Miaka mitano ya Romani Selasini Rombo, ni sifuri

Miaka mitano ya Romani Selasini Rombo, ni sifuri

ubungo co rombo, na rombo kuna lami ya mbunge na serikal ya ccm. Ben kajichokea anatafuta huruma ya kupata pesa ya kuikimu familia ya baba yake

Mbona maccm mnamshambulia sana Ben leteni mgombea wenu mtakiona cha moto asipomsambaratisha kama alivyosambaratisha vibaraka wenu
 
ubungo co rombo, na rombo kuna lami ya mbunge na serikal ya ccm. Ben kajichokea anatafuta huruma ya kupata pesa ya kuikimu familia ya baba yake
Kwa Jinsi unavyorukaruka bila Hoja Ni Dhahiri unatambua CCM hawana chao Rombo!
 
Mbona maccm mnamshambulia sana Ben leteni mgombea wenu mtakiona cha moto asipomsambaratisha kama alivyosambaratisha vibaraka wenu

ben ni nyoka mdogo sana hakuna wa kuhangaika nae, sema yy plus ninyi mnaompigia kidebe ambao ndo mlipigia selasini kidebe mmeshapewa chenu sasahv mnamtaka ben!
 
Katika jimbo la Rombo ambalo lipo chini ya Romani Selasini wa Chadema, nataka nitaje mambo mawili makubwa ambayo mbunge huyo alikuwa na nafasi ya kuyasukuma ila akashindwa kutokana na kutokuwa makini katika kuishawishi serikali na taasis husika pamoja na mashirika mbalimbali.

1. Mawasiliano ya radio, tv, simu. Minara ya Rombo ipo overloaded na minara ya Kenya ambapo kulipaswa kuwa na minara yenye nguvu kuliko ya Kenya ili watu wa Rombo waweze ku-access mawasiliano toka Tanzania. Alishindwa kushirikiana na serikali pamoja na idara husika kumaliza hilo tatizo.

2. Umeme wa REA.
Sasahivi maeneo mengi hakuna hata nguzo na wengine wamebaki na manguzo baada ya kushindwa kufuatilia huo umeme na kwa wakati kama ilivyo majimbo mengine, jukumu alilowaachia baadhi ya madiwani na watendaji wale ambao vijijini kwao hamna umeme kabisa wafuatilie wenyewe huku wengi wakikwama kwani hawana uelewa wa kutosha kwa kukosa mawasiliano ya vyombo vya habari vya ndani kama radio, tv, magazeti na pia madiwani hao hawana viti kule bungeni.

Matatizo mengine ya maji, uhaba wa ajira n.k yapo sehemu nyingi. Ila kwa kifupi, hajafanya chochote kwa muda wake wa ubunge.

Nyie nivibaraka watumwa wa maccm mimi nimetembea ziara ya wiki 2 wa Mweshimiwa kaeleza michango yake akiwa bungeni na jimboni kwake watu wanamkubali zaidi ya mnavyo fikili. Kuna recoreded conversation kati ya makada wa ccm na huyo Flatel wenu kumtumia asimame eti iwe rahisi kwao kushinda sasa kamchezo tulisha kabaini natunakafanyia kazi. Sasa hivi SELASINI anitwa dume la mbegu nani anae mjua huyo Flatel??? Yaani mtu kawasaidia wanainchi kufukuza tembo ukanda wa chini wote wa chini kuanzia Holili hadi Tarakea una mretea Flatel sijui sanane huyo kashafukuzwa HQ ya CDM hana jipya mtachonga saaaana mwisho wa siku selasini ndio mbunge wetu hapa rombo. Pia jaribuni kushugulisha ubongo wenu hata kidogo kua nivigumu kuperform to required level kama wewe uko juu then chini yako ni upinzani madiwani 32 out of 4 hakuna hata diwani wa chadema kwenye kamati ya fedha na mipango unategemea kamati hiyo ifanye kazi ya kumpa credit mbunge??kwa aliyo yaeleza ziara nzima watu wamelizika na wamempa wenyeviti wengi wa vijiji na vitongoji so wanaelewa somo na wamemuhahidi kua nae bega kwabega nyinyi ni sehemu ndogo tu hamtafua dafu kamwe.
 
