Hiyo michirizi veeepeUsijali mamy karibu mwaya
HahahaMichirizi ya damu umeanza halafu jana unaniuliza kuhusu rosemary nakuhadithia haujarudi tena unanichosha tu jamani
Ok, wacha nimuone TumosaWe nimekushindwa jamani upo busy na badoo
Wacha nirudi zangu BADOO, maana wanawake wenyewe hamuaminikiTumosa yuko na mume
SawaIceman sijamuona kabisa angekuwepo leo ningeona notification zake kwenye dunia haina usawa
Haloooo ya ki znz .finally umepata Ben 10Na we na story jamani wapi na wapi eti kiben10 changu