Miezi mitano sasa Lokassa ya Mbongo bado hajazikwa!

Miezi mitano sasa Lokassa ya Mbongo bado hajazikwa!

Kichuchunge

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
425
Reaction score
1,027
Denis Kasia a.k.a Lokasa ya Mbongo, mpiga gitaa la maarufu nchini DRC asie na mpinzani, leo ni miezi mitano tangu amefariki na bado hajazikwa. Inasemekana kuna mgogoro azikwe wapi.
Lokassa.jpg
R.I.P mchawi wa gitaa la Rhythm.
 
Wakongo hua wana shida gani hasa kwenye kuzika 🤔🤔 wakongo wengi hua inakua hivyo lazima kule na mgogoro wakati wa kuzika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom