Miaka Minne bila Magufuli

Miaka Minne bila Magufuli

Anawaambia watoto wa wenzie wajiajiri, halafu ndugu zake na wanae alikuwa anawapa vitengo pumbavu sana....naanza na Musa magufuri aliekuwa mwalimu wa chuo Cha maendeleo ya jamii Buhare Musoma leo anakula shushu wizara ya madini na kufundisha aliishasahu jamaa alikuwa ni bonge la kilaza kwa wale waliopitia chuo Cha maendeleo ya jamii Buhare ni mashahidi. Mwingine ni Jesca magufuri, huyu mtoto wa magufuri alifeli kwa kupata division four lakini leo yupo wizara ya madini kama afisa muajiri(HR) kwenye ofisini flani na mkoa flani, na mwingine ni Judith magufuri huyu yeye alikuwa ni (das) wilaya flani huko morogoro nawafahamu wengi Tu lakini kwa leo niishie hapa....
 
Hii Tanzania ilikuwa na raisi mmoja TU ambaye ni John Joseph magufuri mwamba wa Africa,utakuwa mjinga wa viwango gani unayeshindwa kukunari kazi kubwa aliyoifanya...trump anatufundisha tusiwe watu wa kuombaomba tutengeneze uchumi wetu wa nchi sio kutegemea misada na magufuri aliongea sana na kuasa nchi za Africa kuwa wamoja.
 
Ndiye alikuwa nani kwny nchi hii? Au ni yule tapeli wa fedha za ndani kumbe mikopo, yule mwizi wa uchaguzi au kuna mwngne.
 
Hii Tanzania ilikuwa na raisi mmoja TU ambaye ni John Joseph magufuri mwamba wa Africa,utakuwa mjinga wa viwango gani unayeshindwa kukunari kazi kubwa aliyoifanya...trump anatufundisha tusiwe watu wa kuombaomba tutengeneze uchumi wetu wa nchi sio kutegemea misada na magufuri aliongea sana na kuasa nchi za Africa kuwa wamoja.
hivi kumbe tz iliwahi kuwa na rais anayeitwa magufuri? Mwaka upi nikumbushe
 
Back
Top Bottom