Michirizi ya Damu

Michirizi ya Damu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana jamani nyie ndio mnasababisha sijawahi kuwaona hata siku moja huku kwenye mambo za story
Hahaha yan stor nimeinunulia konyagi..halafu konyagi yenyewe nimepewa feki waiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi na wewe mara ya kwanza tumekutana kwenye stori naomba usilisahau hilo...
Oohpss nilishasahau nahisi toka ulivyomalizana na ile haujarudi tena huku
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana jamani nyie ndio mnasababisha sijawahi kuwaona hata siku moja huku kwenye mambo za story
Hahaha story zako nazikutaga katikati,sasa vya kuanzia kati sivipendi,ndo mana nilivoona sehem ya kwanza nikawahi kuja kukaba siti,huyu hazard ye sijui katokea wapi
 
Hahaha story zako nazikutaga katikati,sasa vya kuanzia kati sivipendi,ndo mana nilivoona sehem ya kwanza nikawahi kuja kukaba siti,huyu hazard ye sijui katokea wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hazard ndio aliwahi naye sijui katokea wapiii na story ukiikuta kati uvivu kuanza mwanzo
 
Back
Top Bottom