Miaka ya kustaafu iongezwe

Miaka ya kustaafu iongezwe

Vijana wahovyo tu hao. Wengi tunawapa viajira huku kitaa hamna lolote. Kumbuka kadri mtu anavyokuwa senior anakuwa na experience na mambo mengi ndio maana unaweza ona mtu ana staafu lakini anaombwa kuendelea Kwa sababu ya uzoefu wake
Yeah,experience inamata
 
Mimi uncle wangu nimemfanyia mentorship.

Ana 49 yrs
Ana nyumba yenye wastani wa mil 100.
Ana viwanja 6
Ana nyumba pagale 2 hazijaisha.
Ana watoto 4 wapo shule bado secondary.

Juzi kapewa cheo hivyo atastaafu 2036 akiwa na 60 yrs

Ukipiga hesabu vizuri Mungu akimpa Afya atakuwa afikirii wala hana mawazo ya kikokotoo.

Lakini amefikia hii hatua baada ya kukaa mbali na ngono ,pombe , kubeti n.k

Kazi yake ni ..........
Hao wapo ila wachache wenye bahati zao au vitengo nyeti
 
Mataifa ya Afrika yanakufa kutokana na kuwepo kwa wingi kwa watu wenye akili mbovu Kama hizi. I feel ashamed to be African!


kwa wenzetu Ulaya kwa aliyesoma ngazi ya Udactari hasa masomo ya Sayansi hastaafu tena hadi apoteze uwezo wa kufanya kazi hata akifikisha 80yrs
Angalizo: kinacho angaliwa kwao ni uwezo wa kudhamini kazi na kuchapa kazi kwa bidii sio huku kwetu ambapo watu wanalilia kupata kazi ila wakipata.......wengi wanafanya blaa blaa huko kwenye maofisi bora siku iiingie....SHAME!!!
 
Mimi uncle wangu nimemfanyia mentorship.

Ana 49 yrs
Ana nyumba yenye wastani wa mil 100.
Ana viwanja 6
Ana nyumba pagale 2 hazijaisha.
Ana watoto 4 wapo shule bado secondary.

Juzi kapewa cheo hivyo atastaafu 2036 akiwa na 60 yrs

Ukipiga hesabu vizuri Mungu akimpa Afya atakuwa afikirii wala hana mawazo ya kikokotoo.

Lakini amefikia hii hatua baada ya kukaa mbali na ngono ,pombe , kubeti n.k

Kazi yake ni ..........

Wengi wenye mali kama hizo ni wapigaji wa hela za umma kwa hiyo usichukulie kama mentor.
Kama unafikiri tunakudanganya fanya utafiti ujue na mshahara wake kama hutamuita jambazi.....
 
Wengi wenye mali kama hizo ni wapigaji wa hela za umma kwa hiyo usichukulie kama mentor.
Kama unafikiri tunakudanganya fanya utafiti ujue na mshahara wake kama hutamuita jambazi.....


Hamna ni nidhamu ya PESA kumbuka amepata ajira 1998 sasa just count the days

Useme sehemu aliyopo anapata chakula ,unga na mchele for free. Maa na ni mpishi.


Kufanikiwa nikujipanga mkuu na nidhamu
 
Hamna ni nidhamu ya PESA kumbuka amepata ajira 1998 sasa just count the days

Useme sehemu aliyopo anapata chakula ,unga na mchele for free. Maa na ni mpishi.


Kufanikiwa nikujipanga mkuu na nidhamu
Usijidanganye, hakuna watu wenye nidhamu ya matumizi ya pesa kama waalimu
....yaani ana watoto wanne kabisa English medium?
Unajua mshahara wa mwaka 1998 wewe? Weka hapa mshahara alioanza nao kazi 1998 na anaopokea sasa hivi, ndio utaelewa unacho ambiwa...
 
Hamna ni nidhamu ya PESA kumbuka amepata ajira 1998 sasa just count the days

Useme sehemu aliyopo anapata chakula ,unga na mchele for free. Maa na ni mpishi.


Kufanikiwa nikujipanga mkuu na nidhamu
vijana wa hovyo hawa wamezoea kukesha baa adi asbh uku wakila kimaskhara mwisho wanakuja kuita wenzao mafisadi
 
Wakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa

- Hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto

- Vikokotoo vyenyewe ndo vile tena bado havisomeki

- Madogo na mamazao bado wanatugemea

- Au mnataka mtuue mapema wazee wenu tuliotumikia taifa kwa uadilifu kabisa
Umezingua sana mwana. Mimi natamani kama sheria ingeruhusu nipewe changu mapema at 50 maana kuna fursa kibao naona zinanipita kwa sababu ya kubanwa na taratibu na sheria kibao za mwajiri sipati muda wa kufanya full utilisation of my potentials
 
Usijidanganye, hakuna watu wenye nidhamu ya matumizi ya pesa kama waalimu
....yaani ana watoto wanne kabisa English medium?
Unajua mshahara wa mwaka 1998 wewe? Weka hapa mshahara alioanza nao kazi 1998 na anaopokea sasa hivi, ndio utaelewa unacho ambiwa...
Kuna watu wanakaririshwa hawajui mishahara ya serikalini
 
Hao wa kuongezewa muda wa kustaafu they are not productive at all, bora waondoke wakalime tu damu changa iingie.
 
Hamna ni nidhamu ya PESA kumbuka amepata ajira 1998 sasa just count the days

Useme sehemu aliyopo anapata chakula ,unga na mchele for free. Maa na ni mpishi.


Kufanikiwa nikujipanga mkuu na nidhamu
Mpishi ana nyumba ya 100m na pagale za kutosha
 
Hamna ni nidhamu ya PESA kumbuka amepata ajira 1998 sasa just count the days

Useme sehemu aliyopo anapata chakula ,unga na mchele for free. Maa na ni mpishi.


Kufanikiwa nikujipanga mkuu na nidhamu
Hadi 2010 mshahara wa graduate ulikuwa unaanzia 250000
 
Back
Top Bottom