moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
jaman njoo tenaDM nilifuta bada ya kuona upo kimya haujanijibu
jaman njoo tenaDM nilifuta bada ya kuona upo kimya haujanijibu
niliumia roho juzi wewe acha tuHahaha tutapotezana kweli
Nisamehe mpenzkwanini hukuniambia mapema kama kuna birthday ya shemeji
mfyuuuNisamehe mpenz
Kweli nisamehe jamanmfyuuu
Uachage pozi sasa wewe nimekufata DM kukuuliza kumbe mm ndio shunie
nitaacha mapozi kuanzia sasa mpenzinimekusamehe luvKweli nisamehe jaman
wapenzi wangu simu yangu inazima charge tutawasiliana bdae basiUachage pozi sasa wewe nimekufata DM kukuuliza kumbe mm ndio shunie
duuhNdio mana unaambiwa usimdharau usiyemjua umejionea sasa
sio kwavichambo hivi unavyonipa leonimekoma jamanAcha nikuchambe tu mpenzi ulistahili
Aah nimeiona banandio nenda DM kwako kapekue huko utakuta request moja inaanzia na mm ndio mm kama hujaifuta
Sa uongo?Khaaaaa yaani wewe