sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
- Thread starter
- #61
mheshimiwa ameenda ruvuma kutembelea ruvuma na kuwaahamasisha wakulima ..kutumia vizuri matrekta aliyowapa.. Katika utekelezaji wa sera ya kilimo kwanza na kukabiliana na mifumuko ya bei na kupanda kwa gharama za vyakula.. Ambapo atatembelea na ghala ya hifadh ya chakula songea