Michepuko Experience: Wanaume wote tumepitia, tujadiliane!

Michepuko Experience: Wanaume wote tumepitia, tujadiliane!

Wapili ni katika Mazingira ya kazi,
wakati tunafanya biashara zetu ndogondogo.
Binti tukazoeana, tukiwa kwenye kufuatilia mzigo! nikamwambia tufikie hotel moja tushare na room kukwepa gharama, akakubali! Kilichofuatia ni Histry.
Utabeba ngoma umpelekee mkeo nyumbani
 
Kuna Wadada WATATU mpaka muda huu na weka hewani hili bandiko ni Mimi tu kutoa location wapo king ila nawazaga sana BETRAYAL na CONSEQUENCES zake
mm kama kijana nashikilia rekodi mwaka wa Saba now sijawai saliti ndoa (chepuka)

Huwa naingia tamaa sometimes maana Kuna pisi kali nyingi tu zinazaliwa kama binadamu ila siku zote LOGIC Hunikumbusha the consequences za CHEATING naishia kuzuga na kupotezaa....
Wewe ni bora
 
Shida ni kwamba wanawake zetu wanasahau kwamba sex ni muhimu sana kwetu

Mi nilikaa miaka 3 bila kuchepuka..

Weee si akaanza kutumia sex km fimbo ya kunichapia...nikaanz kusahau hata kufanya mapenzi mpk uliridhike inakuajebao 2 la pili nimechoka pumbavuuuuuuuuu!!!!

Nilivyotafuta katoto kMoja kachuo aisee mapenzi yalirudi sana kwa mke wangu .

Ukipata mchepuko wa kuondoa kiu ya mapenzi ndo upendo unarudi kwa mkeo maana hasira zote juu yake zinaisha ghafla...

Kuna hasira z genye ambazo ni common sana kuzipata kwa sisi wenye ndoa za mke mmoja..

Unahisi hili puuzi linajua hata kwanini nimelioa au limekaa Kaa tu km funzA humu ndani..sasa kagonge vizuri katoto kachuo bao 3 ,nyege ziishe ndo ukirudi nyumbani walau unamuonA wa maana..

Mwanaume anweza kuvumiliA asichepuke ila lazima makwazo yawe chini ndani ya nyumba na sex iwe ya kula na kusaza yaani kifupi mwanamke awe na libido kubwa.. changamoto ni kumpata mwenye libido kubwa ndo kipengele..

Kwenye ndoa ukizubaa unaweza kujikutA uume umesinyaa hivi hivi na hapo ndo lazima ujiongeze.. Unaweza kusahau kufanya mapenzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yametukuta wanaume tuliopanga tusiguse nje...

Mtu anakuwa km dada Yako kazubaa tu

Kuliko kuanzA kumpiga makofi kwa makosa madogo madogo,hizo genye zako katafute pakuzitoa.Genye mbaya zinaweza kufanya mchukie mke usitake hata kumuona au umpige bila sababu kumbe ni hasira za kubaniwa k.

Kosa dogo bonge la kofiiiii anajiuliza huyu mbona ana mahasira hasira..swali mara ya mwisho kumpa sex ni lini???
Mkuu una akili sana na umeongea kwa hisia sana
 
Natongoza sana na nakuwa kama nawaweka hewani..(pending) nikipata wasaha nakuwa na focus na plan mpaka jinsi ntkavyokuacha..lakin kuna karoho huwa kananiambia si vyema ipo siku utafumwa na mkeo.
Naishukuru samsung nikikuweka sparm sms nasoma na nnajibu bila wife kustukia. Nashukuru apps za calculator...ngoja nisiendelee kutoa siri.

Sheitwani akinitoka na akili za kawaida zikinirudi najisemeaga moyoni hii hela niliyotumia ningempa wife angenishukurru sana.
 
Natongoza sana na nakuwa kama nawaweka hewani..(pending) nikipata wasaha nakuwa na focus na plan mpaka jinsi ntkavyokuacha..lakin kuna karoho huwa kananiambia si vyema ipo siku utafumwa na mkeo.
Naishukuru samsung nikikuweka sparm sms nasoma na nnajibu bila wife kustukia. Nashukuru apps za calculator...ngoja nisiendelee kutoa siri.

Sheitwani akinitoka na akili za kawaida zikinirudi najisemeaga moyoni hii hela niliyotumia ningempa wife angenishukurru sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] unakaufala flani hivi dadeki...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana
 
Shida ni kwamba wanawake zetu wanasahau kwamba sex ni muhimu sana kwetu

Mi nilikaa miaka 3 bila kuchepuka..

Weee si akaanza kutumia sex km fimbo ya kunichapia...nikaanz kusahau hata kufanya mapenzi mpk uliridhike inakuajebao 2 la pili nimechoka pumbavuuuuuuuuu!!!!

Nilivyotafuta katoto kMoja kachuo aisee mapenzi yalirudi sana kwa mke wangu .

Ukipata mchepuko wa kuondoa kiu ya mapenzi ndo upendo unarudi kwa mkeo maana hasira zote juu yake zinaisha ghafla...

Kuna hasira z genye ambazo ni common sana kuzipata kwa sisi wenye ndoa za mke mmoja..

Unahisi hili puuzi linajua hata kwanini nimelioa au limekaa Kaa tu km funzA humu ndani..sasa kagonge vizuri katoto kachuo bao 3 ,nyege ziishe ndo ukirudi nyumbani walau unamuonA wa maana..

Mwanaume anweza kuvumiliA asichepuke ila lazima makwazo yawe chini ndani ya nyumba na sex iwe ya kula na kusaza yaani kifupi mwanamke awe na libido kubwa.. changamoto ni kumpata mwenye libido kubwa ndo kipengele..

Kwenye ndoa ukizubaa unaweza kujikutA uume umesinyaa hivi hivi na hapo ndo lazima ujiongeze.. Unaweza kusahau kufanya mapenzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yametukuta wanaume tuliopanga tusiguse nje...

Mtu anakuwa km dada Yako kazubaa tu

Kuliko kuanzA kumpiga makofi kwa makosa madogo madogo,hizo genye zako katafute pakuzitoa.Genye mbaya zinaweza kufanya mchukie mke usitake hata kumuona au umpige bila sababu kumbe ni hasira za kubaniwa k.

Kosa dogo bonge la kofiiiii anajiuliza huyu mbona ana mahasira hasira..swali mara ya mwisho kumpa sex ni lini???
Mkuu umevunja mno[emoji23][emoji23]
 
Kama mke hakupi kero na ni mfariji mkuu....

Mimi na tatizo Moja Sijawai kumsamehe msaliti wa mapenzi hata kama tukiendelea nakua mnafiki nilimwambia wife WANGU siku aki ni Cheat nikajua siwezi kumsamehe na ndio itakua kinyongo na upendo wangu kwake uta FADE

So mm mwaka wa Saba sijawai saliti ndoa
Inawezekana ni kukabiliana na hisia zako, cha msingi mkeo awe anakupa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom