Michepuko inafilisi

Uchumi wa katikati
 
Michepuko ya bongo cdhani km ni sawa na nchi zingine........

Ikikuona tu inasikia njaa, haina simu, gaujalipa kodi ya nyumba nk......yaani ni km laana vile
 
Hili jambo huwa najiuliza sana
 
Ahahahahah.Dah hivyo ni vipaji vya watu mzee.Usiige.
Nb.
Mimi siwezi.
Tukulane tu ila tusileteane ujambazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…