Kumfahamu Rais Magufuli nashauri JAMII YA WATANZANIA TUSOME MAANDIKO YA BABA WA TAIFAIli aendelee kuchafua hali ya hewa,bora akae kimya tu.
Bora anyamaze kwa kauli zile za Bukoba ndio atazidi kuharibu. Maana mie kwenye ziara ile nimeambulia mambo makuu yafuatayo, Serikali haiwezi kuwasidia waathirika, Mbunge kama anatakaa nafuu ya vifaa vya ujenzi kwa wananchi ajenge kiwanda chake, Katerero na mto ngono.
kula za huruma maana yake nini???Unataka hata kura za huruma aje kuzikosa???
SIKU HIZI HAUIPONDI SERUIKALI YA MAGUFULI UMEKUWA MSHAURI WAKE?Hotuba zako zinatufunza mengi. Hotuba zako zinatupa hamu ya kuchagua vyema 2020 ndani ya CCM na hata kwenye uchaguzi mkuu. Hotuba zako-na ukweli wako zinatufikirisha na kutuongoza kwenda kwenye tafakari kali.
Hotuba zako zinatuonesha picha tuliyoichora wenyewe mwaka 2015. Hotuba zako zinatukumbusha push-ups zako na hata ahadi zako. Hotuba zako zinatufariji; zinatukereketa;zinatuwasha hasira; zinatuburudisha; zinatupa mwanga wa kuona anga.
Natoa pendekezo kuwa Rais Magufuli atuhutubie kila mwisho wa mwezi ili tuendelee na tafakuri yetu ya kitaifa. Napendekeza asiandike hotuba zake ili iwe rahisi kuzungumza mambo tofautitofauti na kwa watu mbalimbali.
Nawasilisha hoja ya haja!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
wapi nimesema "Kula" za huruma??? Nimesema Kura na sio kulakula za huruma maana yake nini???
Umetoka kapa kada!SIKU HIZI HAUIPONDI SERUIKALI YA MAGUFULI UMEKUWA MSHAURI WAKE?