Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,340
- 56,067
- Thread starter
-
- #81
Wanaothamini kidogo ni wachache sana,unashangaa leo unatoa laki,kesho anakuambia nimeona nguo nzuri,nataka kuenda saluni,hujakaa sawa anakuambia mzigo wake umekwama anaomba umpe laki 3,mpaka mtu unachanganikiwaKuna michepuko inajielewa balaa.
Yaani unakutana na mwanamke ana malengo makubwa makubwa na anayatimiza.
Anathamini hata kidogo unachompatia na hana time na ndoa yako.!
ha ha ha ha tupe uzoefuVumilieni tu
ha ha ha ha tupe uzoefu
Tatizo matumizi yanakuwa rafu sana yanakuwa hayana mpangilio....inakuwa kama vile kukomoana.Wanaume mnatakiwa mjue hata sisi wanawake tunahitaji kuwa na wapenzi wa peke yetu, unapokuja kwangu wewe kama mume wa mtu maana yake unanitreat kama ziada, mimi pia inaniuma kuona kuwa huyu mwanaume ninaye ila sio wangu...unadhani hilo gap naliziba vipi
Sio kukomoana, tunafidia maumivu tunayopitiaTatizo matumizi yanakuwa rafu sana yanakuwa hayana mpangilio....inakuwa kama vile kukomoana.
Inawezekana ikawa hivyo,ila utokaji wa fedha unakuwa ni mkubwa kweli wakati bi mkubwa hana hayo mambo.Sio kukomoana, tunafidia maumivu tunayopitia
Bi mkubwa umempa kila kitu, anaitwa Mrs Equation x...hii pekee inampa haki ya kila kitu ambacho kinahusiana na wewe, hata ungenimwagia mamilioni bado haitoshi kufidia hilo gepuInawezekana ikawa hivyo,ila utokaji wa fedha unakuwa ni mkubwa kweli wakati bi mkubwa hana hayo mambo.
Nimekuelewa;kwa hiyo mchepuko anakuwa pale kwa ajili ya maslai yake na si mapenziBi mkubwa umempa kila kitu, anaitwa Mrs Equation x...hii pekee inampa haki ya kila kitu ambacho kinahusiana na wewe, hata ungenimwagia mamilioni bado haitoshi kufidia hilo gepu
Nifate mapenzi kwako nitayapata? Pale ni exchange tu maana hata wewe kilichokuleta kwangu sio mapenzi. Unapata unachohitaji na mimi napata nnachohitaji....deal closed. Siwezi kuwekeza kwenye mapenzi wakati siku yoyote unaweza kuamua kuniacha na kurudi kwa mkeo na mimi ukaniachia v.uzi tu.Nimekuelewa;kwa hiyo mchepuko anakuwa pale kwa ajili ya maslai yake na si mapenzi
ha ha ha ha ha,sio hivyo unakuwa umeweka mipango kabisa baada ya muda fulani tutafanya biashara fulani na mikakati unakuwa umeweka na mkakubaliana;kabla ya kufanikisha hilo mizinga inakuwa mingi mpaka ile mipangilio yako ya awali inashindwa kutekelezeka.Nifate mapenzi kwako nitayapata? Pale ni exchange tu maana hata wewe kilichokuleta kwangu sio mapenzi. Unapata unachohitaji na mimi napata nnachohitaji....deal closed. Siwezi kuwekeza kwenye mapenzi wakati siku yoyote unaweza kuamua kuniacha na kurudi kwa mkeo na mimi ukaniachia v.uzi tu.
Tatizo hakuna guarantee, hivi siku imefika unaniambia nimeshindwa kutoa pesa wife ameficha ATM card nitakushtaki wapi? Au kabla hata hatujafika kutekekeza mipango unaniambia mimi sasa hivi nimeokoka sitaki tena michepuko usinitafute tena wakati huo wewe ulikuwa unajinyima unasubiri kutekeleza mipango mikubwa. Unakamua kwelikweli kama ni mipango unafanya ya kwako binafsi, mambo ya kupanga mipango na mume wa mtu yanatoka wapiha ha ha ha ha,sio hivyo unakuwa umeweka mipango kabisa baada ya muda fulani tutafanya biashara fulani na mikakati unakuwa umeweka na mkakubaliana;kabla ya kufanikisha hilo mizinga inakuwa mingi mpaka ile mipangilio yako ya awali inashindwa kutekelezeka.
ha ha ha ha,nimekuelewa kwa 100%;namuomba Mungu anijalie niachane nao vizuri bila kukwaruzana,wanavyopiga mizinga ni sawa na ndege aliyenyonyolewa manyoya baadae akaambiwa aruke.Tatizo hakuna guarantee, hivi siku imefika unaniambia nimeshindwa kutoa pesa wife ameficha ATM card nitakushtaki wapi? Au kabla hata hatujafika kutekekeza mipango unaniambia mimi sasa hivi nimeokoka sitaki tena michepuko usinitafute tena wakati huo wewe ulikuwa unajinyima unasubiri kutekeleza mipango mikubwa. Unakamua kwelikweli kama ni mipango unafanya ya kwako binafsi, mambo ya kupanga mipango na mume wa mtu yanatoka wapi
Vumilieniha ha ha ha,nimekuelewa kwa 100%;namuomba Mungu anijalie niachane nao vizuri bila kukwaruzana,wanavyopiga mizinga ni sawa na ndege aliyenyonyolewa manyoya baadae akaambiwa aruke.
ha ha ha ha ha sawa mkuu,kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwako.Vumilieni
Ujifunze na ukafanyie kaziha ha ha ha ha sawa mkuu,kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwako.
Kweli mkuu,hapa ni kubaki njia kuu tuUjifunze na ukafanyie kazi
Kimbia mbio nyingi kituo polisi postkuna mmoja ni mwanachuo fulan,ana chura matata leo anataka umpe fedha ya matumizi ya mwezi mzima,hujakaa sawa anataka laptop,hujageuka unaambiwa wazazi wangu wanataka matumizi....maji yamenifika shingoni inabidi nikimbie tu.
Ila ccm si chama cha maendeleo.
Ndugu Zangu Mjifunze Kuchagua
Kosea Kuoa Ila Siyo Kuchagua Sasa Hivi Hadi Miaka Mitano. Ccm Hii Ya Kangomba Na Kifutu
Umeanza kuzinduka, Mungu akuamshe uache kifisadi familia yako maana matumizi mabaya ya pesa ya famikiMida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakafamilia ni ufisadi pia.umizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.