Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.
Husnino hujatulia mpenzi,mibaba imekuja juuuuuu:rain:Huu ni mpambano kati ya NE na mibaba ya JF.
Tunamaanisha ya JF sio ya mtaani.
Imebaki siku nzima ya leo mpambano uishe. Ndugu wasomaji wasikilizaji na waangaliaji naona mpambano mkali na NE ameelemewa.
Nitarudi kesho kuwatangazia mshindi.
Ngumi hazijaruhusiwa bado.
Ni mpambano wa maneno tu.
Tuendelee.
michelle umeshasoma mtiririko wa post za huyu NE?kazi kweli kweli,ila na wanaume nawashangaa jamani,huyu dada alishasema ana mume na anampenda mume wa jirani yake? mnapenda sana kuwekwa kwenye foleni eeeeh?mbona mkigundua mnapangwa mnakuwa wakali kama mnatongoza mke wa mtu,mwenye mapenzi pia na mume wa jirani yake?si vizuri....jiheshimuni mibaba ya JF wenye tabia zisizopendeza.....Not Enough,ignore them,wengine wanakuchora tu....JF kuna baadhi ya watu wana akili za ajabu.....:hand::hand:
michelle umeshasoma mtiririko wa post za huyu NE?
unajua inafikia mahala kama inaonekana anafanya mizaha ndio maana pia anapata majibu sanjari na mizaha yake
noted madam...lakini kwa style hii mhhh cjui kama yataisha, maana linaisha hili linakuja lile,halafu yote yanafananaYaani huyu namsomaga sana na post zake nyingi nimemshauri......si vizuri kufanya mizaha na wenye mizaha.....wamuache atatue matatizo yake,si mtu ana matatizo yake na wewe unamuongezea matatizo mengine.....