Watu wengi hamuelewi maana ya mchepuko. Iko hivi kupiga demu mara moja au mbilli kisha ukatupa kule huyo sio mchepuko.
Au kununua malaya au wadangaji mara kwa mara ukapiga kisha ukapiga hao sio michepuko.
Michepuko ina thamani kubwa zaidi ya hiyo. Hao ndio side chicks ambao wanabeba dhamana kama ya mkeo kwa kukamilisha kile kilichopungua kwa mkeo. Ndio manawanaitwa nyumba ndogo.
Mchepuko ni mke ambae hajatambulika rasmi kwa watu wa kando kando yako kama vile wazazi, mke nk lkn wewe una uhuru nae na kuwajibika kwake kama ilivyo kwa mkeo.
Kwa sisi wenye michepuko tunachoshindwa ni kuitambulisha tuu kwa familia lkn hawa tumawatumia kama wake zetu.
Tunazaa nayo, tunapanga nayo malengo ya baadae, tumawapiga mikwara, tunawakasirikia, tunawafundisha, tunawatisha kubwa zaidi ni ukamilisho wa furaha ambayo kule big house huipati.
Mchepuko mzuri zaidi (kama wa kwangu) ni yule ambae anamthamini na kumuheshimu mkeo kwa kutomletea dharau na anajua anachofanya sio kizuri ila hawezi kukuacha kwa sababu amekupenda.