Nyie nivibaraka watumwa wa maccm mimi nimetembea ziara ya wiki 2 wa Mweshimiwa kaeleza michango yake akiwa bungeni na jimboni kwake watu wanamkubali zaidi ya mnavyo fikili. Kuna recoreded conversation kati ya makada wa ccm na huyo Flatel wenu kumtumia asimame eti iwe rahisi kwao kushinda sasa kamchezo tulisha kabaini natunakafanyia kazi. Sasa hivi SELASINI anitwa dume la mbegu nani anae mjua huyo Flatel??? Yaani mtu kawasaidia wanainchi kufukuza tembo ukanda wa chini wote wa chini kuanzia Holili hadi Tarakea una mretea Flatel sijui sanane huyo kashafukuzwa HQ ya CDM hana jipya mtachonga saaaana mwisho wa siku selasini ndio mbunge wetu hapa rombo. Pia jaribuni kushugulisha ubongo wenu hata kidogo kua nivigumu kuperform to required level kama wewe uko juu then chini yako ni upinzani madiwani 32 out of 4 hakuna hata diwani wa chadema kwenye kamati ya fedha na mipango unategemea kamati hiyo ifanye kazi ya kumpa credit mbunge??kwa aliyo yaeleza ziara nzima watu wamelizika na wamempa wenyeviti wengi wa vijiji na vitongoji so wanaelewa somo na wamemuhahidi kua nae bega kwabega nyinyi ni sehemu ndogo tu hamtafua dafu kamwe.

Andika kiswahili fasaha.Uongozi wa Chadema Rombo ndio uliofanya kazi.Kule alikofanya kampeni selasini ndiko tuliposhindwa vibaya.Acha uongo mimi ni kiongozi wa chama Rombo.Juzi ameanza kufanya vikao vya ndani lakini ni Aibu.Wewe sio chadema na hujui kitu eti selasini amefukuza tembo?Ana uwezo gani wa kufanya hivyo?
 
Katika jimbo la Rombo ambalo lipo chini ya Romani Selasini wa Chadema, nataka nitaje mambo mawili makubwa ambayo mbunge huyo alikuwa na nafasi ya kuyasukuma ila akashindwa kutokana na kutokuwa makini katika kuishawishi serikali na taasis husika pamoja na mashirika mbalimbali.

1. Mawasiliano ya radio, tv, simu. Minara ya Rombo ipo overloaded na minara ya Kenya ambapo kulipaswa kuwa na minara yenye nguvu kuliko ya Kenya ili watu wa Rombo waweze ku-access mawasiliano toka Tanzania. Alishindwa kushirikiana na serikali pamoja na idara husika kumaliza hilo tatizo.

2. Umeme wa REA.
Sasahivi maeneo mengi hakuna hata nguzo na wengine wamebaki na manguzo baada ya kushindwa kufuatilia huo umeme na kwa wakati kama ilivyo majimbo mengine, jukumu alilowaachia baadhi ya madiwani na watendaji wale ambao vijijini kwao hamna umeme kabisa wafuatilie wenyewe huku wengi wakikwama kwani hawana uelewa wa kutosha kwa kukosa mawasiliano ya vyombo vya habari vya ndani kama radio, tv, magazeti na pia madiwani hao hawana viti kule bungeni.

Matatizo mengine ya maji, uhaba wa ajira n.k yapo sehemu nyingi. Ila kwa kifupi, hajafanya chochote kwa muda wake wa ubunge.

Mkuu kama umeyaona haya kwanini usigombee ubunge ili uweze kurekebisha hayo yote!! Nafikiri ni muda muafaka na wewe u-takeover!
 
SELASINI HAJAFANYA KITU? HACHENI KUTUMIKA VIBAYA.

TUPENI UHALISIA WA MNACHOKISEMA.

SELASINI NDANI YA MIAKA MITANO TEMBO WAMEONDOKA AMBAO WALISABABISHA WANANCHIKUSHINDWA KULIMA NA HATA KUVUNA WALICHOKIPANDA.

NDANI YA MIAKA MITANO VISIMA VYA MAJI TAKRIBANI 12 VIMEJENGWA UKANDA WA CHINIAMBAKO NDIKO SHIDA ILIYOKUBWA YA MAJI MFANO LETO VISIMA VINNE, MUNGA NA MAENEOMENGINE, VISIMA VINASUBIRI MRADI WA REA AWAMU YA PILI UKAMILIKE ILI KUANZAKUSUKUMA MAJI NA TAYARI WANANCHI WAMEANZA KUCHIMBA MIFEREJI YA MABOMBA ILIKUPOKEA MAJI.

MRADI WA REA UNAENDELEA VIZURI NA WANAMALIZIA KUFUNGA NYAYA NA KUSIMIKA NGUZONA JANA MBUNGE ALIAMBATANA NA MWENYEVITI WATATU WA VIJIJI WA CHADEMA(MAHANGO,LETO NA USONGO) KWENDA KWA MENEJA WA TANESCO WILAYA (KABLA YA KWENDAKWENYE MIKUTANO YA HADHARA) ILI KUWEKA SAWA MAENEO YAO YALIYOKUWA YAKISUASUA.
KUPITIA MFUKO WA JIMBO NDANI YA MIAKA MITANO AMESAIDIA MAENEO YAFUATAYO NATAJABAADHI;

UJENZI WA OFISI ZA VIJIJI NA KATA;
NGUGUNI 1.5 MIL
KATA MANDA 1MIL
KATA NGOYONI 1MIL
MAMSERA CHALA 1MIL
HOLILI 1MIL
SAMANGA 1MIL.

