raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,509
- 35,699
😄😁😆😂🤣Sijui hata nifanyeje maaana nimezaa na mchepuko watoto wengi kuliko mke wa ndoa! Japo mke wangu hafahamu lolote!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
😄😁😆😂🤣Sijui hata nifanyeje maaana nimezaa na mchepuko watoto wengi kuliko mke wa ndoa! Japo mke wangu hafahamu lolote!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuna Mazingira tu, yanapelekea haya mambo.Kama mke hakupi kero na ni mfariji mkuu....
Mimi na tatizo Moja Sijawai kumsamehe msaliti wa mapenzi hata kama tukiendelea nakua mnafiki nilimwambia wife WANGU siku aki ni Cheat nikajua siwezi kumsamehe na ndio itakua kinyongo na upendo wangu kwake uta FADE
So mm mwaka wa Saba sijawai saliti ndoa
Yaani kwa maelezo yako, mchepuko ni mke. Binafsi siwezi kuwa na mchepuko nikampa majina bandia, yule ni wife..anafanya duties za wife kasoro cheti cha ndoa tu.Watu wengi hamuelewi maana ya mchepuko. Iko hivi kupiga demu mara moja au mbilli kisha ukatupa kule huyo sio mchepuko.
Au kununua malaya au wadangaji mara kwa mara ukapiga kisha ukapiga hao sio michepuko.
Michepuko ina thamani kubwa zaidi ya hiyo. Hao ndio side chicks ambao wanabeba dhamana kama ya mkeo kwa kukamilisha kile kilichopungua kwa mkeo. Ndio manawanaitwa nyumba ndogo.
Mchepuko ni mke ambae hajatambulika rasmi kwa watu wa kando kando yako kama vile wazazi, mke nk lkn wewe una uhuru nae na kuwajibika kwake kama ilivyo kwa mkeo.
Kwa sisi wenye michepuko tunachoshindwa ni kuitambulisha tuu kwa familia lkn hawa tumawatumia kama wake zetu.
Tunazaa nayo, tunapanga nayo malengo ya baadae, tumawapiga mikwara, tunawakasirikia, tunawafundisha, tunawatisha kubwa zaidi ni ukamilisho wa furaha ambayo kule big house huipati.
Mchepuko mzuri zaidi (kama wa kwangu) ni yule ambae anamthamini na kumuheshimu mkeo kwa kutomletea dharau na anajua anachofanya sio kizuri ila hawezi kukuacha kwa sababu amekupenda.
Watu wengi hamuelewi maana ya mchepuko. Iko hivi kupiga demu mara moja au mbilli kisha ukatupa kule huyo sio mchepuko.
Au kununua malaya au wadangaji mara kwa mara ukapiga kisha ukapiga hao sio michepuko.
Michepuko ina thamani kubwa zaidi ya hiyo. Hao ndio side chicks ambao wanabeba dhamana kama ya mkeo kwa kukamilisha kile kilichopungua kwa mkeo. Ndio manawanaitwa nyumba ndogo.
Mchepuko ni mke ambae hajatambulika rasmi kwa watu wa kando kando yako kama vile wazazi, mke nk lkn wewe una uhuru nae na kuwajibika kwake kama ilivyo kwa mkeo.
Kwa sisi wenye michepuko tunachoshindwa ni kuitambulisha tuu kwa familia lkn hawa tumawatumia kama wake zetu.
Tunazaa nayo, tunapanga nayo malengo ya baadae, tumawapiga mikwara, tunawakasirikia, tunawafundisha, tunawatisha kubwa zaidi ni ukamilisho wa furaha ambayo kule big house huipati.
Mchepuko mzuri zaidi (kama wa kwangu) ni yule ambae anamthamini na kumuheshimu mkeo kwa kutomletea dharau na anajua anachofanya sio kizuri ila hawezi kukuacha kwa sababu amekupenda.
Mashallah!!Kama mke hakupi kero na ni mfariji mkuu....
Mimi na tatizo Moja Sijawai kumsamehe msaliti wa mapenzi hata kama tukiendelea nakua mnafiki nilimwambia wife WANGU siku aki ni Cheat nikajua siwezi kumsamehe na ndio itakua kinyongo na upendo wangu kwake uta FADE
So mm mwaka wa Saba sijawai saliti ndoa
Nimewahi kuwa nao wakati fulani, niliacha pale mchepuko alipotaka kupindua meza ili awe Mama House.Hakuna cha mtego.
toa uzoefu wako
Mkuu uyo mchepuko wako alikuwa fala sana yan anapewa lifti anataka apige na oni kabisa uyo ni wa kumtandika makofi alafu unamuacha mazima mana alitaka kukuaribia ndoaNimewahi kuwa nao wakati fulani, niliacha pale mchepuko alipotaka kupindua meza ili awe Mama House.
