Miaka 10 yangu marekan

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenikumbusha dada fulani aliwahi kuambiwa amsalimie Queen Latifa.
Hahah! Inabidi tuwatumie wabongo wa ughaibuni kufikisha salamu zetu bhana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kabisa Mkuu alivyonihadithia nilicheka sana yeye pia alipoambiwa alicheka sana maana binti alikuwa very serious kuhakikisha salaam zake zinafikishwa.

Hahah! Inabidi tuwatumie wabongo wa ughaibuni kufikisha salamu zetu bhana
 
Kabisa Mkuu alivyonihadithia nilicheka sana yeye pia alipoambiwa alicheka sana maana binti alikuwa very serious kuhakikisha salaam zake zinafikishwa.
Heheh! Alijua macelebrities wa huko unakutananao kama wetu au kama Swala vile ukiwa unapita Mikumi
 
komaa ,ila ukitoka chuo mtaani napo jitihada ya ziada inatakiwa kusurvive 💪
 
Back
Top Bottom