Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,748
- 28,140
- Thread starter
- #21
nimetingisha Hali yako saa ngapi mkuu
nimetingisha Hali yako saa ngapi mkuu
DuhDaima siwezi fanya hivyo ni sawa na kujamba ukweni
nimetingisha Hali yako saa ngapi mkuu
Itakuwa ilikuwa hakufinyii ndani mkuuMm nilikutana na kesi kama hiho hiyo japo sijaoa lakin nina mtu sasa niko naye kwenye relation ship , basi imekuwa ni hatari
Nikaona ujinga nimempotezea mpk leo
sent from toyota Allex
HahaaaaaMzee mwenyewe mkongwe wa hii sekta
Umepotelea wapi braza? Au nawe ulifichwa na deli la askrimu ndaniHahaaaaa
Hatari lakini salama sana ndugu
Bora hata wewe umeambiwa kumfukuza; kwa hali halisi ilivyo kitaa; mchepuko anaweza kumgonga hata kwa gari ili mkeo afe ili aje mjengoni!Wakuu jana mchepuko wangu umegoma kabisa kunipa haki yangu.
Madai yake ni kwamba eti nimfukuze mama watoto nyumbani then nimuoe yeye.
Yaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu ndani?
No way.
Umenfurahisha sana hahahahaWakuu jana mchepuko wangu umegoma kabisa kunipa haki yangu.
Madai yake ni kwamba eti nimfukuze mama watoto nyumbani then nimuoe yeye.
Yaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu ndani?
No way.
No comment, utupe friji uweke deli la icream ndani, pia umeme ukatike
Kwanini mkuu
Hapo kwenye mambo mkuu ndio utata unapoanzia Ila piga konde moyo angalia familiaAna mambo adimu lakini mkuu
Akiwa tayari kashafika kwa Sir.God 😀Kila kitu kitakaa sawa kabisa