rust
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 330
- 98
Hbr wana-Jf?Tayari nipo kwny mahusiano na kijana ambaye tunaonyesha dhamira za kupendana sana.Japo tulikuwa ktk mahusiano km miez 6 kwnz ya urafiki wa kawaida tu.Hatimaye tumeanza ya ukaribu zaidi miezi miwili iliyopita.Ananishauri mawazo mazuri, na tupo kwny harakati za kutaka nikapafahamu kwao Mwanza,tupo Moro wote.
Ila toka week hii ianze ananishawishi nimpe mautam.Ni busara kweli kumpa na je nisipompa akitafuta kwingine je na kunogewa huko?Japo nilipenda iwe hadi baada ya ndoa.Mi nipo fit,I hope nae yupo physically fit too na hata ikiwa tofauti I will be ready kuvumilia yote.
Plz nifanyeje?
We endelea kum bania mpk ndoa utafute mchepuko utaishia kuwa second choice