AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 7,017
- 5,844
Ukikatisha mkataba wsnakupiga penalty kwenye mafao hulijui hilo?kuna kipengere cha kuacha kazi kitumie kama umechoka
yaani ni miezi miwili uko dhoofu ini hali
Ukikatisha mkataba wsnakupiga penalty kwenye mafao hulijui hilo?kuna kipengere cha kuacha kazi kitumie kama umechoka
yaani ni miezi miwili uko dhoofu ini hali
NonsenseWakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto[emoji3533]
- vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- madogo na mamazao bado wanatugemea
- au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
kumbeUkikatisha mkataba wsnakupiga penalty kwenye mafao hulijui hilo?
Akili za kipuuzi kabisaWakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto[emoji3533]
- vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- madogo na mamazao bado wanatugemea
- au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
Wafanye kwa vitendo ,na ule ujinga wa kuwananga vijana kwamba wajiajiri ukome .Kazi za serikali ziwe za mkataba mwisho kufanya kazi serikalini iwe miaka 20 tu. Baada ya hapo watu wastaafu wakafanye biashara
Acha muipate fresh mkija kitaa maana mlikuwa wanoko mkiwapiga majungu wafanyakazi wenzio. wengi wamefukuzwa, kuacha, kutengenezewa kesi na nyie! Njoo kitaa kiwajambishe! Miezi tu mtakuwa kwishne!Wakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto[emoji3533]
- vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- madogo na mamazao bado wanatugemea
- au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
mkuu mbona sio wote wafanyao hayo uyasemayoAcha muipate fresh mkija kitaa maana mlikuwa wanoko mkiwapiga majungu wafanyakazi wenzio. wengi wamefukuzwa, kuacha, kutengenezewa kesi na nyie! Njoo kitaa kiwajambishe! Miezi tu mtakuwa kwishne!
mkuu bila shaka itakuwa unataniaBinafsi naona ipunguzwe kutoka 60 hadi 45.
una habari zaidi ya nusu ya wafanyakazi wote wana umri zaidi ya huo unaosema? sasa wakiondoka ao wote inakuwaje mambo yataendaje mkuu? na hata hao madogo si adi wafundwe na kuwiva au we uyaoni ayo?Binafsi naona ipunguzwe kutoka 60 hadi 45.
Vijana wahovyo tu hao. Wengi tunawapa viajira huku kitaa hamna lolote. Kumbuka kadri mtu anavyokuwa senior anakuwa na experience na mambo mengi ndio maana unaweza ona mtu ana staafu lakini anaombwa kuendelea Kwa sababu ya uzoefu wakeVijana wengi wako bench wanasubiri kupokea kijiti.
Na Bado unakuwa na nguvu za kujifunza kazi mpya,sio unastaafu Kila kitu kinaumaHata 50 ni sahihi na murua sana.Unaondoka na kikokotoo chako chembamba ukafie mwituni
Kuna anko wangu anastaafu December, 'kachanganyikiwa'. Nyumba ya kueleweka hana. Anastaafia kwenye nyumba ya kupanga. Penshen ikitoka ndio akajenge!
Kuishi kwa kuogopa kustaafu nao ni ujinga.Staafu na uchukue chako ukale na mchumba wako mliozeeka naye.Unaondoka na miaka 60 huku unatetemeka na kujongea(siyo kutembea wima)ndiyo nini sasa?Na Bado unakuwa na nguvu za kujifunza kazi mpya,sio unastaafu Kila kitu kinauma
He is a lucky boy!Mumtunze.Mimi uncle wangu nimemfanyia mentorship.
Ana 49 yrs
Ana nyumba yenye wastani wa mil 100.
Ana viwanja 6
Ana nyumba pagale 2 hazijaisha.
Ana watoto 4 wapo shule bado secondary.
Juzi kapewa cheo hivyo atastaafu 2036 akiwa na 60 yrs
Ukipiga hesabu vizuri Mungu akimpa Afya atakuwa afikirii wala hana mawazo ya kikokotoo.
Lakini amefikia hii hatua baada ya kukaa mbali na ngono ,pombe , kubeti n.k
Kazi yake ni ..........
Unachafuwa halo ya hewa.Wakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa
- hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto[emoji3533]
- vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki
- madogo na mamazao bado wanatugemea
- au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa