Miaka miwili bila kusex

Miaka miwili bila kusex

Mbona kuna Jamaa zangu watatu walienda JKT mwaka juzi August mpaka leo bado ajira hazijatoka na wako kambini.
Mapenzi wanafanyia wapi. Kawaida tu.
 
Siku ya mgegedo andaa kisado kwa ajili ya kujaza "SPERM"
 
Sikuwah kuwaza kama itatokea nikapitisha hata wiki bila kusex
Sasa natimiza Miaka miwili bila kukutana na Mwanamke kimwili baada ya kutoka Tanzania kuja kutafuta maisha nchi za kiarabu

Nchi za kiarabu, pole sana.
 
Kwa hiyo mkuu miaka miwili;
No sex,
Hamna nyeto,
Na wala hauoti zile wet dreams??

Kama majibu ni NO kwa zote, kacheki mfumo wako aisee.
Hapana inawezekana kabisa kule ni kazi mwanzo mwisho, hakuna story hakuna kutega unatoka dayB unarudi usiku hoi kabisa
 
Back
Top Bottom