ELIMU;
JIKO LA SHULE MENGWE 2MIL
MADARASA BOONI ALENI CHINI 2MIL
USSERI SEC 1MIL
MADARASA ENDONET (M/KITENDENI) 2MIL
UKARABATI TARAKEA SEC. 2MIL
CHOO S/MSINGI MSANGAI 2MIL
MBOMAI SEC. COMPUTER 2MIL
NDUWENI SEC. COMPUTER 2MIL
UKARABATI MADARASA S/MSINGI HOLILI 2MIL
UJENZI MAMSERA SEC. 1MIL
TANYA SEC 1MIL
KUFUNGA UMEME S/MSINGI KIBAONI 1.5 MIL
COMPUTER T.MOTAMBURU 3MIL
MADARASA KWALAKAMU 1.5 MIL
MFUKO WA ELIMU ROMBO 1MIL

AFYA
ZAHANATI KIKELELWA 2MIL
ZAHANATI UBAA 1MIL
PIA KWENYE AFYA AMESAIDIA HOSPITALI YA MOYO SAFI WALIYOKUWA WAMEIPORA AKINAMRAMBA NA WENZAKE SASA IMERUDI KWA WANANCHI NA KWA MARA YA KWANZA TUTAZINDUAHOSPITALI YA WILAYA YA SERIKALI KILICHOKUWA KITUO CHA AFYA CHA KARUME, TAYARIWODI YA WAZAZI,WATOTO,WANAUME, ICU NA CHUMBA CHA MAITI VIMEISHAANZA KUJENGWA NAVINGINE VIMEISHA KAMILIKA PAMOJA NA OPD ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO HOSPITAL YAHURUMA AMBAYO NI YA KANISA.

JENGO LA UTAWALA LA GOROFA LIKO KWENYE HATUA ZA KUANZA KUJENGWA ENEO LA UJENZIWILAYANI.


MBALI NA HAYO PIA AMESAIDIA VIKUNDI WATU MBALIMBALI KAMA;
KITUO CHA CONVENT 2MIL
SHIMBI SACCOSS 2MIL
KIKUNDI CHA MWANGARI 1MIL
KITUO CHA YATIMA TUMAINI CENTRE 2MIL
KIKUNDI CHA WALEMAVU MASHIMA 1.5MIL
VIJANA WAJASIRIAMALI TARAKEA 1MIL
MFUKO WA MAENDELEO K.K.K.T NANJARA 2MIL

MBALI NA HIVYO AMEWASAIDIA WANANCHI KATIKA UJENZI WA VITUO VYA POLISI;
USSERI 5MIL
NGUDUNI 5MIL
MENGWE CHINI 5MIL
MSINGA 1MIL
K/SAMANGA 1MIL
POLISI CANTEEN MKUU 3MIL

MBALI NA HAYO ANASOMESHA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU,VIKUNDI VINGIVIMESAIDIWA NDANI YA MIAKA MITANO, BARABARA ZINACHONGWA MARA KWA MARA, MADARAJAYANAJENGWA NA MENGINE YAMEKAMILIKA KAMA MSANGAI, NGOYONI NA MAENEO MENGINE.

MBUNGE AMEKUWA KARIBU NA WANANCHI WAKE HASA WAKATI WA MATATIZO MFANO MISIBA NAMAJANGA MENGINE YANAYOWAKUMBA WATU WAKE.

NDANI YA CHADEMA.
KATOA ELIMU YA KUTOSHA KWA WANANCHI JUU YA HAKI ZAO NA KUWAJENGEA MAZINGIRA YAKUDAI HAKI ZAO.
ALIGHARAMIKIA UCHAGUZI MDOGO WA DIWANI NAJARA REHA,
PROGRAM YA M4C ROMBO
UCHAGUZI WA NDANI YA CHAMA WILAYA NZIMA HADI WENGINE WA ROHO WA MADARAKA KUANZAKULITAMANI JIMBO KISA KUNA WASAIDIZI NDANI YA CHAMA WATAWAFANYIA KAMPENI.
KILA AKIRUDI JIMBONI NI MIKUTANO MWANZO MWISHO NA JANA ALIKUWA NA MHE. GRACEKIWELU (Mb.) KWENYE MKUTANO WA HADHARA KIJIJI CHA MAHARO.

