Miaka 82 ya penzi la Malkia Elizabeth II na Mwanamfalme Philip

Mkuu mbona wanasema wanampa Prince William - Mjukuu wa Filipo na mtoto wa kwanza wa Prince Charles kwamba ndiye atakuwa mfalme ajaye baada ya kifo cha Bibi yake Malkia Elizabeth II. ?


Prince William, Duke of Cambridge, KG, KT, PC, ADC (William Arthur Philip Louis; born 21 June 1982) is a member of the British royal family. He is the elder son of Charles, Prince of Wales, and Diana, Princess of Wales. Since birth, he has been second in the line of succession to the British throne.
Mkuu mbona yaeleweka uzuri tu.

William ni wa pili kwa kurithi kiti cha ufalme baada ya baba yake.
 
Hayo makaburi wanazika kwa zege ka ya kwetu huku au wanafukia, hafu kutembelea makaburi huwa sioni shida kuenzi ma ancestor wetu.
Hapana miili hupekwa dawa maalum na kutunzwa katika majeneza maalum.

Hilo la kuenzi walotangulia mbele ya haki ni muhimu.

Ila kuna makabila huwa yanachezea makaburi ya walotangulia.
 
hii itakwenda mpaka lini? nchi nyingine ziliachana na huu utamaduni wa kifalme wa kale na kale.
Huu utaratibu ndo mzuri na umeiletea uingereza heshima kubwa na iliweza kutawala dunia, utawala wao ni miiko ya kimila siku wakiacha watasambaratika hata huku Africa kinachotukwamisha ni kuiga democracy za nje wakati tulikuwa na watawala wetu wa asili tofauti na alivokuja mzungu na Berlin conference imagine Tanganyika imeinganishwa makabila mangapi wengine wavivu, wachapakazi wamekusamywa humo ndio maana watu hawana uchungu ni ufisadi, nepotism plus ukabila tu wakati wa chiefdom kila kabila lilikuwa ni chief wake na hyo ingerahisisha maendeleo ni ngumu kuibia ndugu mnao share language na vinasaba Kama Sasa.
 
Mkuu mbona wanasema wanampa Prince William - Mjukuu wa Filipo na mtoto wa kwanza wa Prince Charles kwamba ndiye atakuwa mfalme ajaye baada ya kifo cha Bibi yake Malkia Elizabeth II. ?


Prince William, Duke of Cambridge, KG, KT, PC, ADC (William Arthur Philip Louis; born 21 June 1982) is a member of the British royal family. He is the elder son of Charles, Prince of Wales, and Diana, Princess of Wales. Since birth, he has been second in the line of succession to the British throne.

Queen Elizabeth akifariki mfalme atakua mtoto wake mkubwa Prince Charles ndie anafuata na akifariki Prince Charles mtawala atakua mtoto wake Charles mkubwa ambae ni Prince william

Pia,endapo Prince Charles atafariki kabla ya mama yake queen Elizabeth automatically mtoto Prince william atakua Prince of England the atafuata mtoto wa kwanza wa William ambae ni Prince George ( 7yers old)

Pia, endapo Prince william na Prince Charles watafariki kabla ya queen Elizabeth basi Prince George ndio atakua Prince of England hata kama Prince harry hajafariki

Succession throne inaenda kwa watoto wakubwa tu ( wa mwnzo kuzaliwa)

MASAHIHISHO NILIPOKOSEA
 
Kiprotocali Philip alikuwa safi kabisa, ila kea kuchepuka, inasemekana malika alivumilia sana ili kulinda hadhi ya ufalme, akiamini kuvunja doa ingekuwa doa kubwa. Philip alikuwa na side chicks wanawake wanne muda tofauti katika maisha yao. Lakini malika alivumilia kwani ilikuwa chaguo lake, tena wazazi hawakupenda mtu wa kuja amuoe binti yao ila Elizabeth aling'ang'ana ,wazazi wakakubali yaishe, ndio maana alivumilia. Lakini kiongozi kweli jamaa hakujimwambafai hata siku moja. Funzo kwa vijana leo, ndoa ina mabonde na milima, hakuna binadamu mkamilfu, mkubwa kuvumiliana na kusameheana. Sio unadhiwa na mwenzio leo kesho unawaza kuvunja ndoa. Utafunga ndoa na kuvunja ngapi?
 
Kiprotocali Philip alikuwa safi kabisa, ila kea kuchepuka, inasemekana malika alivumilia sana ili kulinda hadhi ya ufalme, akiamini kuvunja doa ingekuwa doa kubwa . Philip alikuwa na side chicks wanawake wanne muda tofauti katika maisha yao. Lakini malika alivumilia kwani ilikuwa chaguo lake , tena wazazi hawakupenda mtu wa kuja amuoe binti yao ila Elizabeth aling'ang'ana ,wazazi wakakubali yaishe, ndio maana alivumilia. Lakini kiongozi kweli jamaa hakujimwambafai hata siku moja. Funzo kea vijana leo, ndoa ina mabonde na milima,hakuna binadamu mkamilfu ,mkubwa kuvumiliana na kusameheana. Sio unadhiwa na mwenzio leo kesho unawaza kuvunja ndoa. Utafunga ndoa na kuvunja ngapi?.
Duh kwa wazungu kuchepuka huwa ni kosa lisilosameheka Ila heko kwa Elizabeth kumvumilia mumewe aisee wewe malikia kutoa talaka ingekuwa aibu ya Karne,by the way cheating ni makosa tu ka yalivo makosa mengine
 
Kwa kuongezea, mwili wa marehemu Phillip umelazwa katika kaburi la muda ukimsubiri Malkia Elizabeth atakapofariki na watazikwa pamoja ndani ya kaburi moja.

