Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,086
- 8,581
Ila wahaya nahisi hawana hamu tenaasio kwa makavu yaleeWenzio Wahaya waliomba Rais akawahani Msiba kaenda kuwahani sasa hivi wanajuta kwanini alienda
Ila wahaya nahisi hawana hamu tenaasio kwa makavu yaleeWenzio Wahaya waliomba Rais akawahani Msiba kaenda kuwahani sasa hivi wanajuta kwanini alienda
Ila wahaya nahisi hawana hamu tenaasio kwa makavu yalee
Badala ya kuomba maisha bora zaidi ya hayo ulionayo,unataka hotuba,watu wengine ni wa ajabu sanaNaomba ombi langu afikishiwe Mhe Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe John Magufuli.
Sisi kama wananchi unaotuongoza kila mwisho wa mwezi tungependa kusikia japo kwa muhtasari hotuba kutoka kwako kama mkuu wa nchi na tuweze kufanya tathmini nzuri kuhusiana na yanayojiri katika utawala wako pia uelekeo wa nchi yetu kwa Ujumla.
Huu utamaduni tuliuona katika tawala zilizopita na tungependa pia uendelezwe hata katika utawala wako huu,
Tunaamini hili litafanyiwa kazi ama hata kutolewa ufafanuzi.
Nawasilisha ombi kama Mwananchi wa kawaida!!
Maisha bora tiyari ninayo mkuu wala sisubirii Magufuli aniletee, mimi nimetamani ule utamaduni uliokuwepo awali uendelee kuwepo.Badala ya kuomba maisha bora zaidi ya hayo ulionayo,unataka hotuba,watu wengine ni wa ajabu sana
Najua upendi kumsikia lakini huna namna maana yule mwizi uliyemtegemea hakushinda pole sana vumilia mpaka 2025Aisee nitafurahi maana kila mwezi walau nitakuwa na uhakika wa siku moja ya kucheka sana na kuondoa stress!! Nakuunga mkono mtoa hoja.
Imagine kila mwezi mtu upewe offer ya kufurahi sana kwa siku moja.
Huwa ananichekesha mkuu, mimi huwa namsikilizaga ili nicheke na kwakweli huwa sibanduki kwenye tv akiwa anahutubia.Najua upendi kumsikia lakini huna namna maana yule mwizi uliyemtegemea hakushinda pole sana vumilia mpaka 2025
Huo utaratibu ulikusaidia nini??mie umenipa pole kama nasubiri maendeleo niletewe na wanasiasa,halafu unamuomba rasmi mwanasiasa awe anakuhutubia kila mwezi!Maisha bora tiyari ninayo mkuu wala sisubirii Magufuli aniletee, mimi nimetamani ule utamaduni uliokuwepo awali uendelee kuwepo.
Pole sana kwako kama bado unasubiria maendeleo uletewe na Wanasiasa
Haunisaidii chochote mkuu, hata hivyo napenda kusikia kutoka kwa viongozi waliopewa dhamana hata kama sikuwachagua mimiHuo utaratibu ulikusaidia nini??mie umenipa pole kama nasubiri maendeleo niletewe na wanasiasa,halafu unamuomba rasmi mwanasiasa awe anakuhutubia kila mwezi!
Hahaha....mh sio mtu wa mchezomchezo mkuuMkuu aliongea kwa hekma sana!
Alianza kuwatajia Mabalaa yanayowakabili then akawatajia Michezo Yao ya Katerero Mwenye akili alielewa mtiririko ule!
Tehteheh! Una nia ya kuiangamiza Lumumba wewe sio bure, hujui kama hotuba moja ya huyo mheshimiwa inapukutisha wanachama na wapenzi wa ccm zaidi ya 200,000. Akihutubia miezi 40 katika miezi yake iliyobaki ni 200000*40=8,000,000+; hii ni idadi ya kura alizopata 2015. Sasa wazo lako likikubaliwa then 2020 atapigiwa kura na nani? Jecha? Sisi wana ccm hatutakubali wazo lako.Naomba ombi langu afikishiwe Mhe Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe John Magufuli.
Sisi kama wananchi unaotuongoza kila mwisho wa mwezi tungependa kusikia japo kwa muhtasari hotuba kutoka kwako kama mkuu wa nchi na tuweze kufanya tathmini nzuri kuhusiana na yanayojiri katika utawala wako pia uelekeo wa nchi yetu kwa Ujumla.
Huu utamaduni tuliuona katika tawala zilizopita na tungependa pia uendelezwe hata katika utawala wako huu,
Tunaamini hili litafanyiwa kazi ama hata kutolewa ufafanuzi.
Nawasilisha ombi kama Mwananchi wa kawaida!!
Wenzio Wahaya waliomba Rais akawahani Msiba kaenda kuwahani sasa hivi wanajuta kwanini alienda
Mkuu angalie wasije wakaku wilimboka maana ni soga za mtikisiko wa pwani kwelikweli
Unataka kusikia nini?Naomba ombi langu afikishiwe Mhe Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe John Magufuli.
Sisi kama wananchi unaotuongoza kila mwisho wa mwezi tungependa kusikia japo kwa muhtasari hotuba kutoka kwako kama mkuu wa nchi na tuweze kufanya tathmini nzuri kuhusiana na yanayojiri katika utawala wako pia uelekeo wa nchi yetu kwa Ujumla.
Huu utamaduni tuliuona katika tawala zilizopita na tungependa pia uendelezwe hata katika utawala wako huu,
Tunaamini hili litafanyiwa kazi ama hata kutolewa ufafanuzi.
Nawasilisha ombi kama Mwananchi wa kawaida!!