SASA NAWASHANGAA WANAOLETA CHOKOCHOKO AU WALITAKA AWALETEE PILAU NYUMBANI?
KAMA NI CHADEMA ANASEMA HAYO MANENO BASI NI CHADEMA MASLAHI TENA CCMKINDAKINDAKI.
CCM ROMBO MTASUBIRI SANA NA HALMASHAURI HIYO TUNAIBEBA.

SELASINI NI MBUNGE WA ROMBO MIAKA MITANO IJAYO UKITAKA HIVYO HIVYO USIPOTAKAHIVYO HIVYO NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA SISI TUNAOJUA UMUHIMU WA MBUNGE TUNAMPENDANA DAIMA TUTAMUUNGA MKONO ILIHALI TUNAONA ANAWATETEA WANANCHI.
ALIYEWATUMA KABUGI MWAMBIE HUKU HAKUINGILIKI.

TUKUTANE JIMBONI.

 
Tuashinda tena sijui unatumia nini kufikiria.

Uongo hauna tija hapa, tujenge sio kubomoa.

Leto,usongo,msinga,kwalakamu kahe mbomainayeme keni,mrere,katangara,mkuu mjini,maharo,makiidi,shimbi masho,mashami,mashariki na kati,nguduni na mahango huko kote wataka kusema chadema tulishindwa? Kama tulishinda mbona ndiko mbunge alifanyanya kampeni na maeneo mengine mengi sasa mbona inakinzana na kauli zako kuwa alikofanya kampeni tulishindwa vibaya sana!

Hao wagombea wenu wa ubunge walifanya kampeni wapi mbona viongozi wa chama hatukuwaona wala kuwasikia?
Mbunge wetu wa chadema tulimuona na hata bila msaada wa mtu kutoka nje ya jimbo, ngoja tuwasubirie, mtatukuta jimboni.
 
Tuashinda tena sijui unatumia nini kufikiria.

Uongo hauna tija hapa, tujenge sio kubomoa.

Leto,usongo,msinga,kwalakamu kahe mbomainayeme keni,mrere,katangara,mkuu mjini,maharo,makiidi,shimbi masho,mashami,mashariki na kati,nguduni na mahango huko kote wataka kusema chadema tulishindwa? Kama tulishinda mbona ndiko mbunge alifanyanya kampeni na maeneo mengine mengi sasa mbona inakinzana na kauli zako kuwa alikofanya kampeni tulishindwa vibaya sana!

Hao wagombea wenu wa ubunge walifanya kampeni wapi mbona viongozi wa chama hatukuwaona wala kuwasikia?
Mbunge wetu wa chadema tulimuona na hata bila msaada wa mtu kutoka nje ya jimbo, ngoja tuwasubirie, mtatukuta jimboni.
Duh,Mnachekesha sana!
 
SELASINI HAJAFANYA KITU? HACHENI KUTUMIKA VIBAYA.

TUPENI UHALISIA WA MNACHOKISEMA.

SELASINI NDANI YA MIAKA MITANO TEMBO WAMEONDOKA AMBAO WALISABABISHA WANANCHIKUSHINDWA KULIMA NA HATA KUVUNA WALICHOKIPANDA.

NDANI YA MIAKA MITANO VISIMA VYA MAJI TAKRIBANI 12 VIMEJENGWA UKANDA WA CHINIAMBAKO NDIKO SHIDA ILIYOKUBWA YA MAJI MFANO LETO VISIMA VINNE, MUNGA NA MAENEOMENGINE, VISIMA VINASUBIRI MRADI WA REA AWAMU YA PILI UKAMILIKE ILI KUANZAKUSUKUMA MAJI NA TAYARI WANANCHI WAMEANZA KUCHIMBA MIFEREJI YA MABOMBA ILIKUPOKEA MAJI.

MRADI WA REA UNAENDELEA VIZURI NA WANAMALIZIA KUFUNGA NYAYA NA KUSIMIKA NGUZONA JANA MBUNGE ALIAMBATANA NA MWENYEVITI WATATU WA VIJIJI WA CHADEMA(MAHANGO,LETO NA USONGO) KWENDA KWA MENEJA WA TANESCO WILAYA (KABLA YA KWENDAKWENYE MIKUTANO YA HADHARA) ILI KUWEKA SAWA MAENEO YAO YALIYOKUWA YAKISUASUA.
KUPITIA MFUKO WA JIMBO NDANI YA MIAKA MITANO AMESAIDIA MAENEO YAFUATAYO NATAJABAADHI;

UJENZI WA OFISI ZA VIJIJI NA KATA;
NGUGUNI 1.5 MIL
KATA MANDA 1MIL
KATA NGOYONI 1MIL
MAMSERA CHALA 1MIL
HOLILI 1MIL
SAMANGA 1MIL.