Yule fala aliiba namba ya waifu na kumtumia ujumbe eti yeye mke mwenzie
Kutokea hapo nimekuwa nafanya Vetting kubwa sana kupata chepuko
Yaani alizingua sana, bila kutumia uzoefu ndoa ilitaka vunjika kwa tukio lileMkuu uyo mchepuko wako alikuwa fala sana yan anapewa lifti anataka apige na oni kabisa uyo ni wa kumtandika makofi alafu unamuacha mazima mana alitaka kukuaribia ndoa
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
hicho ni Kipaji mkuu,nakupongezaKuna Wadada WATATU mpaka muda huu na weka hewani hili bandiko ni Mimi tu kutoa location wapo king ila nawazaga sana BETRAYAL na CONSEQUENCES zake
mm kama kijana nashikilia rekodi mwaka wa Saba now sijawai saliti ndoa (chepuka)
Huwa naingia tamaa sometimes maana Kuna pisi kali nyingi tu zinazaliwa kama binadamu ila siku zote LOGIC Hunikumbusha the consequences za CHEATING naishia kuzuga na kupotezaa....

Kula LIKE mkuuWatu wengi hamuelewi maana ya mchepuko. Iko hivi kupiga demu mara moja au mbilli kisha ukatupa kule huyo sio mchepuko.
Au kununua malaya au wadangaji mara kwa mara ukapiga kisha ukapiga hao sio michepuko.
Michepuko ina thamani kubwa zaidi ya hiyo. Hao ndio side chicks ambao wanabeba dhamana kama ya mkeo kwa kukamilisha kile kilichopungua kwa mkeo. Ndio manawanaitwa nyumba ndogo.
Mchepuko ni mke ambae hajatambulika rasmi kwa watu wa kando kando yako kama vile wazazi, mke nk lkn wewe una uhuru nae na kuwajibika kwake kama ilivyo kwa mkeo.
Kwa sisi wenye michepuko tunachoshindwa ni kuitambulisha tuu kwa familia lkn hawa tumawatumia kama wake zetu.
Tunazaa nayo, tunapanga nayo malengo ya baadae, tumawapiga mikwara, tunawakasirikia, tunawafundisha, tunawatisha kubwa zaidi ni ukamilisho wa furaha ambayo kule big house huipati.
Mchepuko mzuri zaidi (kama wa kwangu) ni yule ambae anamthamini na kumuheshimu mkeo kwa kutomletea dharau na anajua anachofanya sio kizuri ila hawezi kukuacha kwa sababu amekupenda.


Kuwa makini sana na vipoozeo vya nje mkuu uhuru usizidi sana mpk kutaka kukuaribia ndoa bhanaYaani alizingua sana, bila kutumia uzoefu ndoa ilitaka vunjika kwa tukio lile
Sahihi kabisa mkuuKuwa makini sana na vipoozeo vya nje mkuu uhuru usizidi sana mpk kutaka kukuaribia ndoa bhana
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Balaa kaliNimewahi kuwa nao wakati fulani, niliacha pale mchepuko alipotaka kupindua meza ili awe Mama House.
Yule fala aliiba namba ya waifu na kumtumia ujumbe eti yeye mke mwenzie
Kutokea hapo nimekuwa nafanya Vetting kubwa sana kupata chepuko
Mkuu hili bomu likija kulipuka ni hatari sana. We endelea kulipalilia tuSijui hata nifanyeje maaana nimezaa na mchepuko watoto wengi kuliko mke wa ndoa! Japo mke wangu hafahamu lolote!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Yaani ni shida, nikahusisha na kisa cha Shetani kutaka mamlaka ya Mungu wakati yeye alikuwa malaika msaidizi tu wa Sir God 😅Balaa kali
Maisha na micheps unatakiwa kuwa smart sana, kuna jamaa yeye anapigapiga tu, kifupi ananunua huko fb, anasema havimpi shida coz wakimalizana hawatafutani tena hadi jamaa akitaka tena...which means ni huduma yenye malipo. 50k each session.Yaani ni shida, nikahusisha na kisa cha Shetani kutaka mamlaka ya Mungu wakati yeye alikuwa malaika msaidizi tu wa Sir God 😅
Kuna haja ya kuwa makini na hawa Michepuko, ukiona ana viashiria vya kutaka kupindua meza muache mapema kabla hajaleta maafa
Of course, smartness is a thing you must have to own a sidechick.Maisha na micheps unatakiwa kuwa smart sana, kuna jamaa yeye anapigapiga tu, kifupi ananunua huko fb, anasema havimpi shida coz wakimalizana hawatafutani tena hadi jamaa akitaka tena...which means ni huduma yenye malipo. 50k each session.


