Mhe. Nimrod Mkono asaini kumwondoa waziri Mkuu!

Jamani vyovyote itakavyokuwa ni vema tukakumbuka Bunge na Serkali ni mihimili miwili inayoendesha nchi na ni wajibu wa kila muhimili kuheshimu mwingine. Si busara sana kukurupuka kwenye kuwawajibisha mawaziri unless they are proved otherwise by CAG. Hili halitakuwa linajenga Tanzania tuotakayo. In other words -- kujiuzulu kwa mawaziri ni aibu kubwa kwa rais na waziri mkuu na kwa chama cha mapinduzi.

Ukiangalia kwa makini -- move hii hasa ukiangalia maelezo aliyotoa Deo Filikonjombe na Mwenzake Zambi ni ya kuimaliza CCM na serikali yake NA my take in this ni kwamba wanajiandaa kuvuka kuelekea CDM. Approach yao ni ya hatari si kwa CCM tu bali hata watakapokuwa wanakimbilia - CDM.

My advice to the President: Asikubali hata kidogo Bunge kutoiheshimu serikali na Bunge linabidi kuwa na busara kuliko lilivyo sasa -- kama halitaheshimu serikali nchi haitatawalika leo na hata huko tuendakao.

Ninawasilisha kwa mjadala.
 
Jamani vyovyote itakavyokuwa ni vema tukakumbuka Bunge na Serkali ni mihimili miwili inayoendesha nchi na ni wajibu wa kila muhimili kuheshimu mwingine. Si busara sana kukurupuka kwenye kuwawajibisha mawaziri unless they are proved otherwise by CAG. Hili halitakuwa linajenga Tanzania tuotakayo. In other words -- kujiuzulu kwa mawaziri ni aibu kubwa kwa rais na waziri mkuu na kwa chama cha mapinduzi.

Ukiangalia kwa makini -- move hii hasa ukiangalia maelezo aliyotoa Deo Filikonjombe na Mwenzake Zambi ni ya kuimaliza CCM na serikali yake NA my take in this ni kwamba wanajiandaa kuvuka kuelekea CDM. Approach yao ni ya hatari si kwa CCM tu bali hata watakapokuwa wanakimbilia - CDM.

My advice to the President: Asikubali hata kidogo Bunge kutoiheshimu serikali na Bunge linabidi kuwa na busara kuliko lilivyo sasa -- kama halitaheshimu serikali nchi haitatawalika leo na hata huko tuendakao.

Ninawasilisha kwa mjadala.

.
Serikali ndio siku zote ilikuwa ikilidharau bunge na kuwaona wabunge kama mhuri tu wa kuidhinisha mitikasi ya wajanja serikalini. Sasa lazima bunge lisimamie sheria na kanuni za nchi kwa mujibu wa katiba. Wameishauri serikali sana na kuipa maazimio ambayo hayatekelezwi. Hapa hatutaki ushabiki wa kisiasa, kwani taifa letu ni zaidi ya itikadi za vyama. Vyama vitapita na kubadilishwa lakini taifa linadumu dawamu.
.
 
Jamani vyovyote itakavyokuwa ni vema tukakumbuka Bunge na Serkali ni mihimili miwili inayoendesha nchi na ni wajibu wa kila muhimili kuheshimu mwingine. Si busara sana kukurupuka kwenye kuwawajibisha mawaziri unless they are proved otherwise by CAG. Hili halitakuwa linajenga Tanzania tuotakayo. In other words -- kujiuzulu kwa mawaziri ni aibu kubwa kwa rais na waziri mkuu na kwa chama cha mapinduzi.

Ukiangalia kwa makini -- move hii hasa ukiangalia maelezo aliyotoa Deo Filikonjombe na Mwenzake Zambi ni ya kuimaliza CCM na serikali yake NA my take in this ni kwamba wanajiandaa kuvuka kuelekea CDM. Approach yao ni ya hatari si kwa CCM tu bali hata watakapokuwa wanakimbilia - CDM.

My advice to the President: Asikubali hata kidogo Bunge kutoiheshimu serikali na Bunge linabidi kuwa na busara kuliko lilivyo sasa -- kama halitaheshimu serikali nchi haitatawalika leo na hata huko tuendakao.

Ninawasilisha kwa mjadala.

Kama serikali haisjiheshimu... kwa nini itafute heshima kwa nguvu????
 
Katika chama kilichojaa ufisadi, fisadi mkubwa kabisa ndiye mwenye gravita kuliko hao kina Filikunjombe, Salim na Mwandosya ambao nao si mali kitu. Wamejaa rushwa na woga wote tu.
Basi usituambie kwamba Mkono kusaini hoja ndio alama ya kukubalika huko CCM. Mkono hana uzito ndani ya CCM. Ndani ya siasa za chama, Mkono hayupo kwenye mazungumzo!
 
Wakuu naomba mweke list ya mwisho ya wabunge waliosaini karatasi ya kutokuwa na imani na Pm, maana data zinatofautiana sana. Toka jana magazeti na humu jamvini data zilikuwa zinapishana sana. Tuwekewe listi ya mwisho ambayo inamwonyesha Mh Nimrod Mkono. Zaidi ya hapo ni porojo tu. Tusianze kumwagia credit hapa kumbe hajatia mkono wake. Tukumbuke kuwa jana iliripotiwa kuwa wabunge 5 wa CCM wamesaini, lakini kwenye orodha kulikuwa na majina 2 tu.
 
Basi usituambie kwamba Mkono kusaini hoja ndio alama ya kukubalika huko CCM. Mkono hana uzito ndani ya CCM. Ndani ya siasa za chama, Mkono hayupo kwenye mazungumzo!

