Mibaba ya jf ina tabia mbaya

Not Enough: Hivi si ni wewe ulikuwa unamzimia mume wa mtu wa jirani?

Ukaingia na kila gia ukakwama na kuja kutaka ushauri hapa?

Sasa yule Mr. vipi autangazie uma vile vile jinsi ulivyokuwa unmpigia speed?

Follow the Golden Rule; Usiyopenda Kufanyiwa Usiwatendee Wenzako. Na unayopenda Kufanyiwa Watendee Wenzako.

Simple.

Respect NE.

Mkuu, nashukuru kwa kuliona hilo. Baadhi ya sred ni fiction kuweka janvi busy. Ndo maana jana nilipoona mtu mmoja amefyatua fiction 4 ndani ya nusu saa, nikauliza "what is da point"
 
Mkuu, nashukuru kwa kuliona hilo. Baadhi ya sred ni fiction kuweka janvi busy. Ndo maana jana nilipoona mtu mmoja amefyatua fiction 4 ndani ya nusu saa, nikauliza "what is da point"
<br huyu kweli anaxheza na akili za watu.
Ila yule wa jana kiboko mistari miwili tayari thread nilichoka
 
Heeeeee huyu vipi???????
Wenzio wanalala wakiota kutongozwa
kwani kuna ubaya gani?:a s 112::a s 112::a s 112:
 
<br huyu kweli anaxheza na akili za watu.
Ila yule wa jana kiboko mistari miwili tayari thread nilichoka

Halafu hazikuwa na context wala mlengwa. Na baadhi zilikuwa copy and paste bila citation! Si haba lakini, watu walizipenda
 
Hivi neno mibaba ndo maanake nn? wakubwa, wabaya au, nashindwa elewa fafanua nitoe advice/maoni. Its until then I'm keeping my fingers away from keyboard. SORRY!

nahisi ni mtu amezoa kudeal na 'mibaba'.....then connect dots uitaelewa ni mtu wa namna gani mkuu
 
Not Enough: Hivi si ni wewe ulikuwa unamzimia mume wa mtu wa jirani?

Ukaingia na kila gia ukakwama na kuja kutaka ushauri hapa?

Sasa yule Mr. vipi autangazie uma vile vile jinsi ulivyokuwa unmpigia speed?

Follow the Golden Rule; Usiyopenda Kufanyiwa Usiwatendee Wenzako. Na unayopenda Kufanyiwa Watendee Wenzako.

Simple.

Respect NE.

Well spoken!!!! Mtenda akitendewa.....
 
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.

Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.

Mh! mambo ya sizitaki mbichi hizi.
Join Date : 8th December 2010
Posts : 107
Thanked 8 Times in 6 Posts

Thanks 0Rep Power : 21
Wakuu hebu angalieni wenyewe posts ambazo huyu dada amewahi kuzianzisha na tutafakari kama kweli ni mtu anayefaa kuPM

Mibaba ya jf ina tabia mbaya
Started by NOT ENOUGH&#8206;, Yesterday 11:37 PM5 Pages •1 2 3 4 5



Last Post By:Last Post: Today 08:38 AMby muhosni Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki

<LI id=thread_111904 class="imodselector threadbit hot new" title="Mibaba bana inabore sana, mnakaa wiki mbili hamjala ngono siku likinywa vibia vyake uko linakuja linapanda dakika moja kwisha na lina anza kukoroma...."> Nyumbani hautoi dozi ya kuridhisha na bado unakwenda nje

Started by NOT ENOUGH&#8206;, Today 12:35 AM3 Pages •1 2 3





Last Post By:Last Post: Today 07:39 AMby Derimto Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


<LI id=thread_110958 class="imodselector threadbit hot new" title="Jamani mwenzenu yamenikuta ya kunikuta, nilikuwa mgonjwa jana siku nzima sikuweza kwenda kokote pressure ilikuwa juu. &#10; &#10;Mr wangu alivyo ondoka..."> Sikumwona mr siku ya valentine day

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 16th February 2011 11:28 AM3 Pages •1 2 3





Last Post By:Last Post: Today 06:06 AMby LD Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


<LI id=thread_111901 class="imodselector threadbit hot new" title="Through experience nimeona wababa wengi sana wanahonga pesa nyingi kwa vimada lakini hawawatunzi wake zao ipasavyo. Utakuta mwingine hata watoto..."> Wababa muwe mnajali wake zenu

Started by NOT ENOUGH&#8206;, Today 12:20 AM2 Pages •1 2





Last Post By:Last Post: Today 02:26 AMby Mwanakili90 Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


<LI id=thread_111897 class="imodselector threadbit new" title="It happened many years ago in the UK that you were not allowed to have sex with your spouse before getting a special document from the KING. So you..."> The meaning of the word "****"

Started by NOT ENOUGH&#8206;, Today 12:02 AM





Last Post By:Last Post: Today 02:22 AMby NOT ENOUGH Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


<LI id=thread_110356 class="imodselector threadbit hot" title="Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.">Namzimia mume wa jirani

