kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,275
- 1,698
Magufuli na CCM yake watakufa kifo cha mende.
Lissu ameleta matumaini makubwa nchini tutamchagua YEYE kesho kutwa.Nimezunguka kila Kona ya nchi hii, nimeona mengi, nimesikia mengi, nimeambiwa mengi, nimefundisha baadhi ambayo nilijaliwa kufundisha. Ndugu zangu Wana Songea, Sasa ni wakati wa final urgument yaani ni wakati wa hoja za majumuhisho.
Ndugu zangu watanzania kapigeni kura tarehe 28/10/2020, chagueni diwani ,Mbunge na mgombea urais kutoka CHADEMA.
we unataka Lisu atoe hoja gani wakati wananchi tumeshamuelewa sana kwa hoja alizotoa,au unataka kusikia zile za nileteeni wanawake weupe,au leo na lala karatu tunywe pombe na wanaotaka kuoa wanawake nilionao kwenye msafara wangu ruksaHivi kuna hoja yeyote ya maana aliyoitoa lisu kipindi chote cha kampeni zake ukiachana na namna alivyopigwa risasi na kututajia The Hague katika kila sentensi??
Duh..Ushauri ni mmoja tuu, Tarehe 28 October, Chagua Magufuli, chagua CCM.
P