Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,539
- 65,323
umeanza mambo yakoo
But, but nataka tushauriane naye mambo ya kibiashara
umeanza mambo yakoo
But, but nataka tushauriane naye mambo ya kibiashara
my dear huyu mtu sio mzuri ht kidogo!
Ni kweli wakati ule sikua na direction mkuu, hivyo sikukubali kukaa bure nyumbani bila kupata ela ikanibidi nifanye kazi hiyo, najua hata Neema anafanya hivyo wakati huu ambapo hajui hatma yake but akishapata mchongo nina hakika hiyo kazi ya mihogo ataacha.mkuu,
wakati wewe ulikuwa unafanya hicho kibarua kama kazi ya kuzugia ukisikilizia michongo mengine uliyo itega(yawezekana tayari ulishaacha baada ya kuajiriliwa),wengine hufanya kama life time career with bigger dreams ahead.bila shaka huyu neema ni mmoja wapo.
watu kama hawa ndio mwisho wa siku huja kuwa kama akina KFC,Walt Disney, Bakheresa na wengineo.
Naona umekamata mwizimy dear huyu mtu sio mzuri ht kidogo!
namjua huyu mambo zake.Naona umekamata mwizi
Ila anaweza kuwa anafurahisha jukwaa tu my dear,relax.
zote tamu .. sema ya kuhongwa haina maumivu sanaYa kuhongwa na yakutafuta mwenyewe ipi tamu?
Dah,huyu mdada anafaa kuoa kweli,inaonekana sio mtu wa majivuno,ivi anapatikana maeneo gani huyu mdada niende kumuungisha,heshima yake sana mdada NeemaNeema mhitimu wa shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alipomaliza Chuo hakufanikiwa kupata ajira lakini ameona asikae bure tu nyumbani ameamua kuwa mfano wa vijana wenye uthubutu kabisa kuwa tofauti! kwenye shughuli kubwa zenye mikusanyiko huwa anafanya biashara ya kuuza mihogo ya kukaanga pamoja na kachumbari nzuri yenye viungo inavutia sana na mihogo yake ni mitamu haswaaaaa sana!
Source: Clouds Media
NB: Tunakoelekea ni kugumu na vijana inabidi kukaza mkanda..
zote tamu .. sema ya kuhongwa haina maumivu sana
awamu hii nakula mbona.. ha hahaHa ha haaaa mtakula za kutafuta wahongaji mtaonana awamu ya sita,
itakuwa poa sanaNgoja nifuate nyayo za Neema....nasota kitaa maana mmoja now na kataaluma kangu
Ngoja nianze ufugaji wa kuku au bata
Ajira ni ishu
dogo upo?.ulimalizana vp na "b'nkubwa" FF?.Natamani awe mke wangu
awamu hii nakula mbona.. ha haha
hapana kwa mrija tena wala siombi zinanifuata zenyeweIla itakuwa kwa shida sana!
Ni kweli kabisa usemayoNaona kawaida mbona wapo wengi tu wanafanya mishemishe maisha yasonge mbele, huyo katangazwa ila ambao hawajatangazwa na hawahitaji kutangazwa ndo wengi zaidi.
Nakumbuka kabla ya kupata kitu cha kufanya baada ya kumaliza chuo kikuu (CoNAS-UDSM) nilikua msaidizi wa fundi ujenzi mitaa ya majohe na hakuna aliyekua anajua kama mimi graduate isipokua ndugu yangu ambaye alikua fundi, alinipa support sana kila akipata tenda ananipigia simu nadamka asubuhi na mapema.
Maisha ni safari ndefu sana jamani acheni tu
Wadogo zangu mlioko vyuoni, mnaosubiri ajira, mnaoteseka hamjui hatma yenu, fanyeni kazi maisha yaende mbele hata kama ni ujenzi fanyeni life ni tight sana msibweteke hata kidogo.
Wengine unaweza kua huna hata ndugu yako diwani wala mtu serikalini aisee ukilemaa utateseka sana tafuta ishu ya kufanya hata kuuza kuku wa kukaanga we fanya.