Basi wasamehe....Na JF yenyewe iliamua kutonitendea haki kila nikiweka password ilikuwa inanigomea mara hivi lol...sasa hivi ikosaved password yangu
Hapana nitake radhi siwezi kuwa na akili kama za Malaria Sugu unapigwa ban JF unakwenda kushitaki kwenye gazeti la Mwanahalisi.Duuh! Mkuu we ndo Malaria Sugu?
Teh Teh mkuu umenichekesha sana aiseeHapana nitake radhi siwezi kuwa na akili kama za Malalia Sugu unapigwa ban JF unakwenda kushitaki kwenye gazeti la Mwanahalisi.
mkuu unaweza ukanipa link ya huo uziWapi @Companero ...nakumbuka thread moja ya kinyamwezi kule jukwaa la Celebrities kuhusu DJ Premier vs DJ Funk Master flex (kama sikosei) ..... Kiranga , @Companero walitia chachu nzuri sana ya mjadala.
Mimi nilianza kufatilia JF kuanzia vuguvugu la uchaguzi wa 2010 nikiwa bado mtumishi wa umma...nikajiunga mapema 2011...wengi sana wamenivuta kwa michango yao makini enzi hizo ....heshima kwenu wakongwe wote ....bado najifunza ...
Ulimdhibiti sana. Nakumbuka mlivyowekeana biti sana na Ngabu Ndjabu (Ndjabu The dude??) mpaka karibia mtoane roho enzi zile za Jambo Forums. Thank God, peace prevailedNammiss Raj Patel kiaina...![]()
Tunahitaji busara za uzeeni, mkikimbia jamvi vijana wanacheza cha ndimu na nageNguruvi3 mie nipo ila nimekua mzee sana kaka
Amin .. nawe Blacky ushukuriwe na ubarikiwe zaidi ujaaliwe your desires!!Hongera sana JF Mungu awabariki na kuwajalia afya njema waliopata wazo hilo. Mbarikiwe wanajamii wote