ELIMU;
JIKO LA SHULE MENGWE 2MIL
MADARASA BOONI ALENI CHINI 2MIL
USSERI SEC 1MIL
MADARASA ENDONET (M/KITENDENI) 2MIL
UKARABATI TARAKEA SEC. 2MIL
CHOO S/MSINGI MSANGAI 2MIL
MBOMAI SEC. COMPUTER 2MIL
NDUWENI SEC. COMPUTER 2MIL
UKARABATI MADARASA S/MSINGI HOLILI 2MIL
UJENZI MAMSERA SEC. 1MIL
TANYA SEC 1MIL
KUFUNGA UMEME S/MSINGI KIBAONI 1.5 MIL
COMPUTER T.MOTAMBURU 3MIL
MADARASA KWALAKAMU 1.5 MIL
MFUKO WA ELIMU ROMBO 1MIL

AFYA
ZAHANATI KIKELELWA 2MIL
ZAHANATI UBAA 1MIL
PIA KWENYE AFYA AMESAIDIA HOSPITALI YA MOYO SAFI WALIYOKUWA WAMEIPORA AKINAMRAMBA NA WENZAKE SASA IMERUDI KWA WANANCHI NA KWA MARA YA KWANZA TUTAZINDUAHOSPITALI YA WILAYA YA SERIKALI KILICHOKUWA KITUO CHA AFYA CHA KARUME, TAYARIWODI YA WAZAZI,WATOTO,WANAUME, ICU NA CHUMBA CHA MAITI VIMEISHAANZA KUJENGWA NAVINGINE VIMEISHA KAMILIKA PAMOJA NA OPD ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO HOSPITAL YAHURUMA AMBAYO NI YA KANISA.

JENGO LA UTAWALA LA GOROFA LIKO KWENYE HATUA ZA KUANZA KUJENGWA ENEO LA UJENZIWILAYANI.


MBALI NA HAYO PIA AMESAIDIA VIKUNDI WATU MBALIMBALI KAMA;
KITUO CHA CONVENT 2MIL
SHIMBI SACCOSS 2MIL
KIKUNDI CHA MWANGARI 1MIL
KITUO CHA YATIMA TUMAINI CENTRE 2MIL
KIKUNDI CHA WALEMAVU MASHIMA 1.5MIL
VIJANA WAJASIRIAMALI TARAKEA 1MIL
MFUKO WA MAENDELEO K.K.K.T NANJARA 2MIL

MBALI NA HIVYO AMEWASAIDIA WANANCHI KATIKA UJENZI WA VITUO VYA POLISI;
USSERI 5MIL
NGUDUNI 5MIL
MENGWE CHINI 5MIL
MSINGA 1MIL
K/SAMANGA 1MIL
POLISI CANTEEN MKUU 3MIL

MBALI NA HAYO ANASOMESHA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU,VIKUNDI VINGIVIMESAIDIWA NDANI YA MIAKA MITANO, BARABARA ZINACHONGWA MARA KWA MARA, MADARAJAYANAJENGWA NA MENGINE YAMEKAMILIKA KAMA MSANGAI, NGOYONI NA MAENEO MENGINE.

MBUNGE AMEKUWA KARIBU NA WANANCHI WAKE HASA WAKATI WA MATATIZO MFANO MISIBA NAMAJANGA MENGINE YANAYOWAKUMBA WATU WAKE.

NDANI YA CHADEMA.
KATOA ELIMU YA KUTOSHA KWA WANANCHI JUU YA HAKI ZAO NA KUWAJENGEA MAZINGIRA YAKUDAI HAKI ZAO.
ALIGHARAMIKIA UCHAGUZI MDOGO WA DIWANI NAJARA REHA,
PROGRAM YA M4C ROMBO
UCHAGUZI WA NDANI YA CHAMA WILAYA NZIMA HADI WENGINE WA ROHO WA MADARAKA KUANZAKULITAMANI JIMBO KISA KUNA WASAIDIZI NDANI YA CHAMA WATAWAFANYIA KAMPENI.
KILA AKIRUDI JIMBONI NI MIKUTANO MWANZO MWISHO NA JANA ALIKUWA NA MHE. GRACEKIWELU (Mb.) KWENYE MKUTANO WA HADHARA KIJIJI CHA MAHARO.

