Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 890
- 4,140
Nipo Pemba for the 1st time, nimezunguka hiki kisiwa chote. Naomba nikiri kwamba hali ya kiuchumi huku ni mbaya kuliko unavyoweza kudhania. Hakuna usafiri wakueleweka kama Unguja,. Lakini pia maisha ya wananchi ni duni sana. Hakuna maduka ya bidhaa, hakuna lodge wala hotel zakufikia, hakuna usafiri wakueleweka.
Natambua kwamba huu mji una milima mingi lakini tulipaswa kuwekeza japo kidogo. Tujenge japo shopping mall au marikiti kubwa ...tufungue usafiri kwa kuweka vyombo vyenye hadhi.
Mzee Mwinyi business park unayotengeza ilipaswa kujengwa pemba siyo Unguja. Lakini pia Wapemba fanyeni maamuzi yakupajenga kwenu....you are so strong mentally, economically and politically compared to those from Unguja.......pendeni kwenu pls
Natambua kwamba huu mji una milima mingi lakini tulipaswa kuwekeza japo kidogo. Tujenge japo shopping mall au marikiti kubwa ...tufungue usafiri kwa kuweka vyombo vyenye hadhi.
Mzee Mwinyi business park unayotengeza ilipaswa kujengwa pemba siyo Unguja. Lakini pia Wapemba fanyeni maamuzi yakupajenga kwenu....you are so strong mentally, economically and politically compared to those from Unguja.......pendeni kwenu pls