FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Yaani NE kila kukicha una jambo ?
Palipo na mkusanyika wa wanawake na wanaume tegemea vitu kama hivyo kuwepo.
Na ndio Maana MODS waliamua kuweka PM .
Bila shaka walifikiri sana.
Pole Akili ni nywele kila mtu ana zake
Palipo na mkusanyika wa wanawake na wanaume tegemea vitu kama hivyo kuwepo.
Na ndio Maana MODS waliamua kuweka PM .
Bila shaka walifikiri sana.
Pole Akili ni nywele kila mtu ana zake