Michepuko inafilisi

kazi unayo
 
Haaaahaaaa
mbavu zangu jamani

Ina maana huyo unayemquote anajifanya hayaelewi haya?
 
Nimeanza kupunguza mawasiliano kwa mmoja na kumuambia kwa sasa nabana matumizi nadaiwa na bank,muda wowote wanaweza kuuza asset zangu,akabaki kusema Mungu atakusaidia tu;bila kujua ni mkakati wa kuachana.


Huyo analala mbele kama umeshamwambia hivo full kujiongeza

Mwanamke akikosa pesa anasepa mwenyewe bila hata nguvu
 
kuna mmoja ni mwanachuo fulan,ana chura matata leo anataka umpe fedha ya matumizi ya mwezi mzima,hujakaa sawa anataka laptop,hujageuka unaambiwa wazazi wangu wanataka matumizi....maji yamenifika shingoni inabidi nikimbie tu.
Chuo gani mkuu tukusaidie malipo

Kwanini ubebe huo mzigo wa chura peke yako
Mi sipendi kuona mwanaume mwenzangu anapata shida.,inanisikitisha sana
 
Mi naichapa kwa sound tu ikistuka ishaliwa siunajua mjini ukiwa na kigari chako cha mkopo ukiongea unaaminika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…