Michael Jackson Alimdharau Mzee Mwinyi, Alijiachia Ka Baba ake

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,859
ImageUploadedByJamiiForums1452234309.636851.jpg

Hutu tu michael tulikuwa na dharau sana.Tunawekaje miguu juu mbele ya Rais?Au alimwona mzee mwinyi dhaifu.Ingekuwa wakati huu Magufuli angemkata makofi na kumpa masaa 24 awe amerudi kwao.
 
mkuu acha kumsema mfu kwa ubaya hata kama kakosea kumbuka hakuna mkamilifu sisi wote ni wakosaji na mbona ana sifa nyingi tu nzuri kwa nini usizitaje hizo?mojawapo Michael alikuwa mpole na mwema sana kwa watoto wake,muangalie huyu mwanawe Paris anasema nini katika hii video
 
mkuu acha kumsema mfu kwa ubaya hata kama kakosea kumbuka hakuna mkamilifu sisi wote ni wakosaji na mbona ana sifa nyingi tu nzuri kwa nini usizitaje hizo?mojawapo Michael alikuwa mpole na mwema sana kwa watoto wake,muangalie huyu mwanawe Paris anasema nini katika hii video

Mkuu umenikumbusha machungu yaliyoanza kupotea!
Ile siku nililia sana kwa maneno ya huyu mtoto,hadi nimetoa chozi!
 
Na wale wanaoongea na mh.Rais wakakunja nne,mbona huwasemi,tena mwenyewe kashika mikono kuonyesha unyenyekevu
 
That was a casual pose hata ukimwona mwinyi karelax kifriendly tu jmn. Watanzania mambo mengine mnaboa
 
Back
Top Bottom