Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 50,720
- 91,653
Wewe una mawazo ya kipumbavu.Ni nini cha ajsbu nilichokiandika hadi ukamkumbuka mzazi wako?Imagine ni baba yako unamjibu hivyo
Wewe una mawazo ya kipumbavu.Ni nini cha ajsbu nilichokiandika hadi ukamkumbuka mzazi wako?Imagine ni baba yako unamjibu hivyo
duhWewe una mawazo ya kipumbavu.Ni nini cha ajsbu nilichokiandika hadi ukamkumbuka mzazi wako?
Hali ya kitaa inajulikana ilivyo Moto, inabidi mtoke mapema na wengineo wapate ajiira. Kuongeza muda ni ubinafsi!Wakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- Hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto
- Vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- Madogo na mamazao bado wanatugemea
- Au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
mkuu tuna watoto tunasomeshaHali ya kitaa inajulikana ilivyo Moto, inabidi mtoke mapema na wengineo wapate ajiira. Kuongeza muda ni ubinafsi!
binafsi 50 ni umri sahihi sana wa kustaafu ili walao kwa wale wanaojielewa waanze kutumia elimu na ujuzi wao kujiajiriHata 50 ni sahihi na murua sana.Unaondoka na kikokotoo chako chembamba ukafie mwituni.
Mara nyingi anayeng'ang'ania kuongeza muda wa kustaafu ni yule mtumishi anayeona ajira ni kama sehemu ya kujipatia pesa za bure kila mwezi. Hapa namaanisha mara nyingi watu wa aina hii hawana juhudi kazini hivyo kutokuwa na mchango wowote au mchango kidogo kwa taasisi. Lakini kwa mchapa kazi, hufurahia ajira mwanzoni tu baada ya muda ataona kama mwajiri anamwibia hivyo kuwa na shauku ya kutumia muda uliosalia kujizalishia.Wakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- Hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto
- Vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- Madogo na mamazao bado wanatugemea
- Au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
weei weei weei muraa untk kureta furuguIpunguzwe, atleast iwe 45.
Huu ni mtazamo wakoMara nyingi anayeng'ang'ania kuongeza muda wa kustaafu ni yule mtumishi anayeona ajira ni kama sehemu ya kujipatia pesa za bure kila mwezi. Hapa namaanisha mara nyingi watu wa aina hii hawana juhudi kazini hivyo kutokuwa na mchango wowote au mchango kidogo kwa taasisi. Lakini kwa mchapa kazi, hufurahia ajira mwanzoni tu baada ya muda ataona kama mwajiri anamwibia hivyo kuwa na shauku ya kutumia muda uliosalia kujizalishia.
sawaMiaka ipunguzwe,,Kwanza Ajira za serikali zianze kutolewa kwa mikataba.
mkuu unaitaje mshahara ni ela ya bure wakati ni ela uliyoifanyia kazi? si zelewi hizi?Mara nyingi anayeng'ang'ania kuongeza muda wa kustaafu ni yule mtumishi anayeona ajira ni kama sehemu ya kujipatia pesa za bure kila mwezi. Hapa namaanisha mara nyingi watu wa aina hii hawana juhudi kazini hivyo kutokuwa na mchango wowote au mchango kidogo kwa taasisi. Lakini kwa mchapa kazi, hufurahia ajira mwanzoni tu baada ya muda ataona kama mwajiri anamwibia hivyo kuwa na shauku ya kutumia muda uliosalia kujizalishia.
Ufie kaznWakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- Hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto
- Vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- Madogo na mamazao bado wanatugemea
- Au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
Mbona unafikiri mambo ya vifo bossUfie kazn
ivi inategemea viko wapi. kama vipo uko idindilimwinyu ndanindani ni hasara tupuAna nyumba yenye wastani wa mil 100.
Ana viwanja 6
Ana nyumba pagale 2 hazijaisha.