Miaka ya Urais ipunguzwe toka 5 hadi 4

Miaka ya Urais ipunguzwe toka 5 hadi 4

Uchawa kazi sana

Kipindi ya stone mwimbo ulikuwa ngoma ivutwe iwe miaka 7 kisha atawale milele now ngoma ivutwe nyuma iwe miaka 3, dah!
 
Kadri tunavyo badiri viongozi mara nyingi tunapata mawazo mapya na kadri kiongozi anavyo zidi kukaa madarakani ndivyo anavyo fanya mambo ya hovyo.

Ni wakati sasa Tanzania kubadiri utaratibu wa miaka 5 uwe wa miaka 4 kama ilivyo USA na vipindi viwili vibakie kama vilivyo sasa.

Na umri wa kuwa Rais uanzie miaka 35 badala ya 40 na mwisho kugombea Urais iwe miaka 60 kama anagombea kwa mara ya kwanza.

Mabadiriko yoyote ya katiba yasifanyike kama bunge linalo takiwa kufanya mabadiriko yoyote ya kuongeza muda wa kukaa madarakani halina 40% ya wabunge wa upinzani.

Pia Makama wa Rais asiruhusiwe kuongoza nchi zaidi ya mwaka 1 kama ikitokea Rais anafariki.. baada ya mwaka mmoja uchaguzi unatakiwa kuitishwa haraka.

Heri ya Mwaka Mpya.
Umetolea mifano wa Marekani wa miaka minne minne, lakini kwenye ukomo wa umri hujamsema ni mfano kutoka nchi gani maana Marekani hawana ukomo ndio maana Trump na Biden wanagombea na Wana zaidi ya miaka 80!
 
Umetolea mifano wa Marekani wa miaka minne minne, lakini kwenye ukomo wa umri hujamsema ni mfano kutoka nchi gani maana Marekani hawana ukomo ndio maana Trump na Biden wanagombea na Wana zaidi ya miaka 80!
Hata USA hapo kwenye umri wamebugi
 
Mkuu na huku kwenye vyama vya siasa tufanyeje? Kuna wenyeviti wamejiondolea ukomo wa miaka ili wawe wafalme kwenye vyama vyao; hao tuwafanyeje?
 
Kadri tunavyo badiri viongozi mara nyingi tunapata mawazo mapya na kadri kiongozi anavyo zidi kukaa madarakani ndivyo anavyo fanya mambo ya hovyo.

Ni wakati sasa Tanzania kubadiri utaratibu wa miaka 5 uwe wa miaka 4 kama ilivyo USA na vipindi viwili vibakie kama vilivyo sasa.

Na umri wa kuwa Rais uanzie miaka 35 badala ya 40 na mwisho kugombea Urais iwe miaka 60 kama anagombea kwa mara ya kwanza.

Mabadiriko yoyote ya katiba yasifanyike kama bunge linalo takiwa kufanya mabadiriko yoyote ya kuongeza muda wa kukaa madarakani halina 40% ya wabunge wa upinzani.

Pia Makama wa Rais asiruhusiwe kuongoza nchi zaidi ya mwaka 1 kama ikitokea Rais anafariki.. baada ya mwaka mmoja uchaguzi unatakiwa kuitishwa haraka.

Heri ya Mwaka Mpya.
Sio tu mawazo mapya,hata muda wakujifunza kula kwa urefu wa kamba utakuwa haupo😁
 
Kadri tunavyo badiri viongozi mara nyingi tunapata mawazo mapya na kadri kiongozi anavyo zidi kukaa madarakani ndivyo anavyo fanya mambo ya hovyo.

Ni wakati sasa Tanzania kubadiri utaratibu wa miaka 5 uwe wa miaka 4 kama ilivyo USA na vipindi viwili vibakie kama vilivyo sasa.

Na umri wa kuwa Rais uanzie miaka 35 badala ya 40 na mwisho kugombea Urais iwe miaka 60 kama anagombea kwa mara ya kwanza.

Mabadiriko yoyote ya katiba yasifanyike kama bunge linalo takiwa kufanya mabadiriko yoyote ya kuongeza muda wa kukaa madarakani halina 40% ya wabunge wa upinzani.

Pia Makama wa Rais asiruhusiwe kuongoza nchi zaidi ya mwaka 1 kama ikitokea Rais anafariki.. baada ya mwaka mmoja uchaguzi unatakiwa kuitishwa haraka.

Heri ya Mwaka Mpya.
Kupata Kichekeshokama hiki andika happy new Yr kwenda namba 2024
 
Back
Top Bottom