Michepuko inafilisi

[emoji16][emoji16][emoji16]kazi unayo
 
Haaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]mbavu zangu jamani

Ina maana huyo unayemquote anajifanya hayaelewi haya?[emoji16][emoji16]
 
Haaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]mbavu zangu jamani

Ina maana huyo unayemquote anajifanya hayaelewi haya?[emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16] anaelewa vizuri sema anajitoa ufahamu tu, anataka na sie tujitoe ufahamu
 
Nimeanza kupunguza mawasiliano kwa mmoja na kumuambia kwa sasa nabana matumizi nadaiwa na bank,muda wowote wanaweza kuuza asset zangu,akabaki kusema Mungu atakusaidia tu;bila kujua ni mkakati wa kuachana.
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Huyo analala mbele kama umeshamwambia hivo full kujiongeza

Mwanamke akikosa pesa anasepa mwenyewe bila hata nguvu
 
ha ha ha ha binadamu hutakiwi kukimbia matatizo,bali unatakiwa upambane nayo uyashinde.
Kweli hakuna kukimbia likikukuta unalia weeeee kisha unaanza tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ukilipata la kukua ndiyo basi tena
 
kuna mmoja ni mwanachuo fulan,ana chura matata leo anataka umpe fedha ya matumizi ya mwezi mzima,hujakaa sawa anataka laptop,hujageuka unaambiwa wazazi wangu wanataka matumizi....maji yamenifika shingoni inabidi nikimbie tu.
Chuo gani mkuu tukusaidie malipo [emoji23]
Kwanini ubebe huo mzigo wa chura peke yako
Mi sipendi kuona mwanaume mwenzangu anapata shida.,inanisikitisha sana
 
Mi naichapa kwa sound tu ikistuka ishaliwa siunajua mjini ukiwa na kigari chako cha mkopo ukiongea unaaminika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…