EeehThanks babe kaka..
Shunie yuko busy
HahahaEeeh
Maana Davet namuona ana zurura tu humu..
Haya namtakia kaz njema
Hata cmjuikwahiyo glass amoo ninani yako??
Mtu kaenda kujinyonga
Wapi mkuuNijitokeze![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu tusamehe tu story bila chit chat haionogi we achana na chit chat fatilia story pia mods wakifanyia kazi ombi lako itakuwa vizuri sana ubarikiwe mnoooHV haiwezekani mods mkaweka story yote kwenye page ya 1 na kila inapoongezwa mkafanya iwe inaendelea hapo hapo? Maana naona km ni kero unakuta Uzi umejaa story za majibizano ya watu wa3 tu na wanachojibizana wanaweza kuambiana kwenye simu zao binafsi sasa kwa sisi tunaotafuta story tu inatupa kero kuitafuta.