Mhitimu wa degree ya sheria auza mihogo baada ya kukosa ajira

good girl bravoooo
Anahitaji kupongezwa sana kwa kuona fursa na kuitumia.

Watanzania kelele kila siku.Chukulia bishara ya kuchoma chips kuku iko kila kona Tanzanaia ukiangalia unaweza sema huoni fursa.Lakini wenzetu wazungu mfano KFC wakagundua kuwa Tanzania kuna fursa kubwa ya kuuza biashara ya chips kuku sababu wanaofanya hiyo biashara haiko kwenye viwango vya kumvutia mtu wa kipato cha kati na cha juu kuzila.Wakaja na hoteli za chips kuku tu lakini za HIGH QUALITY kama wawekezaji na wanauza kama nini.Mtanzania waweza kuta anapiga yowe hamna fursa na utaletaje mwekezaji auze chips kuku? Huyo analipa kodi serikalini kubwa tu na anatoa ajira kibao na anaajiri hadi wasomi wa madgrii kibao wakati huyo mwingine kodi tu kupata ya halmashauri hadi ngumi zitembee amwagiwe chips ndipo alipe.

Huyu dada kaona fursa kaichukua chap chap hongera zake.
 
Hata bakhresa alianza hivyo hivyo.Sasa hivi ni bilionea.Maisha huanzia popote.Akikaza buti aweza kuja kuwa mmiliki wa mahoeli makubwa ya kimataifa.Soma historia ya mpika chips kuku maarufu duniani mwenye sehemu za kuuza chips za KFC ambazo hata Tanzania zipo.Mtu hutakiwi kudharau kitu kinacxhokuingizia kipato


175px-KFC_logo.svg.png


Kentucky Fried Chicken (KFC) is a fast food restaurant chain that specializes in fried chicken and is headquartered in Louisville, Kentucky, United States. It is the world's second largest restaurant chain (as measured by sales) after McDonald's, with almost 20,000 locations globally in 123 countries and territories as of December 2015. The company is a subsidiary of Yum! Brands, a restaurant company that also owns the Pizza Hut and Taco Bell chains.

KFC was founded by Harland Sanders, an entrepreneur who began selling fried chicken from his roadside restaurant in Corbin, Kentucky, during the Great Depression. Sanders identified the potential of the restaurant franchising concept, and the first "Kentucky Fried Chicken" franchise opened in Utah in 1952. KFC popularized chicken in the fast food industry, diversifying the market by challenging the established dominance of the hamburger. By branding himself as "Colonel Sanders", Harland became a prominent figure of American cultural history, and his image remains widely used in KFC advertising. However, the company's rapid expansion overwhelmed the aging Sanders, and, in 1964, he sold it to a group of investors led by John Y. Brown, Jr. and Jack C. Massey.

KFC was one of the first American fast food chains to expand internationally, opening outlets in Canada, the United Kingdom, Mexico, and Jamaica by the mid-1960s. Throughout the 1970s and 1980s, KFC experienced mixed fortunes domestically, as it went through a series of changes in corporate ownership with little or no experience in the restaurant business. In the early 1970s, KFC was sold to the spirits distributor Heublein, who were taken over by the R.J. Reynolds food and tobacco conglomerate, who sold the chain to PepsiCo. The chain continued to expand overseas, however, and in 1987 KFC became the first Western restaurant chain to open in China. The chain has since expanded rapidly in China, which is now the company's single largest market. PepsiCo spun off its restaurants division as Tricon Global Restaurants, which later changed its name to Yum! Brands.

KFC's original product is pressure fried chicken pieces, seasoned with Sanders' recipe of 11 herbs and spices. The constituents of the recipe represent a notable trade secret. Larger portions of fried chicken are served in a cardboard "bucket", which has become a well known feature of the chain since it was first introduced by franchisee Pete Harman in 1957. Since the early 1990s, KFC has expanded its menu to offer other chicken products such as chicken fillet burgers and wraps, as well as salads and side dishes, such as French fries and coleslaw, desserts, and soft drinks, the latter often supplied by PepsiCo. KFC is known for its former and current slogan "Finger Lickin' Good", which was replaced by "Nobody does chicken like KFC" and "So good" in the interim.
Dhaaa aiseee huyu jamaa Nairobi anauza expensive had mungu hapend
 
Amechukua wazo dogo na akalifanya kwa umaridadi Kama kachumbari iliyo bora , usafi na package nzuri ....

Kwa kuongeza huko thamani ya bidhaa yake bila shaka atapata pesa nzuri ya kumuwezesha kutanua mtaji wake .....

Somo kwa wale wote wanaodhani kuwa kilichopo katikati ya mapaja ndicho utajiri kuliko akili...

Nimeupenda ujasiri wake
 
hivi unahitimu sheria halafu unalalmika unakosa ajira, tatizo ni elimu yetu au fikra zetu kuwa tukimaliza chuo lazima tuajiliwe.Mhitimu wa sheria sidhani kama anahitaji kuajiliwa kwani ni miongoni mwa fani zenye mahitaji makubwa nchini.Aende gerezani atapata watu kibao wa kuwasaidia mwishoni mwa kesi atapata pesa baada ya wateja wake kupata hukumu ya haki.Wengi walioko gerezani sio kwamba wana hatia bali ni kutokana na kutopata/kumudu gharama za wanasheria.
Mkuu kwani kuhitimu degree ya sheria ndyo tayari unakuwa mwanasheria? Any way huenda ana malengo anatafuta fedha akasome school of Law
 
Anahitaji kupongezwa sana kwa kuona fursa na kuitumia.

Watanzania kelele kila siku.Chukulia bishara ya kuchoma chips kuku iko kila kona Tanzanaia ukiangalia unaweza sema huoni fursa.Lakini wenzetu wazungu mfano KFC wakagundua kuwa Tanzania kuna fursa kubwa ya kuuza biashara ya chips kuku sababu wanaofanya hiyo biashara haiko kwenye viwango vya kumvutia mtu wa kipato cha kati na cha juu kuzila.Wakaja na hoteli za chips kuku tu lakini za HIGH QUALITY kama wawekezaji na wanauza kama nini.Mtanzania waweza kuta anapiga yowe hamna fursa na utaletaje mwekezaji auze chips kuku? Huyo analipa kodi serikalini kubwa tu na anatoa ajira kibao na anaajiri hadi wasomi wa madgrii kibao wakati huyo mwingine kodi tu kupata ya halmashauri hadi ngumi zitembee amwagiwe chips ndipo alipe.

Huyu dada kaona fursa kaichukua chap chap hongera zake.
Ujue wewe jamaa/ dada leo nimekutana na posts zako kutoka kwenye uzi wa kanali kuingia chamani na huu uzi naona kama ukiamua hua unaandika vizuri tu, siku nyingine sijui nini hua kinakukumba unaandika upupu si mchezo.
 
Ukiona degree holder anauza mihogo, mitumba, chips, urembo ama anapiga ukonda basi ujue elimu yetu imepanda thamani kama Euro, na nchi ya viwanda iko mikononi.
 
Na sisi tukiacha kulalamika na maneno mengi tutafika mbali tatizo maneno bila vitendo;hasa vijana na mastori ya kijinga bila kutazama kesho zetu;akili zifunguke
 
Tukiachana na maswala ya kuuza mihogo na degree, nilichokigundua huyu mtotoz neema ni mzuri sana
-dimpoz
-ngozi nzuri
-sura yake
-shingo na lips
**Nangoja ageuke, mleta mada hauna picha zaidi tafadhali.
 
hongera sana neema(mhitimu wa shahada ya sheria) kwa kukata shauri na kuamua kujiajiri.

nina hakika,huyu dada aki-apply nidhamu ya usomi wake na ubunifu ktk biashara, atafika mbali ktk hii project yake ya kuuza mihogo.

kwa east afrika,yawezekana ni Tz pekee ambako ndio tunaanza kupata vijana wasomi walioamua kujiajiri kwa kuanza na biashara za kawaida baada ya kukosa ajira rasmi.

rafiki yangu mmoja jijini nairobi kenya,ana bsc in bio chemistry toka Kenyatta university.

baada ya kusota mda mrefu bila kupata ajira,aliamua kuendeleza talent yake ya kupiga drum instruments kwa kufanya mazoezi kila siku.

leo ninapo tuma post hii,he has became one of the best drummer in kenya...amekuwa akikodishwa kupiga drum ktk matamasha makubwa ya mziki nchini kenya.

MK254
 
Neema mhitimu wa shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alipomaliza Chuo hakufanikiwa kupata ajira lakini ameona asikae bure tu nyumbani ameamua kuwa mfano wa vijana wenye uthubutu kabisa kuwa tofauti! kwenye shughuli kubwa zenye mikusanyiko huwa anafanya biashara ya kuuza mihogo ya kukaanga pamoja na kachumbari nzuri yenye viungo inavutia sana na mihogo yake ni mitamu haswaaaaa sana!
Source: Clouds Media
NB: Tunakoelekea ni kugumu na vijana inabidi kukaza mkanda..

15492542_1280583835318365_8166818150006743384_n.jpg
15541117_1280583845318364_4704867959592455352_n.jpg
Hiyo pia ni mojawapo ya ajira siyo lazima awe serikalini, alisoma ili kupata maarifa na Sheria itamsaidia kuepuka na manyanyaso ya wagambo Wa Jiji na manispaa.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom