Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Mheshimiwa Nimrod Mkono ni moja ya Watanzania wachache sana ambao wamenufaishwa SANA na mali za taifa hili la Tanzania. Wala sishangai kuwa ametia saini maana HUU NI WAKATI MUAFAKA WA KUILIPA TANZANIA ILIYOMPANDISHA CHATI MPAKA HAPO ALIPO. Keep it up shemeji yangu.Mjumbe wa NEC CCM na mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Nimrodi Mkono muda huu amesaini waraka ambao utapelekwa Bungeni kesho kuhusu kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu.
Huyu amekuwa Mbunge mwingine miongoni mwa wabunge wa CCM ambao wameamua kuusaini waraka huo kabla ya kuwasilishwa Bungeni kesho siku ya jumatatu.
Huyu ni mjumbe wa NEC ya CCM , tafsiri ya jambo hili nini maana yake .....
UPDATE:
Amesema kuwa yeye ni mbunge wa NEC (ya CCM) wa kuchaguliwa na wabunge na wabunge ndio wanalalamika hivyo hawezi kukaa kimya nchi ikiwa inapotea!