Sehemu wanozikwa hawa wana ufalme wa Uingereza yaitwa "Vault" na imejengwa mithili ya gorofa zenye kila sehemu ina jina na kaburi ambapo inakuwa rahisi kwa wanofanya kumbukumbu kutopata shida.

Makaburi ya ufalme wa Uingereza yapo sehemu yaitwa Windsor Castle ndani ya kanisa la Mtakatifu George au St George Chapel.

Ndani ya makaburi hayo wamelala kuanzia mfalme Henry wa VI hadi babu yake Malkia Elizabeth II George wa V na baba yake George wa VI.

Wenzetu hawa huwa wanazuru makaburi na kukumbuka.

Sisi huita matambiko na kuna wakati husaidia mambo yakienda sivyo.

Kuna wengine usipohudhuria kaburio huwa ni shida na marehemu hukujia ndotoni kukuulizia kiaje?
... duh! Hilo eneo litakuwa linatisha balaa!
 
Kwann hakuitwa mfalme wa uingereza wakati Ni mume wa malkia??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app

Kwa sababu sio mwanamfalme wa Uingereza.
... sio kweli; kwanza angekuwa mwanamfalme wa Uingereza kwa maana ya kuzaliwa katika ufalme angewezaje kuwa mume wa malkia wa UK? Kwamba angemuoa dada/ndugu yake au? Hoja ni kwanini mume wa malkia anayetawala haitwi mfalme ni kwa kuwa hapawezi kuwa na wakuu wa nchi wawili at the same time.

Ila kwa taratibu zao, mke wa mfalme (of course anayetawala maana hakuna mfalme asiyetawala) ana title ya malkia ingawa mume wa malkia anayetawala haitwi mfalme (maana mfalme sharti atawale) bali hupewa cheo cha prince kama ilivyokuwa kwa Philip.

Ndio maana Elizabeth, mama yake Queen Elizabeth II alikuwa na title ya Queen kwa nafasi yake kama mke wa King George VI ila mume wake Queen Elizabeth II aliishia tu kuitwa Prince Philip na sio King Philip!
 
penzi likidumu kwa mwaka tu inabidi mkatoe sadaka ya shukrani
... duh hatari sana na wengine wanaenda kabisa kwa waganga wapate dawa za kumdhibiti mke/mume asikamatike nje huko; wakati the Queen and her husband the late Prince Philip walishaadhimisha Silver Jubilee (25yrs); Golden Jubilee (50yrs); chupu chupu waadhimishe Diamond Jubilee (75yrs) ya ndoa sijui mganga wao alikuwa nani.
 
... sio kweli; kwanza angekuwa mwanamfalme wa Uingereza kwa maana ya kuzaliwa katika ufalme angewezaje kuwa mume wa malkia wa UK? Kwamba angemuoa dada/ndugu yake au? Hoja ni kwanini mume wa malkia anayetawala haitwi mfalme ni kwa kuwa hapawezi kuwa na wakuu wa nchi wawili at the same time.

Ila kwa taratibu zao, mke wa mfalme (of course anayetawala maana hakuna mfalme asiyetawala) ana title ya malkia ingawa mume wa malkia anayetawala haitwi mfalme (maana mfalme sharti atawale) bali hupewa cheo cha prince kama ilivyokuwa kwa Philip.

Ndio maana Elizabeth, mama yake Queen Elizabeth II alikuwa na title ya Queen kwa nafasi yake kama mke wa King George VI ila mume wake Queen Elizabeth II aliishia tu kuitwa Prince Philip na sio King Philip!
prince philip pia ni mwanamfalme lakini sio falme ya uingereza
 
prince philip pia ni mwanamfalme lakini sio falme ya uingereza
Hilo najua ila ni muhimu sana kuelewa mtiririko wa hoja ili kujua ni kwanini jibu fulani limetolewa kwa hoja fulani. Niliyemjibu alileta hoja ...
Kwa sababu sio mwanamfalme wa Uingereza.
... ndio maana nikamwambia asingeweza kuwa mwanamfalme (Prince) wa Uingereza halafu amuoe binti mfalme (Princess) wa Uingereza; wangekuwa wameoana kaka na dada!
 
... duh hatari sana na wengine wanaenda kabisa kwa waganga wapate dawa za kumdhibiti mke/mume asikamatike nje huko; wakati the Queen and her husband the late Prince Philip walishaadhimisha Silver Jubilee (25yrs); Golden Jubilee (50yrs); chupu chupu waadhimishe Diamond Jubilee (75yrs) ya ndoa sijui mganga wao alikuwa nani.
Hahaaaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom