Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nimezunguka kila Kona ya nchi hii, nimeona mengi, nimesikia mengi, nimeambiwa mengi, nimefundisha baadhi ambayo nilijaliwa kufundisha. Ndugu zangu Wana Songea, Sasa ni wakati wa final urgument yaani ni wakati wa hoja za majumuhisho.
Ndugu zangu watanzania kapigeni kura tarehe 28/10/2020, chagueni diwani ,Mbunge na mgombea urais kutoka CHADEMA.
Ndugu zangu watanzania kapigeni kura tarehe 28/10/2020, chagueni diwani ,Mbunge na mgombea urais kutoka CHADEMA.