili anapofanya kazi zake. Hata akina Mandela, Obama, Newton, Yesu Kristo, Mtume Mohammed (SAW), wote walipambana na watu waliojaribu kuwazuia na mwisho wakashind. Hata siku moja hawakulalamika eti fitna fitna
 
to hell!,, hapa bongo kila k2 c mchongo? iwe siasa, academia au nini.. acha imtokee puani, muosha huoshwa.
 
Wasiojua wanaongea na wanaojua hawaongei!

La, wanaofikiri wanajua wanafikiri hawaongei.

Hakuna kujua, na wewe unafikiri unajua ama hujui?

Maana kama unafikiri unajua, ushaongea, na umesema wanaojua hawaongei, kwa hiyo ushajitoa katika wanaojua.

Na kama unafikiri hujui, utajuaje kwamba wanaojua hawaongei?
 
huyu aliyeweka hii atakuwa mpambe wa sphia simba lazima, issue ilishakufa hii we unaleta leo!
 
if that is ascene bihind,then this one is a terrible shame to our country!, I was still in the dark concerning this issue but now u have opened my mind. Let me find more data so that I can contribute in the same.
 
if that is ascene bihind,then this one is a terrible shame to our country!, I was still in the dark concerning this issue but now u have opened my mind. Let me find more data so that I can contribute on the same.
 
Cheo chake kilikuwa kina siasa nyingi sana. Huyu mama siasa za Tanzania tu zinamshinda, je angeweza siasa za dunia? Pumzika mama ule mafao ya uzeeni
 
Hakuna neno nisilolipenda kama hili neno fitna. Ni neno linalotumiwa na watu walioshindwa ku-perform. Limekaa kimipasho. Halifai kutumiwa na mwanaume wa ukweli

Of course watu wengi ni wabaya na hawapendi maendeleo ya wengine - lakini hili ni swala la kawaida ambalo mtu anatakiwa kuliimili anapofanya kazi zake. Hata akina Mandela, Obama, Newton, Yesu Kristo, Mtume Mohammed (SAW), wote walipambana na watu waliojaribu kuwazuia na mwisho wakashind. Hata siku moja hawakulalamika eti fitna fitna

Ungesema tu hupendi kulitumia ningekuelewa, je lobbying unalipenda, i hope you must!! sasa when u question my manhood i may ask you alot of question which you wont be happy to respond to..naomba usiende huko..nani asiejua UN NI GENGE la US kupitisha mambo yake we vp bwana...kama unaona mimi sio mwanaume wa kweli hilo ni suala lingne ni rahisi kukuambia ulete dada yako atakuletea majibu mazuri yatakuondolea hilo dukuduku lako...
 
kAMA UN AMECHEMKA NA AMBAYE NDO ANAPIGIWA CHEPUO LA URAIS 2015 JE ANA SIFA AMBAZO BABA WA TAIFA ALITUACHIA KAMA VIGEZO VYA KUMPATA RAISI
 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipungia wananchi wakati akirejea kijiji cha Lituhi kwa kuvuka mto Ruhuhu kwa mtumbwi, baada ya kutoka kuwasalimu wakazi wa kijiji cha Kipingu wilayani Ludewa,wengine pichani ni Dk.Asha-Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Ndugu Oddo Mwisho.

Mh Rais Jakaya Kikwete kwa wakazi wa kijiji hicho.
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro akiwasalimia wakazi wa kijiji cha Lituhi wakiwa ndani ya Mtumbwi wakitokea katika kijiji cha Kipingu wilayani Ludewa,shoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 
Anajengewa mazingira ya kuwa mwanasiasa anayeijua nchi...unachokiona ni mchezo wa kisiasa wa kumjenga.
 
Rais mtarajiwa huyo 2015 zamu ya akina mama na Lowasa hatabadilika usiku mmoja na kuwa ke! siasa mchezo mchafu
 
Back
Top Bottom