Mhe.. Pinda ameonya mfumuko wa bei za vyakula msimu huu wa ramadhani...!

So you are suggesting that budget ya chakula mwezi wa ramadhani ni mara mbili ya kawaida. Sasa wanafunga au wanajipiga wenyewe changa la macho?

Trust me mkuu, nimeshakaa na waislamu wengi sana, wengi wao hawaijui dini vizuri ila wamekaririshwa.
Kwa kuprove hii theory, hebu kama umekaa na muislamu yeyote hapo muulize, kwanini anafunga?
Maana haina maana eti unataka kufunga, then unapakia shehena ya kutosha wewe kuishi bila matatizo for your next 12 hours, what for then unafunga?
 
Trust me mkuu, nimeshakaa na waislamu wengi sana, wengi wao hawaijui dini vizuri ila wamekaririshwa.
Kwa kuprove hii theory, hebu kama umekaa na muislamu yeyote hapo muulize, kwanini anafunga?
Maana haina maana eti unataka kufunga, then unapakia shehena ya kutosha wewe kuishi bila matatizo for your next 12 hours, what for then unafunga?

wanafunga kwa ajili yj kuongeza uwepo wa allah
 
Hata Sukari alionya wafanya biashara wasiuze zaidi ya 1700 lakini leo tunainunu kwa zaidi ya 2200 kwa kilo....Pinda hakuna analo weza kulisimamia.

anataka awe kadhi wa kwanza tanganyika! Naamini waislam kote nchi watamuunga mkono bila kujali udhifu wa kulialia kwake.
 
Mhe, wazir mkuu kayanza pita pinda ameonya wafanyabiashara wanaojipindishia bei za vyakula hovyo punde tu tukaribiapo msimu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.. Na ametoa tamko la serikali kuwa si vyema wafanyabiashara kufanya hivyo..! Source gazeti tanzania daima, Mhe..Pinda heko na unastahili pongezi.. Kaza mwendo.. Utafika tu .. Pole pole ndo mwendo.. Kamanda pinda..!

Nafikiri angejiuliza nini ambacho huwa kinafanya bei za vitu kupanda kuliko kutumia general statement kama wanazotumia kwa Dr.hiyo kauli yake hata diwani anaweza toa hiyo rai issue ipo kwenye utekelezwaji na ufuatiliwaji wake.
 
Mhe, wazir mkuu kayanza pita pinda ameonya wafanyabiashara wanaojipindishia bei za vyakula hovyo punde tu tukaribiapo msimu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.. Na ametoa tamko la serikali kuwa si vyema wafanyabiashara kufanya hivyo..! Source gazeti tanzania daima, Mhe..Pinda heko na unastahili pongezi.. Kaza mwendo.. Utafika tu .. Pole pole ndo mwendo.. Kamanda pinda..!

.. tangu lini Pinda na msikiti au kwa kuwa amesikia hawatashiri sensa na wanataka Ndalikacho atokomee "cheap politics" kama wataka hilo baso BoT iandae mkakati wa "quantity of easing" kama walivyofanya Bank of England anafikiri mfumuko wa bei utaondoka kwa domo kaya?
 
Nimechoka kusikia haya kutoka kwa Pinda:
a) "Kushauri" benki zipunguze riba.
b) "Kusihi" watu wajiendeleze katika uzalishaji wa kilimo.
c) "Kuwakumbusha" wafanyakazi umuhimu wa kufuata maadili ya kazi na taaluma.
d) "Kuonya" watu wasipandishe bei za vyakula wakati wa Ramadhan.
e) "Kutoa rai" kwa wafanyabiashara kujali utu.

Amesahau kabisa kuwa ili hayo mambo yatokee yanapaswa kuwa "enforced" kwa sheria na ufuatiliaji unaoambatana na adhabu kwa wasiofuata sheria. Tunakuwa na askari wanaozuia maandamano mpaka kiasi cha kuua lakini tunakosa watu wa kusimamia uendeshaji wa mabenki, wasiolipa kodi sahihi, wanaopandisha bei za bidhaa kwa kujiamlia nk.

Pinda, are you really serious au ni mtu wa kutoa maneno tu?
 
Pinda shughulikia mgomao wa madaktari, watu wanakufaaa! Unahangaika na mambo ya waislamu tangu lini serikali ikawa na dini? Mfumuko wa bei ni mwezi wa ramadhani tu? Kwanza hao si wamefunga, wananunua chakula cha nini tena hadi kipande bei?
lazima aongee kitu kingine ili watu wasahau mgomo wa madaktari na kilichomkuta ulimboka.
 
The statement is too politocal,if you anticipate a problem then u need to come up with the strategies on how to curb the forth comming inflation but not blah blah as you always do!
 
The statement is too politocal,if you anticipate a problem then u need to come up with the strategies on how to curb the forth comming inflation but not blah blah as you always do!

inflation ya necesities kusolve ni issue... Hasa ii wanayojiamlia wafanyabiashara wenyewe.. It needs some negotiations btn wafanyabiashara na walaji na government yenyewe.. Strategies..
 
Mhe, wazir mkuu kayanza pita pinda ameonya wafanyabiashara wanaojipindishia bei za vyakula hovyo punde tu tukaribiapo msimu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.. Na ametoa tamko la serikali kuwa si vyema wafanyabiashara kufanya hivyo..! Source gazeti tanzania daima, Mhe..Pinda heko na unastahili pongezi.. Kaza mwendo.. Utafika tu .. Pole pole ndo mwendo.. Kamanda pinda..!

I cant stand this man!
 
Hana lolote huyo.Angekuwa ana meno angewang'ata wafanya biashara wanaopandisha bei ya sukari kila siku.***
 
Mhe, wazir mkuu kayanza pita pinda ameonya wafanyabiashara wanaojipindishia bei za vyakula hovyo punde tu tukaribiapo msimu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.. Na ametoa tamko la serikali kuwa si vyema wafanyabiashara kufanya hivyo..! Source gazeti tanzania daima, Mhe..Pinda heko na unastahili pongezi.. Kaza mwendo.. Utafika tu .. Pole pole ndo mwendo.. Kamanda pinda..!
Mh.Pinda tangu awe waziri mkuu lipi alilolitolea tamko likatekelezeka? jibu rahisi hakuna kwa hivi sasa anatakiwa kukaa kimya tu ili kulinda kaheshima kake kwani huyu ni waziri mkuu asiye na meno
 
Back
Top Bottom