sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
- Thread starter
- #101
Acha vitisho ,tupo jimboni hata sasa.juzi ulileta ujinga kwenye sekretarieti ......
Hebu sema kazi za mfuko wa Jimbo zimetumika kiasi gani?Je ni kwa ajili ya misiba?ndio kazi za CDF hizi?
Selasini ana akili za kitoto sana! Anasema umeme wa REA ambao wananchi wamebaki na manguzo et ni wa chadema! Lengo ni ili achaguliwe tena! Aendelee na kampeni yake ya kuswaga tembo! Hahahahaha