Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,005
- 303
Quality
Mleta mada ni muajiriwa anategemea mshahara. Hawezi kuwa milionea. Labda awe salarionea.ila kuwa na 35, kutomilki nyumba, viwanja, mashamba, gari au kuoa, Mimi naona sio tatizo, ila tatizo ni kuishi bila dira, kukaa bila kazi endelevu katika maisha yako ya mbeleni, yenye uwezo wa kukufanya millionaire after 5 Or 10 years to come!
Na usipopambana ukaogopa.kufa unaweza kuwa umelala kwa shemeji ukang'atwa na mbu ukapata malaria ukafaThe World is not fair at all.
Kijana una miaka 35 lakini bado unakaa kwa wazazi au shemeji yako na huna nyumba, gari, familia , mashamba wala kamradi kokote… unategemea nini ?
Na kutoboa siku hizi si kama zamani ndugu zangu, ni lazima tujipinde sana. Tusilale kabisa, tupambane hadi kufa.
Usikate tamaa… anza sasa.
.................Hahahah balaa tena sio kidogo!!!Miaka 35 kazi yako ni kuwahi kwenye thread za watu kuwa wakwanza. Hii ni balaa kubwa sana
Kwa Africa nikawaida Sana,humu humu jamii forum wapo wengi sema tatizo kila mdau wahapa anajifanya mambo Safi!Mkuu ni kweli miaka 35+ inatakiwa mtu awe na vitu hivyo lakini kila mtu anamuda wake wa kufanikiwa huwezi mpangia Mungu awahishe baraka juu yako never.... Utakuta jamaa wa kitaa 38 hana hata kazi kutana nae 43 ananyumba ya mil 100 huko pia maisha ni bahati unaweza ukajituma sama mwisho ukajikuta mraji unachoma pesa yako yote
Hahaa,shenzy Sana we jamaaMleta mada ni muajiriwa anategemea mshahara. Hawezi kuwa milionea. Labda awe salarionea.
Vijana wanabweteka sana, unakuta mtu huyo ana nguvu ya kufanya kazi yoyote ya kujiingizia kipato lakini yeye hajishughulishi kabweteka bweteee. Ili mradi anakula na kulala bure ,ye amesharidhika. Asee nikija kuwa na mtoto wa aina hii mi namfukuza akajitegemee mana ni mzigo tu
Hatuzungumzii kusaidia kazi za nyumbani,tunazungumzia umri mkubwa wa mtoto huku bado akiwa anategemea wazazi kiuchumi. Yani anakua hana direction kuhusu life lake yeye kama yeye bila utegemezi wa wazaziMtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Ukimzoezesha kazi tangu utotoni hatabweteka. Kila mtoto anahitaji uelekeo wa mzazi na kusaidiwa kukua kimwili, kial
Hapo mungu hali chumvi sjaelewa "teheheMleta mada kumbuka Mungu hali chumvi..
Pia mi nadhani kunaweza kuwa na mgawanyo maridhawa zaidi wa mali, kusiwepo asiye nacho kabisa, wazungumzia gari na nyumba, kuna watu hawajui jioni hii anakula wapiHapo mungu hali chumvi sjaelewa "tehehe
Ni mfumo mbovu wa mgawanyo wa Mali dunianiHiyo miaka mbona umetaja parefu sana mkuu ungesema walau 25 .
Haituhusu, ila tuna amini kwa mujibu wa umri Inafkia mahali mja wapend na ni bora kuwa na Uhuru binafsi na faragha yakoKwani nikiishi kwa shemeji au dada we inakuhusu nini?