Pinda ataondoka au kuondolewa kwenye nafasi ya Waziri Mkuu. Wabunge wengi wapo tayari kupiga kura ya kutokuwa na imani na PM, na Serikali na Rais pia, tatizo ni woga. Lakini zitakapopigwa kura za siri, believe me, wengi watapiga kura kuunga mkono hoja ya kutokuwa na imani na PM.
 
Jamani siyo kwamba niko na CCM la hasha. Presidency tunayoitengeza katika kuvurUgana ndiyo ninayoinagalia mimi. Kama kuna tuhuma ambazo zimethibitika basi watu wajiuzulu na kuchukuliwa hatua. Swala la kuhisi tuu halitoshi. Hali kama hizi tukiruhusu zifanyike huku juu hata chini zitafika na wengi watapata hukumu isiyostahili.

Ninachokisema ni kwamba -- a proper proof should be determined before any action is taken. Kuwaadhibu watu kwa hisia au ushabiki bado itakuwa si busara. Ninataka nitoe mfano mmoja tuu -- Deo filikonjonbe alivyokuwa anatuhumu Serikali na Viongozi wake alisema at one point "LAKINI DR CHAMI" hausiki na hili. Katika thread nyingine akasema Dr Chami is too ethical. Huyo bwana sikumuelewa. Kwa swala la kufikiria Chami ni too ethical anamaanisha ingebidi akiuke sheria ili kuwafurahisha wana CCM au wapinzani?

Tuwe realistic hakuna sababu ya kuwajibishana kama mtu ahausiki na tuhuma. Embu aanejua report ya CAG ya kuanzia -- say Januari mpaka sasa kuhusu TBS atujuze. Hii itatupa picha wapi wizara imeborongo na kwa kiasi gani na pia ni nani alaumiwe.

TUJENGE HOJA KWA FACTS NA SI KWA MANENO YA WANA SIASA JUKWAANI.
 
Mkulima mkulima mkulima kala mbegu anataka kutuaa njaa, mkulima huyu vipi mkulima anachemsha- mtoto wa mkulima yupo kwenye hali mbaya.
 
Presidency tunayoitengeza katika kuvurUgana ndiyo ninayoinagalia mimi. Kama kuna tuhuma ambazo zimethibitika basi watu wajiuzulu na kuchukuliwa hatua. Swala la kuhisi tuu halitoshi. Hali kama hizi tukiruhusu zifanyike huku juu hata chini zitafika na wengi watapata hukumu isiyostahili.

Ninachokisema ni kwamba -- a proper proof should be determined before any action is taken. Kuwaadhibu watu kwa hisia au ushabiki bado itakuwa si busara. Ninataka nitoe mfano mmoja tuu -- Deo filikonjonbe alivyokuwa anatuhumu Serikali na Viongozi wake alisema at one point "LAKINI DR CHAMI" hausiki na hili. Katika thread nyingine akasema Dr Chami is too ethical. Huyo bwana sikumuelewa. Kwa swala la kufikiria Chami ni too ethical anamaanisha ingebidi akiuke sheria ili kuwafurahisha wana CCM au wapinzani?

Tuwe realistic hakuna sababu ya kuwajibishana kama mtu ahausiki na tuhuma. Embu aanejua report ya CAG ya kuanzia -- say Januari mpaka sasa kuhusu TBS atujuze. Hii itatupa picha wapi wizara imeborongo na kwa kiasi gani na pia ni nani alaumiwe.

TUJENGE HOJA KWA FACTS NA SI KWA MANENO YA WANA SIASA JUKWAANI.
 
Kumbe Mkono nea shujaa!.

Kama kuna kuokoka kumaanisha kubadilika basi huku kulikofanywa na Mkono katika kuweka sahihi yake hapa. Bwana, hakuna mtu aliyechakachua hela ya serikali na mashirika ya umma kwa njia "za kisheria" kama Mkono bwana! Yaani nadhani BOT kuna wakati aliifanya kama ng'ombe wake wa maziwa ya familia -tena ng'ombe wa kisasa!
 
All of a sudden Mkono kageuka kuwa shujaa.
Kila mtu kasahau kama yuko kwenye "list of shame".

Lakini kwakua ana umuhimu wake kwa sasa,ngoja atumike tu.
Nitauliza siku za mbeleni kama kwenye list bado yupo au
katoka.

Sipati picha Lowasa na Chenge wakitia sign this night
wataitwaje.

Speaker,

Kwenye fani yangu kuna kitu tunaita 'Abstraction'...disregarding other issues and concentrate on what is important at that point in time only to bring everything else into play when needed..when looking at the bigger picture.

Katika hili la kutia saini, Mkono ni shujaa, ameonesha uzalendo....Kule kwenye list of shame pia ni shujaa, shujaa wa kifisadi. Kusini hiyo 'orodha ya Zitto' hakumwondoi kwenye that list of shame.

Ukitaka kuomwongelea mtu kwa haki basi bring everything else in into play....as for now and on this Mr. Mkono ameibuka kidedea.
 
Watanzania ni watu wa matukio sana baada ya hapo uwa wanayasahau yote.

Katika orodha ya Slaa aliyoitaja pale Mwembe Yanga Temeke Nimrod Mkono alikuwemo.

Leo baada ya kusaini amekuwa shujaa na kwenye kundi la ufisadi hayumo tena.

Wow, what a logical argument!

On a serious note:

Ritz, nini kimemtoa Mkono kwenye ile orodha?He is a politician....c'mon give me a break...
 
Back
Top Bottom