Michirizi ya Damu

Mkuu kama sikosei Fareed toka mwanzo ni mwislam..na ndio maana alipendelea sana uarabuni kufanya ufirauni wake..so there is no dramatic change!anaijua dini ya kiislam haswaa!..kama angejifanya ni kasisi (padre)..ndo ingetokea dramatic change!..nadhani mwandishi yupo vzr kabisa..ukizingatia egypt ni nchi ya kiislam maana 95%ya population ni waislam!
 

Basi mkuu hapo sasa ndo nilipopotea kwasababu kama alikua muislam tokea mwanzo then background ya yeye kutaka kua mtu mpya na kwenda kuungama dhambi zake mbele ya Padri ndio niliyoikosa.
 
Sitaki kuzipeperusha lakini tahadhari muhimu.Hata kuna wanategea watu wajiunge na magroup ya hadithi WhatsApp Mimi sikwenda aisee,isijekuwa ni walewale wasiojulikana!
wewe ni muoga
 
Sitaki kuzipeperusha lakini tahadhari muhimu.Hata kuna wanategea watu wajiunge na magroup ya hadithi WhatsApp Mimi sikwenda aisee,isijekuwa ni walewale wasiojulikana!
pole aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…