Michepuko Experience: Wanaume wote tumepitia, tujadiliane!

Michepuko Experience: Wanaume wote tumepitia, tujadiliane!

By the way, kati ya Wanaume 100 tulioko kwenye ndoa 99 tumechepuka.

Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k

Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!

Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.

Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.

Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.

Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..

Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.

Vipi wewe ulianzaje?

Michepuko ni hatari.

Tuchepuke kwa Tahadhari.
Mwanaume asiyechepuka ana matatizo.
 
By the way, kati ya Wanaume 100 tulioko kwenye ndoa 99 tumechepuka.

Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k

Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!

Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.

Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.

Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.

Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..

Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.

Vipi wewe ulianzaje?

Michepuko ni hatari.

Tuchepuke kwa Tahadhari.
Hii ndo dhambi inayonitesa sema kizuri ni kwamba wife ananiamini sana.
 
Kuna Wadada WATATU mpaka muda huu na weka hewani hili bandiko ni Mimi tu kutoa location wapo king ila nawazaga sana BETRAYAL na CONSEQUENCES zake
mm kama kijana nashikilia rekodi mwaka wa Saba now sijawai saliti ndoa (chepuka)

Huwa naingia tamaa sometimes maana Kuna pisi kali nyingi tu zinazaliwa kama binadamu ila siku zote LOGIC Hunikumbusha the consequences za CHEATING naishia kuzuga na kupotezaa....
🤣🤣🤣🤣, life not fair at all
 
Watu wengi hamuelewi maana ya mchepuko. Iko hivi kupiga demu mara moja au mbilli kisha ukatupa kule huyo sio mchepuko.

Au kununua malaya au wadangaji mara kwa mara ukapiga kisha ukapiga hao sio michepuko.


Michepuko ina thamani kubwa zaidi ya hiyo. Hao ndio side chicks ambao wanabeba dhamana kama ya mkeo kwa kukamilisha kile kilichopungua kwa mkeo. Ndio manawanaitwa nyumba ndogo.

Mchepuko ni mke ambae hajatambulika rasmi kwa watu wa kando kando yako kama vile wazazi, mke nk lkn wewe una uhuru nae na kuwajibika kwake kama ilivyo kwa mkeo.

Kwa sisi wenye michepuko tunachoshindwa ni kuitambulisha tuu kwa familia lkn hawa tumawatumia kama wake zetu.

Tunazaa nayo, tunapanga nayo malengo ya baadae, tumawapiga mikwara, tunawakasirikia, tunawafundisha, tunawatisha kubwa zaidi ni ukamilisho wa furaha ambayo kule big house huipati.

Mchepuko mzuri zaidi (kama wa kwangu) ni yule ambae anamthamini na kumuheshimu mkeo kwa kutomletea dharau na anajua anachofanya sio kizuri ila hawezi kukuacha kwa sababu amekupenda.
 
By the way, kati ya Wanaume 100 tulioko kwenye ndoa 99 tumechepuka.

Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k

Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!

Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.

Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.

Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.

Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..

Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.

Vipi wewe ulianzaje?

Michepuko ni hatari.

Tuchepuke kwa Tahadhari.
da we acha tu😂
 
Yaani nilichepuka tu siku ya kwanza nilipo toka kutoa mahali na uchepukaji ulianzia hapo. Na nilie chepuka nae siku hiyo tulizingua baada ya wiki mbili tu juu alikua anataka nimpeleke gheto nikamchakatie huko wakati huo kuna mke tayari gheto ndio hivyo akasema simpendi akala kona...ila hadi sasa nina.
 
By the way, kati ya Wanaume 100 tulioko kwenye ndoa 99 tumechepuka.

Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k

Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!

Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.

Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.

Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.

Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..

Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.

Vipi wewe ulianzaje?

Michepuko ni hatari.

Tuchepuke kwa Tahadhari.
Sasa wewe unaumiza kichwa bure wake zetu wenyewe wanagegedwa huko nje....all is fair. Cha msingi mke aje na style mupya mupya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom