sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
Mhe, wazir mkuu kayanza pita pinda ameonya wafanyabiashara wanaojipindishia bei za vyakula hovyo punde tu tukaribiapo msimu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.. Na ametoa tamko la serikali kuwa si vyema wafanyabiashara kufanya hivyo..! Source gazeti tanzania daima, Mhe..Pinda heko na unastahili pongezi.. Kaza mwendo.. Utafika tu .. Pole pole ndo mwendo.. Kamanda pinda..!