Watu wengi hawanielewi ninaposema nina malengo ya kugombania urais mwaka 2035

Watu wengi hawanielewi ninaposema nina malengo ya kugombania urais mwaka 2035

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,626
Reaction score
7,066
NOTE
  • Changamoto ni kwamba waafrika wengi hawana malengo ya mwaka sasa ni ngumu sana kukuelewa kama unamipango ya miaka 9 ijayo
  • Nchi zilizoendelea maandalizi binasi sio muhimu sana sababu mifumo yao imenyooka ila kwa nchi kama Tanzania ambayo mifumo yake sio mizuri maandalizi binafsi ni muhimu sana mfano nchi kama marekani ni kawaida mahakama kumuwekea pingamizi Rais mifumo yao ni imara sana ni rahisi kumdhibiti Rais kilaza

Tatizo kubwa sana la Tanzania ni kupata viongozi nafasi za juu kwa ngekewa ukweli ni kwamba majority ya marais wa Tanzania hawakuwa na mpango au maandalizi binafsi ya kuwa Rais wa Tanzania wengi ilitokea kama zali

Wengi walisubiria wakati wa kuchukua form wakatest zali wakajikuta wamepewa tiketi na chama kugombea urais- na kama ndo chama cha mapinduzi kimekupitisha ndo basi wewe tayari ni Rais wa Tanzania

Ni ngumu sana kwa nchi kuendelea kama viongoizi wa nafasi za juu wanapatika kwa ngekewa na hawana maandalizi yeyote binafasi

Maandalizi nayoyaongelea ni maandalizi binafsi mfano magufuli alipata urais kwa ngekewa tunaona alivyokuwa Rais akawa haelewi aanze na lipi yote ile ni kwa sababu hakujipanga yeye binafsi kuwa Rais wa Tanzania ilitokea kama zali

Lakini mimi binafsi siwalaumu viongozi jamii yetu kwa ujumla watu hawana malengo ya mwaka sasa unategemea nini kutoka kwa viongozi ndo wawe na malengo

Wako watakao sema wana-malengo ila wengi wanamalengo lakini hawayapiginii malengo naongelea kuyapigania malengo

Sisi tunasubiria 2030 watu wakajaribu bahati zao ikitokea zali basi wanakuwa Raia ila hakuna maandalizi yeyote binafsi
 
Tafuta shughul ya kufanya 5month ago ulipta kibarua kwa muhind ukawa busy na kaz sasa naona ushaharibu umeanza porojo
Yaani mtu analazimisha mambo ya uongo dhidi yako
Endelea kumaliza stress zako kwangu

Huwezi kuwa uko mental stable ukaanza kumtuhumu mtu ambaye humjui kwa mambo ya uongo
 
Ungetuambia mipango yako ni ipi ya kuutafuta urais wa 2030.

Naona umezungumzia uhalisia wa jinsi marais wetu wanavyopatikana, sasa wewe njoo utuoneshe mipango yako ni ipi kama unautaka urais usio wa ngekewa.

Haujatuambia hata kama ni mwanachama wa chama chochote cha siasa, navyojua mgombea binafsi kwetu Tanzania hatakiwi.

Kwa mazingira ya siasa zetu naamini unajua wazi kabisa, urais wa ndoto hauwezekani, muulize Lowassa R.I.P na J. Makamba.

Hawa walikuwa na ndoto kama zako, tena zaidi wakiwa ndani ya chama cha siasa, lakini pamoja na vyote hivyo, bado walishindwa kutimiza ndoto zao.

Sasa ndio utuambie hapa, wewe una ndoto kama zao, utatumia njia gani nyingine tofauti nao ili ufanikiwe kutimiza lengo lako?
 
Ungetuambia mipango yako ni ipi ya kuutafuta urais wa 2030.

Naona umezungumzia uhalisia wa jinsi marais wetu wanavyopatikana, sasa wewe njoo utuoneshe mipango yako ni ipi kama unautaka urais usio wa ngekewa.