SASA NAWASHANGAA WANAOLETA CHOKOCHOKO AU WALITAKA AWALETEE PILAU NYUMBANI?
KAMA NI CHADEMA ANASEMA HAYO MANENO BASI NI CHADEMA MASLAHI TENA CCMKINDAKINDAKI.
CCM ROMBO MTASUBIRI SANA NA HALMASHAURI HIYO TUNAIBEBA.

SELASINI NI MBUNGE WA ROMBO MIAKA MITANO IJAYO UKITAKA HIVYO HIVYO USIPOTAKAHIVYO HIVYO NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA SISI TUNAOJUA UMUHIMU WA MBUNGE TUNAMPENDANA DAIMA TUTAMUUNGA MKONO ILIHALI TUNAONA ANAWATETEA WANANCHI.
ALIYEWATUMA KABUGI MWAMBIE HUKU HAKUINGILIKI.

TUKUTANE JIMBONI.


Acha vitisho ,tupo jimboni hata sasa.juzi ulileta ujinga kwenye sekretarieti ......

Hebu sema kazi za mfuko wa Jimbo zimetumika kiasi gani?Je ni kwa ajili ya misiba?ndio kazi za CDF hizi?
 
Katika jimbo la Rombo ambalo lipo chini ya Romani Selasini wa Chadema, nataka nitaje mambo mawili makubwa ambayo mbunge huyo alikuwa na nafasi ya kuyasukuma ila akashindwa kutokana na kutokuwa makini katika kuishawishi serikali na taasis husika pamoja na mashirika mbalimbali.

1. Mawasiliano ya radio, tv, simu. Minara ya Rombo ipo overloaded na minara ya Kenya ambapo kulipaswa kuwa na minara yenye nguvu kuliko ya Kenya ili watu wa Rombo waweze ku-access mawasiliano toka Tanzania. Alishindwa kushirikiana na serikali pamoja na idara husika kumaliza hilo tatizo.

2. Umeme wa REA.
Sasahivi maeneo mengi hakuna hata nguzo na wengine wamebaki na manguzo baada ya kushindwa kufuatilia huo umeme na kwa wakati kama ilivyo majimbo mengine, jukumu alilowaachia baadhi ya madiwani na watendaji wale ambao vijijini kwao hamna umeme kabisa wafuatilie wenyewe huku wengi wakikwama kwani hawana uelewa wa kutosha kwa kukosa mawasiliano ya vyombo vya habari vya ndani kama radio, tv, magazeti na pia madiwani hao hawana viti kule bungeni.

Matatizo mengine ya maji, uhaba wa ajira n.k yapo sehemu nyingi. Ila kwa kifupi, hajafanya chochote kwa muda wake wa ubunge.

Madiwani wote rombo ni ccm
 
Nyie nivibaraka watumwa wa maccm mimi nimetembea ziara ya wiki 2 wa Mweshimiwa kaeleza michango yake akiwa bungeni na jimboni kwake watu wanamkubali zaidi ya mnavyo fikili. Kuna recoreded conversation kati ya makada wa ccm na huyo Flatel wenu kumtumia asimame eti iwe rahisi kwao kushinda sasa kamchezo tulisha kabaini natunakafanyia kazi. Sasa hivi SELASINI anitwa dume la mbegu nani anae mjua huyo Flatel??? Yaani mtu kawasaidia wanainchi kufukuza tembo ukanda wa chini wote wa chini kuanzia Holili hadi Tarakea una mretea Flatel sijui sanane huyo kashafukuzwa HQ ya CDM hana jipya mtachonga saaaana mwisho wa siku selasini ndio mbunge wetu hapa rombo. Pia jaribuni kushugulisha ubongo wenu hata kidogo kua nivigumu kuperform to required level kama wewe uko juu then chini yako ni upinzani madiwani 32 out of 4 hakuna hata diwani wa chadema kwenye kamati ya fedha na mipango unategemea kamati hiyo ifanye kazi ya kumpa credit mbunge??kwa aliyo yaeleza ziara nzima watu wamelizika na wamempa wenyeviti wengi wa vijiji na vitongoji so wanaelewa somo na wamemuhahidi kua nae bega kwabega nyinyi ni sehemu ndogo tu hamtafua dafu kamwe.

jaribu kupangilia maneno vizuri mkuu.
 
Andika kiswahili fasaha.Uongozi wa Chadema Rombo ndio uliofanya kazi.Kule alikofanya kampeni selasini ndiko tuliposhindwa vibaya.Acha uongo mimi ni kiongozi wa chama Rombo.Juzi ameanza kufanya vikao vya ndani lakini ni Aibu.Wewe sio chadema na hujui kitu eti selasini amefukuza tembo?Ana uwezo gani wa kufanya hivyo?

hahahahaha 30 kumbe ni mchawi wa kufukuza tembo! Wananchi walimchagua ili akaswage tembo? Hahahaha jf raha sana
 
Andika kiswahili fasaha.Uongozi wa Chadema Rombo ndio uliofanya kazi.Kule alikofanya kampeni selasini ndiko tuliposhindwa vibaya.Acha uongo mimi ni kiongozi wa chama Rombo.Juzi ameanza kufanya vikao vya ndani lakini ni Aibu.Wewe sio chadema na hujui kitu eti selasini amefukuza tembo?Ana uwezo gani wa kufanya hivyo?

