Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Kuchekacheka hutakiMie sielewagi kabisaaa aki, saivi natafuta mume
Kuchekacheka hutakiMie sielewagi kabisaaa aki, saivi natafuta mume
Mie nshaponaa![]()
![]()
acha nimsaidie Sakayo
Sitaki kabisaaaKuchekacheka hutaki
Mdogo wako mkorofiHahaha
Ananionea aibu mie!! Khaaaa we Tumoo mie mwanakike bwana
Kwa hyo na huyo nae kala konaHahaha
We Cheka tuu aki, Eli79 alinizeveza sijui kapotelea wapi!! Wanaume bwana
Yaani kala kona kubwaaKwa hyo na huyo nae kala kona
Wakipatikana wengi atanigawia mmojasakayo amechoka ako anatafuta mume
Kuna mbebez mmoja ananidanganya danganya walau mananiliu yanapunguaKhaaa
Umeoonaje jamani
Pambana naeMdogo wako mkorofi