muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
Not Enough: Hivi si ni wewe ulikuwa unamzimia mume wa mtu wa jirani?
Ukaingia na kila gia ukakwama na kuja kutaka ushauri hapa?
Sasa yule Mr. vipi autangazie uma vile vile jinsi ulivyokuwa unmpigia speed?
Follow the Golden Rule; Usiyopenda Kufanyiwa Usiwatendee Wenzako. Na unayopenda Kufanyiwa Watendee Wenzako.
Simple.
Respect NE.
Mkuu, nashukuru kwa kuliona hilo. Baadhi ya sred ni fiction kuweka janvi busy. Ndo maana jana nilipoona mtu mmoja amefyatua fiction 4 ndani ya nusu saa, nikauliza "what is da point"