Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Tatizo Hamida plus uno nduguUmepotelea wapi braza? Au nawe ulifichwa na deli la askrimu ndani
Atamuua mke wakeHuyo anaweza akakuua huyoo!!

nimependa msimamo wako,Lea familia yako,hayo mambo adimu alonayo huyo mchepuko jaribu kumfundisha wifi taratibu naamini nae ata adaptYaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu ndani?Wakuu jana mchepuko wangu umegoma kabisa kunipa haki yangu.
Madai yake ni kwamba eti nimfukuze mama watoto nyumbani then nimuoe yeye.
Yaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu ndani?
No way.
Hahahaaa hapo kwenye deli la asklimu utakua unauza azamu ukwaju 😆😆😆😅Wakuu jana mchepuko wangu umegoma kabisa kunipa haki yangu.
Madai yake ni kwamba eti nimfukuze mama watoto nyumbani then nimuoe yeye.
Yaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu ndani?
No way.
We alikuwa anafahamu mambo sio kitoto uno lake kwanza , ilikuwa ni full zaidi ya akudo , inshort alikuwa anafahamu sana ....mpk sasa huwa najihic kama ameniloga maana nguo zake zipo kabatini kwangu mpk leoItakuwa ilikuwa hakufinyii ndani mkuu