Miaka 5 ya CCM #Pambana Na Hali Yako

Miaka 5 ya CCM #Pambana Na Hali Yako

Nimejitahidi kusoma mpaka mwisho ni madini tupu ila hofu Kuna watu watakuja kukushambulia,so sad
Madini au pumba tu. Bajeti inayotekelezeka kwa 93% unakuja kuipinga kishabiki kama unashabikia Simba na Yanga. Kwani sisi hatuoni yanayofanyika? Hatuoni sekta ya miundo mbinu,afya ,elimu na viwanda na biashara namna serikali inavyojitahidi! Msituyumbishe na takwimu za kupika na kujifanya mnajua sana.
 
5668CA5C-2FA7-4F81-82A8-0B63B6FA0F35.jpeg



Zitto, Bashe na January wana tatizo moja wanafahamu mambo theoretically na kuleta mapendekezo. Tatizo ni kwamba mitazamo yao huwa rahisi tu isiyopima uhalisia au practicability mwishowe hoja zao ukiziangalia kwa makini unaona ni maswala ya kujiropokea tu.

In this instance udhani huyu mtu kama kaangalia receipt za serikali kwenye paye na haya mapendekezo yake yataathiri vipi mapato mbeleni na kuna plan gani ya kufidia.

Kwa mujibu wa NBS 2015 data Tanzania kuna wafanyakazi million 2 waliosajiliwa kama walipa kodi na katika hao only 4% ndio mshahara wao unavuka millioni moja na zaidi.

Clearly ukilinganisha mipango ya serikari na mapendekezo ya ACT wazalendo receipts zitashuka sana si ajabu kwa zaidi ya 70% maana idadi ya walipa kodi itakuwa ndogo ukizingatia waajiriwa wengi mishahara yao ni 300,000 mpaka 700,000.

Na hakuna mahala anazungumzia hizo shortfalls zitafidiwa na receipts zipi in short for the most part ni kama mtu anaejiropekea.

Hana tofauti na January Makamba kwenye kuropoka anaemfananisha Nyerere na ‘philosopher king’. Wakati Nyerere ni kiongozi ambae alikuwa na msimamo wa wazi kwenye ujamaa.

The irony of it all huko alipoitoa hiyo concept dialogue ya kwenye kitabu cha ‘Republic’ kwa mtazamo wa Socrates, ujamaa ni kwa maslahi ya viongozi sio nchi ni aina ya serikali ambayo Socrates alikuwa akiipinga kwa nguvu zote na ndio msingi wa kupendekeza ‘philosopher kings’ (neutral leaders, techonocrats)

Sasa utamwitaje mjamaa kama Nyerere a philosopher king ain’t that pathetic. To think his book review, revered people like Shivji thought his evaluation was praiseworthy that is beyond me.
 
Madini au pumba tu. Bajeti inayotekelezeka kwa 93% unakuja kuipinga kishabiki kama unashabikia Simba na Yanga. Kwani sisi hatuoni yanayofanyika? Hatuoni sekta ya miundo mbinu,afya ,elimu na viwanda na biashara namna serikali inavyojitahidi! Msituyumbishe na takwimu za kupika na kujifanya mnajua sana.
Huwa sibishani na watu wenye akili Kama za kwako
 
Nasikia kuanzia July Mishahara ya wafanyakazi itaongezeka kwa Tsh 51,000/= ni kweli?
 
hivi Kuna mfanyakazi ataipigia kura CCM kweli?

hata awe mwanaCCM kindaki ndaki...


sioni akiichagua Tena CCM yake maana sio kwa ukatili huu
 
Rais mwenyewe alitangaza kwenye mkutano wa hadhara kuwa atahakikisha anafuta upinzani nchini.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwani wapinzan hawajawah kusema hadharani kuwa watahakikisha wanaitupilia mbali na kuisambalatisha CCM.

Mkuu mbona mnakomaa na vidokezo vya lugha ya kisiasa tu.
 
Ningependekeza wanafunzi waanze kufundishwa IT kuanzia shule ya msingi. Shule ipate computer hata tano, iwe na WiFi, kuwe na mwalimu mwenye taaluma hiyo.

Dunia ya sasa ni kidigital mtoto anamaliza darasa la saba hajui hata kujaza fomu kwa kidigital.
Nakuunga mkono. Wakati huo kufundishwe program hizi kuanzia shule ya msingi walau mwanafunzi wa kidato cha nne& sita anaweza kuingia mtaani na kufanya jambo la kimaendeleo.

1.IT.
2.SHERIA
3.SANAA.
 
Inategemea na scale uliyopo kwa sasa kwa 940,000/= mpaka 760,000/= watapata 33,800/=
Kuna mtu aliniambia nikajua kwa wafanyakazi wote wamepigwa FLAT RATE!! Sasa nyongeza ya Elfu 33 au 51 si zinabakia kwenye account zitashindwa kutoka? Serikali haipo serious!! Inatakiwa waongeze at least 150k ,sasa mtu anayelipwa 5m kisha unamuongezea Tsh elf 33 itamsaidia nini? Waangalie vizuri nimeipenda PAYE ya ACT kwamba unafuhu unaonekana!!
 
Kwani wapinzan hawajawah kusema hadharani kuwa watahakikisha wanaitupilia mbali na kuisambalatisha CCM.

Mkuu mbona mnakomaa na vidokezo vya lugha ya kisiasa tu.
Yeye alikiweka kama kipaumbele cha serikali na akakisimamia kwa kutumia raslimali za umma huoni kuwa hayo ni matumizi mabaya ya Mali za umma na madaraka?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ningependekeza wanafunzi waanze kufundishwa IT kuanzia shule ya msingi. Shule ipate computer hata tano, iwe na WiFi, kuwe na mwalimu mwenye taaluma hiyo.

Dunia ya sasa ni kidigital mtoto anamaliza darasa la saba hajui hata kujaza fomu kwa kidigital.
Ila mipango iwe imara ya parental controls mana la sivyo miss use madhara yake ni makubwa zaidi.

Pia internet iunganishwe kwa muda maalum na kukatwa kwa muda maalum la sivyo watoto wengi watajiunga insta na kule kwenye kila post ya millard au manara kuna wauza vitumbua lazima wapost kujitangaza sasa mtoto akikutana na zile akaangalia inakuwa sio poa kimalezi na kimaadili.
 
Moja ya uchambuzi bora kabisa zitto awe waziri mkuu au waziri wa fedha wa serikali ijayo.
Nani kakueleza Zitto anashida na uwaziri? jamaa anataka uRais na hataki kugombea na Magufuli afanywe chambo aaibike, baada ya October tutakuwa naye mitaani tukipambana pamoja na hali zetu.
 
Yeye alikiweka kama kipaumbele cha serikali na akakisimamia kwa kutumia raslimali za umma huoni kuwa hayo ni matumizi mabaya ya Mali za umma na madaraka?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kumbe Chadema kuing'oa madarakani na kuisambaratisha CCM siyo kipaumbele Cha chama?
 
Back
Top Bottom