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 13th February 2011 05:44 PM9 Pages •1 2 3 4 5 ... 9





Last Post By:Last Post: 16th February 2011 01:44 PMby CPU Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


<LI id=thread_109421 class="imodselector threadbit hot" title="Nafikiri kuna haja ya kujua ratiba ya migomo ya vyuo na mashirika hapa bongo ili members wajiandae. &#10; &#10;Tarehe 10/2/2011 - Hospitali ya bugando -...">Ratiba ya migomo tanzania

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 9th February 2011 02:30 PM





Last Post By:Last Post: 9th February 2011 07:22 PMby Kashaijabutege Forum:
Jokes/Utani + Udaku/Gossips


<LI id=thread_108758 class="imodselector threadbit hot" title="Wanawake ndo chanzo kikubwa cha wanaume zetu kufanya mapenzi nje. Sababu wanawake wengi wanajifanya hawapendi kufanya mapenzi kitu ambacho si kweli....">Wanawake ndo tunasababisha waume zetu kutoka nje.

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 7th February 2011 01:40 AM6 Pages •1 2 3 4 5 ... 6





Last Post By:Last Post: 8th February 2011 01:21 PMby Mage Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


<LI id=thread_103675 class="imodselector threadbit " title="Nina elimu ya certificate katika mambo ya Hoteli hivyo uwelewa wangu ni mdogo katika maswala ya uchumi. Nasikiaga mara kwa mara viongozi wakiongea...">Naomba kujua maana ya kukuwa kwa uchumi

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 17th January 2011 10:07 PM





Last Post By:Last Post: 18th January 2011 02:19 PMby utiyansanga Forum:
Business & Economic Forum


<LI id=thread_96188 class="imodselector threadbit moved " title="">Moved: Style ninayo ipenda

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 17th December 2010 06:25 PM





Last Post By:Last Post: 17th December 2010 07:12 PMby shanature Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


<LI id=thread_94042 class="imodselector threadbit " title="Wandugu kwema humu ndani?">Habari

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 8th December 2010 07:16 PM





Last Post By:Last Post: 13th December 2010 10:56 PMby Good Guy Forum:
Utambulisho (Member Intro Forum)


<LI id=thread_94767 class="imodselector threadbit moved " title="">Moved: Natafuta mpenzi wa kunioa

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 12th December 2010 02:29 AM





Last Post By:Last Post: 12th December 2010 09:56 AMby MTM Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki


Moved: Siwezi pitisha siku bila mwanaume

Started by NOT ENOUGH&#8206;, 8th December 2010 09:47 PM





Last Post By:Last Post: 10th December 2010 09:17 AMby MTAWALA Huyu kweli ni mtu wa kum PM kuomba urafiki? Tafakari, chukua hatua
 
i can bet almost anything! huyo mwanzisha thredi sio mwanamke.
 
Kama unatangaza tender unategemea nini? We si umesema unapenda ngono na wanaume tofauti tofauti? Sasa unacho lalama hapa nn?
 
Yaani badala ya kupata msaada ndo unazidi kudhalilika . . . .
Na kwa staili hii ndo utazidi kufuatiliwa kuliko mtu yeyote humu ndani

Hongera kwa kujianika
Ila wewe sio mdada, naanza kuona hivyo

:A S 112: :A S 112: :A S 112: :A S 112: :A S 112: :A S 112: :A S 112:
 
Huu ni mpambano kati ya NE na mibaba ya JF.
Tunamaanisha ya JF sio ya mtaani.
Imebaki siku nzima ya leo mpambano uishe. Ndugu wasomaji wasikilizaji na waangaliaji naona mpambano mkali na NE ameelemewa.
Nitarudi kesho kuwatangazia mshindi.
Ngumi hazijaruhusiwa bado.
Ni mpambano wa maneno tu.
Tuendelee.
 
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.

Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.

kuna mimama/mijimama ya JF pia inanitongoza sana kwa ku PM waache pia tabia mbayaa pufuuuuuuuuuuu:A S 13:
 
Haya sasa...yaleyaleeeee!
Nashindwa kuwaelewa nyie AKINA dada...kuna mmoja alidai kwanini hapati PM kwa muda mrefu kwenye inbox yake, hadi anajisikia vibaya!
Weye unakuja na gia ingine...huh!
Kwani kuapproach ni vibaya jamani?...Si ni kujenga mahusianmo ambayo huenda baadaye yakawa positive?
Nadhani tusiogope PM, sisi ni watu wazima, tuna utashi...Once ukiona hakufai unampa live, na siyo kutunga threads...!
Sasa wa mtaani kwenu wasioijua JF unawasemelea kwa nani?...Usije ukawakimbia 'sweetheart' watarajiwa bana...kuna watu serious hapa!

PJ... this thread imeletwa tena; sina hakika lengo la mleta mada ni nini but its funny coz wengine wanaomba PM na wengine wanalalama, eniwei nadhani wahusika wamepata ujumbe

it was not worth starting a thread though:A S 13:
 
Back
Top Bottom