Haujatuambia hata kama ni mwanachama wa chama chochote cha siasa, navyojua mgombea binafsi kwetu Tanzania hatakiwi.
Nimeeleze nyuzi nyingi huku sana mwaka jana ila sahivi nimejikita tiktok na youtube
 
NOTE
  • Changamoto ni kwamba waafrika wengi hawana malengo ya mwaka sasa ni ngumu sana kukuelewa kama unamipango ya miaka 9 ijayo
  • Nchi zilizoendelea maandalizi binasi sio muhimu sana sababu mifumo yao imenyooka ila kwa nchi kama Tanzania ambayo mifumo yake sio mizuri maandalizi binafsi ni muhimu sana mfano nchi kama marekani ni kawaida mahakama kumuwekea pingamizi Rais mifumo yao ni imara sana ni rahisi kumdhibiti Rais kilaza

Tatizo kubwa sana la Tanzania ni kupata viongozi nafasi za juu kwa ngekewa ukweli ni kwamba majority ya marais wa Tanzania hawakuwa na mpango au maandalizi binafsi ya kuwa Rais wa Tanzania wengi ilitokea kama zali

Wengi walisubiria wakati wa kuchukua form wakatest zali wakajikuta wamepewa tiketi na chama kugombea urais- na kama ndo chama cha mapinduzi kimekupitisha ndo basi wewe tayari ni Rais wa Tanzania

Ni ngumu sana kwa nchi kuendelea kama viongoizi wa nafasi za juu wanapatika kwa ngekewa na hawana maandalizi yeyote binafasi

Maandalizi nayoyaongelea ni maandalizi binafsi mfano magufuli alipata urais kwa ngekewa tunaona alivyokuwa Rais akawa haelewi aanze na lipi yote ile ni kwa sababu hakujipanga yeye binafsi kuwa Rais wa Tanzania ilitokea kama zali

Lakini mimi binafsi siwalaumu viongozi jamii yetu kwa ujumla watu hawana malengo ya mwaka sasa unategemea nini kutoka kwa viongozi ndo wawe na malengo

Wako watakao sema wana-malengo ila wengi wanamalengo lakini hawayapiginii malengo naongelea kuyapigania malengo

Sisi tunasubiria 2030 watu wakajaribu bahati zao ikitokea zali basi wanakuwa Raia ila hakuna maandalizi yeyote binafsi
Dah dogo karudi tena. Kina Lamomy kazi wanayo wanavyompendaga huyu poyoyo eti hendsome anatema madini na kushusha nondo za haaatariii.

MODS itisheni kikao cha dharura tafadhali!

adriz de mbusii
 
NOTE
  • Changamoto ni kwamba waafrika wengi hawana malengo ya mwaka sasa ni ngumu sana kukuelewa kama unamipango ya miaka 9 ijayo
  • Nchi zilizoendelea maandalizi binasi sio muhimu sana sababu mifumo yao imenyooka ila kwa nchi kama Tanzania ambayo mifumo yake sio mizuri maandalizi binafsi ni muhimu sana mfano nchi kama marekani ni kawaida mahakama kumuwekea pingamizi Rais mifumo yao ni imara sana ni rahisi kumdhibiti Rais kilaza

Tatizo kubwa sana la Tanzania ni kupata viongozi nafasi za juu kwa ngekewa ukweli ni kwamba majority ya marais wa Tanzania hawakuwa na mpango au maandalizi binafsi ya kuwa Rais wa Tanzania wengi ilitokea kama zali

Wengi walisubiria wakati wa kuchukua form wakatest zali wakajikuta wamepewa tiketi na chama kugombea urais- na kama ndo chama cha mapinduzi kimekupitisha ndo basi wewe tayari ni Rais wa Tanzania

Ni ngumu sana kwa nchi kuendelea kama viongoizi wa nafasi za juu wanapatika kwa ngekewa na hawana maandalizi yeyote binafasi

Maandalizi nayoyaongelea ni maandalizi binafsi mfano magufuli alipata urais kwa ngekewa tunaona alivyokuwa Rais akawa haelewi aanze na lipi yote ile ni kwa sababu hakujipanga yeye binafsi kuwa Rais wa Tanzania ilitokea kama zali

Lakini mimi binafsi siwalaumu viongozi jamii yetu kwa ujumla watu hawana malengo ya mwaka sasa unategemea nini kutoka kwa viongozi ndo wawe na malengo

Wako watakao sema wana-malengo ila wengi wanamalengo lakini hawayapiginii malengo naongelea kuyapigania malengo

Sisi tunasubiria 2030 watu wakajaribu bahati zao ikitokea zali basi wanakuwa Raia ila hakuna maandalizi yeyote binafsi
Dogo nilishakuulizaga hutaki kunijibu. Hivi wewe ni mmeru wa wapi? Tengeru, Akheri, Sing'isi (kwa fundi), Momela, Nshupu, Njia ya Poli, Kikatiti, Jua kali, Merirani, Nkoaranga, Maji ya Chai?

Chaliifrancisco

adriz de mbusii
 
Back
Top Bottom