Machagadema yanapigana vikumbo hapa!
 
Mkuu kama umeyaona haya kwanini usigombee ubunge ili uweze kurekebisha hayo yote!! Nafikiri ni muda muafaka na wewe u-takeover!

najipanga kugombea kimya kimya
 
acha vitisho ,tupo jimboni hata sasa.juzi ulileta ujinga kwenye sekretarieti ......

Hebu sema kazi za mfuko wa jimbo zimetumika kiasi gani?je ni kwa ajili ya misiba?ndio kazi za cdf hizi?

sawa najua upo jimboni,naomba useme ujinga niliouleta juzi kwenye sekretariet nikuumbue hapa hapa ujione ulivyo mnafiki na kibaya id yako nimeisha pewa hivyo jitathimini kijana.


Kumbe unawivu anapotoa rambi rambi misibani? Naomba nikupe taarifa kuwa baada ya mbunge kutoa pesa za jimbo kwa ajili ya maendeleo upitishwa na kamati ya uchumi,fedha na mipango na taarifa inawasilishwa kwenye baraza la madiwani kaulize au fatilia documents halmashauri hakuna pesa iliyotoka mfuko wa jimbo kwenda misibani,jibu ni kuwa anatoa mfukoni mwake anajinyima japo kuwafariji wapiga kura wake acha wivu wa kike na kishamba hadi kwenye masuala ya kijamii.
 
SELASINI HAJAFANYA KITU? HACHENI KUTUMIKA VIBAYA.

TUPENI UHALISIA WA MNACHOKISEMA.

SELASINI NDANI YA MIAKA MITANO TEMBO WAMEONDOKA AMBAO WALISABABISHA WANANCHIKUSHINDWA KULIMA NA HATA KUVUNA WALICHOKIPANDA.

NDANI YA MIAKA MITANO VISIMA VYA MAJI TAKRIBANI 12 VIMEJENGWA UKANDA WA CHINIAMBAKO NDIKO SHIDA ILIYOKUBWA YA MAJI MFANO LETO VISIMA VINNE, MUNGA NA MAENEOMENGINE, VISIMA VINASUBIRI MRADI WA REA AWAMU YA PILI UKAMILIKE ILI KUANZAKUSUKUMA MAJI NA TAYARI WANANCHI WAMEANZA KUCHIMBA MIFEREJI YA MABOMBA ILIKUPOKEA MAJI.

MRADI WA REA UNAENDELEA VIZURI NA WANAMALIZIA KUFUNGA NYAYA NA KUSIMIKA NGUZONA JANA MBUNGE ALIAMBATANA NA MWENYEVITI WATATU WA VIJIJI WA CHADEMA(MAHANGO,LETO NA USONGO) KWENDA KWA MENEJA WA TANESCO WILAYA (KABLA YA KWENDAKWENYE MIKUTANO YA HADHARA) ILI KUWEKA SAWA MAENEO YAO YALIYOKUWA YAKISUASUA.
KUPITIA MFUKO WA JIMBO NDANI YA MIAKA MITANO AMESAIDIA MAENEO YAFUATAYO NATAJABAADHI;

UJENZI WA OFISI ZA VIJIJI NA KATA;
NGUGUNI 1.5 MIL
KATA MANDA 1MIL
KATA NGOYONI 1MIL
MAMSERA CHALA 1MIL
HOLILI 1MIL
SAMANGA 1MIL.

ELIMU;
JIKO LA SHULE MENGWE 2MIL
MADARASA BOONI ALENI CHINI 2MIL
USSERI SEC 1MIL
MADARASA ENDONET (M/KITENDENI) 2MIL
UKARABATI TARAKEA SEC. 2MIL
CHOO S/MSINGI MSANGAI 2MIL
MBOMAI SEC. COMPUTER 2MIL
NDUWENI SEC. COMPUTER 2MIL
UKARABATI MADARASA S/MSINGI HOLILI 2MIL
UJENZI MAMSERA SEC. 1MIL
TANYA SEC 1MIL
KUFUNGA UMEME S/MSINGI KIBAONI 1.5 MIL
COMPUTER T.MOTAMBURU 3MIL
MADARASA KWALAKAMU 1.5 MIL
MFUKO WA ELIMU ROMBO 1MIL

AFYA
ZAHANATI KIKELELWA 2MIL
ZAHANATI UBAA 1MIL
PIA KWENYE AFYA AMESAIDIA HOSPITALI YA MOYO SAFI WALIYOKUWA WAMEIPORA AKINAMRAMBA NA WENZAKE SASA IMERUDI KWA WANANCHI NA KWA MARA YA KWANZA TUTAZINDUAHOSPITALI YA WILAYA YA SERIKALI KILICHOKUWA KITUO CHA AFYA CHA KARUME, TAYARIWODI YA WAZAZI,WATOTO,WANAUME, ICU NA CHUMBA CHA MAITI VIMEISHAANZA KUJENGWA NAVINGINE VIMEISHA KAMILIKA PAMOJA NA OPD ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO HOSPITAL YAHURUMA AMBAYO NI YA KANISA.

JENGO LA UTAWALA LA GOROFA LIKO KWENYE HATUA ZA KUANZA KUJENGWA ENEO LA UJENZIWILAYANI.


MBALI NA HAYO PIA AMESAIDIA VIKUNDI WATU MBALIMBALI KAMA;
KITUO CHA CONVENT 2MIL
SHIMBI SACCOSS 2MIL
KIKUNDI CHA MWANGARI 1MIL
KITUO CHA YATIMA TUMAINI CENTRE 2MIL
KIKUNDI CHA WALEMAVU MASHIMA 1.5MIL
VIJANA WAJASIRIAMALI TARAKEA 1MIL
MFUKO WA MAENDELEO K.K.K.T NANJARA 2MIL

MBALI NA HIVYO AMEWASAIDIA WANANCHI KATIKA UJENZI WA VITUO VYA POLISI;
USSERI 5MIL
NGUDUNI 5MIL
MENGWE CHINI 5MIL
MSINGA 1MIL
K/SAMANGA 1MIL
POLISI CANTEEN MKUU 3MIL

MBALI NA HAYO ANASOMESHA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU,VIKUNDI VINGIVIMESAIDIWA NDANI YA MIAKA MITANO, BARABARA ZINACHONGWA MARA KWA MARA, MADARAJAYANAJENGWA NA MENGINE YAMEKAMILIKA KAMA MSANGAI, NGOYONI NA MAENEO MENGINE.

MBUNGE AMEKUWA KARIBU NA WANANCHI WAKE HASA WAKATI WA MATATIZO MFANO MISIBA NAMAJANGA MENGINE YANAYOWAKUMBA WATU WAKE.

NDANI YA CHADEMA.
KATOA ELIMU YA KUTOSHA KWA WANANCHI JUU YA HAKI ZAO NA KUWAJENGEA MAZINGIRA YAKUDAI HAKI ZAO.
ALIGHARAMIKIA UCHAGUZI MDOGO WA DIWANI NAJARA REHA,
PROGRAM YA M4C ROMBO
UCHAGUZI WA NDANI YA CHAMA WILAYA NZIMA HADI WENGINE WA ROHO WA MADARAKA KUANZAKULITAMANI JIMBO KISA KUNA WASAIDIZI NDANI YA CHAMA WATAWAFANYIA KAMPENI.
KILA AKIRUDI JIMBONI NI MIKUTANO MWANZO MWISHO NA JANA ALIKUWA NA MHE. GRACEKIWELU (Mb.) KWENYE MKUTANO WA HADHARA KIJIJI CHA MAHARO.

SASA NAWASHANGAA WANAOLETA CHOKOCHOKO AU WALITAKA AWALETEE PILAU NYUMBANI?
KAMA NI CHADEMA ANASEMA HAYO MANENO BASI NI CHADEMA MASLAHI TENA CCMKINDAKINDAKI.
CCM ROMBO MTASUBIRI SANA NA HALMASHAURI HIYO TUNAIBEBA.

SELASINI NI MBUNGE WA ROMBO MIAKA MITANO IJAYO UKITAKA HIVYO HIVYO USIPOTAKAHIVYO HIVYO NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA SISI TUNAOJUA UMUHIMU WA MBUNGE TUNAMPENDANA DAIMA TUTAMUUNGA MKONO ILIHALI TUNAONA ANAWATETEA WANANCHI.
ALIYEWATUMA KABUGI MWAMBIE HUKU HAKUINGILIKI.

TUKUTANE JIMBONI.


ndo kakutuma uje uandike uongo huu? Baada ya kuona hii thread ndo kaanza mikutano ya kujisafisha? Too late kujisafisha. Anakumbuka shuka kumekushakucha! Apite hivi ¿
 
Back
Top Bottom